eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Sio kila siku mchezaji anakuwa katika kiwango mkuuBakayoko asicheze big match acheze FA cup na carabao cup kwa nini asianze na Dany mboma match ya newcastel walicheza vzr sana
Sio kila siku mchezaji anakuwa katika kiwango mkuuBakayoko asicheze big match acheze FA cup na carabao cup kwa nini asianze na Dany mboma match ya newcastel walicheza vzr sana
Nafikiri tumpongeze sana golikipa wa atleticoMorata ni mchezejai mzuri lakini conte inabidi azungumze nae aongeze umakini katika finishing timu yetu sasa ina posess sana lakini tunapoteza nafasi sana
Hapa sikubaliani na mpango wa bakayoko kukaa benchi eti kisa pedro na wiliani wachezeKuna aja ya kuwatumia Pedro na Willian zaidi kwa kweli. Weka Bakayoko benchi tu. Haiingii akilini kumuweka Bakayoko uwanjani halafu Pedro na Willian wanakaa benchi aisee kisa formation. Kwanza naamini wanavyojituma wala hatutaona pengo lake. They are good defensively na offensively.
Halafu kujifanya chelsea uache sawaDAAAAH YANI ATLETICO ANA DRAW KWETU
KWANN IV ONA SASA TUMEKUWA WASHINDI WAPILI VIPI TUKIKUTANA NAKINA PSG AU MAN U SILITAKUWA BALAA
Hahahaa mm chesii damu ww AF ujui2Halafu kujifanya chelsea uache sawa
Tukikutana na man u na psg atapigwa tu kama alifungwa na team ndogo kwa chelsea hii yeyote anapigwa tu
pachanya nimekuelewaNi kweli kabisa Chief Morata Mpira anajua sana na ni foward mjanja sana.Ila ni mwepesi sana kwenye stamina kulinganisha na alivyokua Costa.
Nafasi za kutumia ubabe ufunge Morata hawezi sana..though bado ni mdogo Ana nafasi ya kubadilika.
Mimi ni Arsenal fan.
Jana alipotoka Bakayoko aliingia nani??? Sio Pedro?Hapa sikubaliani na mpango wa bakayoko kukaa benchi eti kisa pedro na wiliani wacheze
Wilian inajulikana anaingia badala ya hazard
We need to bring back on January Tammy Abraham. He is doing good at Swansea. And there is no need to buy new striker while Tammy is there.Jana alipotoka Bakayoko aliingia nani??? Sio Pedro?
Mchezo ulikuwaje baada ya hapo?
Sisemi kuwa Bakayoko ni mbaya sana ila salau aanzie benchi. Hainiingii akilini Willian na Pedro wanaanzia benchi kisa Bakayoko aisee...sorry.
Nguvu sijuu kama anayo kwanza ya kuhimili mchezo mmoja mmoja kisha kuhili mechi za msimu mzima.We need to bring back on January Tammy Abraham. He is doing good at Swansea. And there is no need to buy new striker while Tammy is there.
Tammy nguvu anazo sn tena kwa Swansea ndio tegemeo lao.Nguvu sijuu kama anayo kwanza ya kuhimili mchezo mmoja mmoja kisha kuhili mechi za msimu mzima.
Tunahitaji mtu wa mabavu kucheza pale mbele.
La sivyo tuzidishe nguvu/ubora kwenye midfield yetu kisha tuwatumie Hazard/pedro Hazard/Willian kama forward bila traditional striker.
Sawa mentor ila kuna siku mchezaji anakuwa hayuko vizuri hata hao wilian na pedro wakianza unaweza kujikuta unawalaumu tu siku hazifanani mkuuJana alipotoka Bakayoko aliingia nani??? Sio Pedro?
Mchezo ulikuwaje baada ya hapo?
Sisemi kuwa Bakayoko ni mbaya sana ila salau aanzie benchi. Hainiingii akilini Willian na Pedro wanaanzia benchi kisa Bakayoko aisee...sorry.
karibu sana kwenye jukwaa kocha wetu.Tammy nguvu anazo sn tena kwa Swansea ndio tegemeo lao.
Ukiangalia namna Faby, Hazard na viungo wengine wanavyowatengenezea nafasi Hazard na Batshuay km Tammy ndio angekua hapo basi magoli mengi angetupia
mkuu una mawazo kama yangu, nilikuwa sijasoma hii post yako kumbe tumewaza the same.Jana alipotoka Bakayoko aliingia nani??? Sio Pedro?
Mchezo ulikuwaje baada ya hapo?
Sisemi kuwa Bakayoko ni mbaya sana ila salau aanzie benchi. Hainiingii akilini Willian na Pedro wanaanzia benchi kisa Bakayoko aisee...sorry.
Kuna shida kidogo kwa Bakayoko, lkn ukiangalia umri wake na kiwango alichonacho basi unaona yuko na future nzuri sn.karibu sana kwenye jukwaa kocha wetu.
ila tunakuomba huyu kijana bakayoko mpumzishe au awe anacheza mechi zisizo na ushindani au pressure mfano carabao cup+fa cup+weak team.
tengeneza partnership ya kante+drinkwater.
drinkwater mtu wa kazi hastahili kukaa benchi mbele ya waste bakayoko.