Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

karibu sana kwenye jukwaa kocha wetu.
ila tunakuomba huyu kijana bakayoko mpumzishe au awe anacheza mechi zisizo na ushindani au pressure mfano carabao cup+fa cup+weak team.
tengeneza partnership ya kante+drinkwater.
drinkwater mtu wa kazi hastahili kukaa benchi mbele ya waste bakayoko.
Match na man u mbona hamkusema hivi
Kuna siku mchezaji anakuwa hayuko katika ubora wake hata awe star namna gani
 
Bakayoko sijawahi mkubali toka akiwa monaco, nilimuona semi final against juventus alicheza hovyo hadi kocha akamtoa second half mwanzoni kabisa. bodi ya chelsea ilizembea sana kwa tolliso huyu tulikuwa tunamchukua na mwenyewe alikuwa willing kuja.
matokeo yake tumekuja angukia kwa waste bakayoko.
starting11 ikiwa na bakayoko+cahili+alonso hapo chelsea tunacheza kama timu ndogo yaani kama crystal palace.
Kuna wachezaji sitakaa niwalaumu kabisa mmoja wapo ni bakayoko najua huu ni msimu wake wa kwanza pamoja na drinkwater lakini wametupa vitu vingi sana kuliko tulivyowategemea
 
mkuu una mawazo kama yangu, nilikuwa sijasoma hii post yako kumbe tumewaza the same.
bakayoko anaanzaje mbele ya willian+pedro????????? fabregas kashakuwa mhenga hakabi so anaanzaje mbele ya drinkwater???? fab/bakayoko waanze mbele ya willian+pedro+drinkwater?????
kama sio utani ni nini huu.
Mkuu Nando umeongea kweli ila kwa Fab nakupinga. Fab anastahili kuwa kwenye 1st 11. Anaonyesha kiwango kizuri sana hastahili. Nafikiri Bakayoko ampishe Drinkwater walau aanze kujifikiria. Lakini kwa Fab muache aanze. Ikiwa una Kante na Drinkwater unataka Fab naye aanze kufanya kazi za hawa wawili.? Angalia statistics za Fab msimu huu hasa zile pass za mwisho ame participate vizuri mno.

Morata anaanza kutu cost sana. Tunapoteza magoli ya wazi. Tunahitaji mstriker walau watatu. Wapeane changamoto wenyewe. Ingekua vizuri naye aanzie benchi walau Batman naye aanze.

Kikosi changu
Courtois, Azpilicueta, Christensen, Rudiger, Kante, Drinkwater, Fabregas, Moses, Alonso, Hazard, Batman/Willian

Hao vijana kina Kennedy na Musonda watatumika kwenye Carabao, FA na mechi nyingine
 
Chelsea kamaliza nafasi ya pili
Kati ya timu 8 zilizoongoza makundi...1 ni kutoka kundi lake hivyo hawezii kupangwa nayo raundi ya 16 bora...4 kati ya 7 zilizobakii ni timu za kwao England pia hawawezi kupangwa nao...timu 3 pekee zilizobakia ni
1. Barca
2. Psg
3. Besiktas

Dua zote zinaangukia kwa Besiktas

Mjiandae kisaikolojia wana Blue's
 
Mkuu Nando umeongea kweli ila kwa Fab nakupinga. Fab anastahili kuwa kwenye 1st 11. Anaonyesha kiwango kizuri sana hastahili. Nafikiri Bakayoko ampishe Drinkwater walau aanze kujifikiria. Lakini kwa Fab muache aanze. Ikiwa una Kante na Drinkwater unataka Fab naye aanze kufanya kazi za hawa wawili.? Angalia statistics za Fab msimu huu hasa zile pass za mwisho ame participate vizuri mno.

Morata anaanza kutu cost sana. Tunapoteza magoli ya wazi. Tunahitaji mstriker walau watatu. Wapeane changamoto wenyewe. Ingekua vizuri naye aanzie benchi walau Batman naye aanze.

Kikosi changu
Courtois, Azpilicueta, Christensen, Rudiger, Kante, Drinkwater, Fabregas, Moses, Alonso, Hazard, Batman/Willian

Hao vijana kina Kennedy na Musonda watatumika kwenye Carabao, FA na mechi nyingine
Akili zako unazijua mwenyewe yaani batman ni bora kuliko morata...!!!
 
Chelsea kamaliza nafasi ya pili
Kati ya timu 8 zilizoongoza makundi...1 ni kutoka kundi lake hivyo hawezii kupangwa nayo raundi ya 16 bora...4 kati ya 7 zilizobakii ni timu za kwao England pia hawawezi kupangwa nao...timu 3 pekee zilizobakia ni
1. Barca
2. Psg
3. Besiktas

Dua zote zinaangukia kwa Besiktas

Mjiandae kisaikolojia wana Blue's
Ili utwae uefa ni lazima ucheze na hao unaowaogopa
2012 timu yetu ilikuwa mbovu sana lakini tulizifunga napoli, barcelona na bayern munchen tukatwaa ndooo
Barcelona na baryen za wakati huo zilikuwa zinatisha kuliko hizi za sasa
 
Tetesi
Meneja wa West Ham David Moyes anatathmini kumwacha nje kipa Joe Hart, 30, wakati wa mechi ya Jumamosi na Chelsea. (Guardian)
 
Tetesi
Meneja wa West Ham David Moyes anatathmini kumwacha nje kipa Joe Hart, 30, wakati wa mechi ya Jumamosi na Chelsea. (Guardian)
 
mkuu una mawazo kama yangu, nilikuwa sijasoma hii post yako kumbe tumewaza the same.
bakayoko anaanzaje mbele ya willian+pedro????????? fabregas kashakuwa mhenga hakabi so anaanzaje mbele ya drinkwater???? fab/bakayoko waanze mbele ya willian+pedro+drinkwater?????
kama sio utani ni nini huu.
we inaonekana umekariri mpira
we unajua umuhim wa fabi kwel kwny kikoc cha chelsea au unaongelea mapenzi fabi ndo link up ya timu na toka msim umeanza anafanya vzuri sana
fabi sio kiungo mkabaji so nakushangaa unapoizungumzia nafasi yake na maji ya kunywa
fabi mpange na viungo wawil wazur hapo unamuondolea majukum ya kukaba afu uone shughul yake
gemu zote alizocheza either na kate na bakayoko au maji ya kunya hua anafanya vzur sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom