Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

4707488800000578-5148927-image-a-38_1512517921654.jpg
 
4705079000000578-5148927-image-a-27_1512505468828.jpg


Sina lengo la kuponda wachezaji wetu. Ila kuna nyakati leo nilipokuwa namuangalia Morata nahisi kama tumenunua mdogo wake Torres. Uchezaji wao unafanana sana..very soft lakini ukiwaangalia vyema unajua kabisa kuna talent ndani yao. Morata anahitaji sana mazoezi ya stamina na akae na kina Bakayoko na Kante ajifunze kuwa mgumu. Sometimes nahisi anaanguka kirahisi sana. Kwa uchezaji wake inanguwa ngumu sana kwetu kushinda goli nyingi.
 
4704F4EC00000578-5148927-image-a-19_1512505063759.jpg


Angekuwa na stamina hata nusu ya aliyonayo Hazard..he is a very bright player

4704FF9F00000578-5148927-image-a-23_1512505302182.jpg


Bado naamini hatukufanya makosa kumsajili. Ila anatakiwa kuadapt mapema kwa mikiki mikiki.
 
Kwa kweli mie nikimuona tu ameanza huwa nakosa raha kabisa kwanza hajui mpira nakumbuka kam alivyokuja cuadrado kwa mbwembwe ila hakuna mchezaji

Umemtaja Cuadrado na nimekutana na ripoti ya mechi yao ya leo...

47052E5500000578-0-image-a-6_1512508928286.jpg


Juan Cuadrado was left unmarked at the back post to score the opening goal for Juventus

4705077C00000578-0-image-a-7_1512508942255.jpg


The former Chelsea winger wheels away in delight after scoring in the 15th minute in Greece

470525BC00000578-0-Colombian_star_Cuadrado_gave_his_team_the_perfect_start_after_ta-a-20_1512509300034.jpg


Cuadrado almost had another 10 minutes later from Gonzalo Higuain's pass but Proto was out sharply to smother

47051ABE00000578-0-image-a-15_1512509024707.jpg


There were plenty of crunching challenges on show - here Leonardo Koutris tackles Cuadrado

Dogo amejitahidi sana baada ya kuondoka Chelsea. Sasa hivi ni regular starting Xi kwenye timu yake ya taifa na klabu.
 
DAAAAH YANI ATLETICO ANA DRAW KWETU
KWANN IV ONA SASA TUMEKUWA WASHINDI WAPILI VIPI TUKIKUTANA NAKINA PSG AU MAN U SILITAKUWA BALAA
 
DAAAAH YANI ATLETICO ANA DRAW KWETU
KWANN IV ONA SASA TUMEKUWA WASHINDI WAPILI VIPI TUKIKUTANA NAKINA PSG AU MAN U SILITAKUWA BALAA
yani we nae unaiogopa man u kwel ulimwengu huu wa sasa
 
DAAAAH YANI ATLETICO ANA DRAW KWETU
KWANN IV ONA SASA TUMEKUWA WASHINDI WAPILI VIPI TUKIKUTANA NAKINA PSG AU MAN U SILITAKUWA BALAA
Hakuna team ya kuifunga Chelsea kwa sasa....

Keep my words. Since team has switched to 3+5+2 it's not easy for any opponent to beat us.
 
  • Thanks
Reactions: SIM
4704F4EC00000578-5148927-image-a-19_1512505063759.jpg


Angekuwa na stamina hata nusu ya aliyonayo Hazard..he is a very bright player

4704FF9F00000578-5148927-image-a-23_1512505302182.jpg


Bado naamini hatukufanya makosa kumsajili. Ila anatakiwa kuadapt mapema kwa mikiki mikiki.
Ni kweli kabisa Chief Morata Mpira anajua sana na ni foward mjanja sana.Ila ni mwepesi sana kwenye stamina kulinganisha na alivyokua Costa.
Nafasi za kutumia ubabe ufunge Morata hawezi sana..though bado ni mdogo Ana nafasi ya kubadilika.
Mimi ni Arsenal fan.
 
Kwa kweli mie nikimuona tu ameanza huwa nakosa raha kabisa kwanza hajui mpira nakumbuka kam alivyokuja cuadrado kwa mbwembwe ila hakuna mchezaji
Bakayoko ni bonge la mchezaji mkuu.Tatizo umeconcentrate kwenye makosa anayofanya.
Kumbuka huu ni msimu wake wa kwanza Uingereza Mpe MUDA utakuja kumkubali.Ubaya mnamlinganisha na Matic harakaharaka.
Ligi ya Uingereza inahitaji muda kuizoea
 
Jana morata kakosa bao la wazi kanisa, William naye yeye na kipa, alipaisha. Fabregas ametabiri huenda tukakutana na Barcelona, itakuwa mechi ngumu sana kwetu. Madrid, juventus na Bayern Munich nao washindi wa pili ktk magroup yao, huenda Bayern wakakutana na spurs, Manchester vs Madrid, juventus vs PSG
 
Bora Chelsea ikapangwa na Barcelona ila wasiwasi wangu itapangwa PSG na huu mlima ni mrefu mno kuupanda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom