Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bakayoko..kwakweli naona ameenza kuvuruga kwa kasi sana sijui nini kimempata!
Nitajieni mchezaji ambae amewahi cheza mechi hata moja bila kufanya kosa lolote,mpira hauchezwi na malaika,hamjui na hamjacheza mpira ndo maana mnaishia kuspot makosa ya MTU mnaemchukia,
 
unajua muda mwingine tuache kuwa km mashabiki hewa na kuwa km hatujui mpira... Unaanza kuangalia ubovu wa defence YA liverpool pasi na kuangalia attacking threat Yao na mapungufu YA mabeki wako???? Huo utakuwa na wazimu lazima umpe heshima mpinzani wako Ndo kitu alichofanya Antonio Conte "Master of tactics".

Aliwaweka Drinkwater Kante na Bakayoko kati ili kuua movement za kina Coutinho na Henderson kwa kufanya tight marking ili kupunguza running space YA kina Salah na Chamberlain na kwahlooo alifanikiwa maana dk 45 za mwanzo liver hawakuwa hata na shot on target bado unamlaumu Conte

Angalia Game play YA liver baada YA kutoka Drinkwater na Bakayoko walivyokuwa wanaflow kina Salah kuelekea kwenye lango letu na kufanya kuwa na madhara zaidi YA hapo awali... Unahc angeanza Fab ambaye sote tunajua sio mzur kwenye marking plus una zapacosta na Alonso ambao pia wanamapungufu kwenye marking muongezeee na Kaka Yao Cahill hapo na zile mbio za kina Salah na Coutinho hali ingekuwaje kwa DK 90???

Tuwe na tunasoma nyakati na mchezo Ndo tulalamike sio Kila game unaweza ukashinda Kila hisi tu hasa away games
 
unajua muda mwingine tuache kuwa km mashabiki hewa na kuwa km hatujui mpira... Unaanza kuangalia ubovu wa defence YA liverpool pasi na kuangalia attacking threat Yao na mapungufu YA mabeki wako???? Huo utakuwa na wazimu lazima umpe heshima mpinzani wako Ndo kitu alichofanya Antonio Conte "Master of tactics".

Aliwaweka Drinkwater Kante na Bakayoko kati ili kuua movement za kina Coutinho na Henderson kwa kufanya tight marking ili kupunguza running space YA kina Salah na Chamberlain na kwahlooo alifanikiwa maana dk 45 za mwanzo liver hawakuwa hata na shot on target bado unamlaumu Conte

Angalia Game play YA liver baada YA kutoka Drinkwater na Bakayoko walivyokuwa wanaflow kina Salah kuelekea kwenye lango letu na kufanya kuwa na madhara zaidi YA hapo awali... Unahc angeanza Fab ambaye sote tunajua sio mzur kwenye marking plus una zapacosta na Alonso ambao pia wanamapungufu kwenye marking muongezeee na Kaka Yao Cahill hapo na zile mbio za kina Salah na Coutinho hali ingekuwaje kwa DK 90???

Tuwe na tunasoma nyakati na mchezo Ndo tulalamike sio Kila game unaweza ukashinda Kila hisi tu hasa away games
Sahihi kabisa ndugu.... Ngoja pakitulia humu tutaleta uchambuzi mzuri kutokana na game ya jana... Ila Conte ni fundi
 
46B0E09100000578-5117029-image-a-39_1511637369864.jpg


Pamoja na kucheza dakika tatu..he is the chelsea player of the game

46B0E7A700000578-5117029-image-a-51_1511637793655.jpg


Yani huyu kipa ni pazia sijui kwa nini hatukumjaribu zaidi...
Willian siku zote ni mchezaji wa akili nyingi. Hata siku asipocheza vizuri mimi naamini tu hakupata matching mate
 
Willian siku zote ni mchezaji wa akili nyingi. Hata siku asipocheza vizuri mimi naamini tu hakupata matching mate
Ile ilkuwa shuti au krosi. Willian anasema it was a shoot. Golkipa wa Liverpool anasema ilikuwa n krosi ila akashtukia imetinga ndani ndio maana hakuangaika kuifuata.

Shoot or a Cross? Kwenye mitandao goli la Willian limezua mijadala mikali pamoja na Wilkian kukiri kuwa ilikuwa ni shuti
 
Ile ilkuwa shuti au krosi. Willian anasema it was a shoot. Golkipa wa Liverpool anasema ilikuwa n krosi ila akashtukia imetinga ndani ndio maana hakuangaika kuifuata.

Shoot or a Cross? Kwenye mitandao goli la Willian limezua mijadala mikali pamoja na Wilkian kukiri kuwa ilikuwa ni shuti
Na Conte anasema hakumtuma Willian kufanya hivo
 
Nitajieni mchezaji ambae amewahi cheza mechi hata moja bila kufanya kosa lolote,mpira hauchezwi na malaika,hamjui na hamjacheza mpira ndo maana mnaishia kuspot makosa ya MTU mnaemchukia,

Mkuu, juzi kocha alikosea kupanga kikosi. Hiyo ni fact ni vile tu hawezi kusema hivyo hadharani. Kwa suala la Bakayoko si kwamba ni mchezaji mzuri sana tuseme ni juzi tu ndo tumemsema vibaya. Ni mchezaji wa kawaida sana ila wanapopangwa vizuri, hata mchezaji wa kawaida anaweza kuonekana star. Angalia Cahill alivyopotea wakati Kante ni majeruhi. Si kwamba Caill ni mchezaji mbovu sana, ila kuna combination kocha lazima ukubaliane nayo tu kuwa inasaidia kufukia madhaifu ya wengine. Kumsema Bakayoko mechi ya juzi si vibaya lakini zaidi sana ni koca alikosea kupanga kikosi chake vyema.
 
Mkuu, juzi kocha alikosea kupanga kikosi. Hiyo ni fact ni vile tu hawezi kusema hivyo hadharani. Kwa suala la Bakayoko si kwamba ni mchezaji mzuri sana tuseme ni juzi tu ndo tumemsema vibaya. Ni mchezaji wa kawaida sana ila wanapopangwa vizuri, hata mchezaji wa kawaida anaweza kuonekana star. Angalia Cahill alivyopotea wakati Kante ni majeruhi. Si kwamba Caill ni mchezaji mbovu sana, ila kuna combination kocha lazima ukubaliane nayo tu kuwa inasaidia kufukia madhaifu ya wengine. Kumsema Bakayoko mechi ya juzi si vibaya lakini zaidi sana ni koca alikosea kupanga kikosi chake vyema.
Nkwela unaweza kukakibiliana vipi na Liverpool ikiwa na Mane, Salah, Ferminho, Georgian Wijnuldum, Coutinho etc wakiwa kwao huku wao wakiwa na siku mbili za maandalizi?

Bila Shaka lazima utafute approach iliyosahihi. Sema Conte alichochelewa ni kule kuruhusu Wing back zake zipande mbele na ndio maana muda wote Chelsea walikua 5+3+2 .

Walipokuja sasa kuruhusiwa baada ya kufungwa Liverpool walichanganyikiwa.

Lkn kucheza na viungo watatu wa nguvu hapo Kati ilikua best option
 
Nkwela unaweza kukakibiliana vipi na Liverpool ikiwa na Mane, Salah, Ferminho, Georgian Wijnuldum, Coutinho etc wakiwa kwao huku wao wakiwa na siku mbili za maandalizi?

Bila Shaka lazima utafute approach iliyosahihi. Sema Conte alichochelewa ni kule kuruhusu Wing back zake zipande mbele na ndio maana muda wote Chelsea walikua 5+3+2 .

Walipokuja sasa kuruhusiwa baada ya kufungwa Liverpool walichanganyikiwa.

Lkn kucheza na viungo watatu wa nguvu hapo Kati ilikua best option
Ni kweli , unapokutana na timu yenye watu kama wa Liverpool ni lazima utengeneze tight marking , hautakua na chaguo lingine ni kuweka viungo wa kazi tupu , japo unapofanya hivyo hautakua na creative option ya mtu kama fabrigas hivo utakosa open space ambayo hutengenezwa na fabrigas timu inaposhambulia, kuufanya ulinzi uwe mzuri alikua sahihi, lakini bado timu inahitaji kushambulia hapo ndipo kosa linapokuja unapohitaji kuzuia na kushambulia kwa ufasaha, kuna muda mwalimu anakua out of option ila conte is the master
 
Nkwela unaweza kukakibiliana vipi na Liverpool ikiwa na Mane, Salah, Ferminho, Georgian Wijnuldum, Coutinho etc wakiwa kwao huku wao wakiwa na siku mbili za maandalizi?

Bila Shaka lazima utafute approach iliyosahihi. Sema Conte alichochelewa ni kule kuruhusu Wing back zake zipande mbele na ndio maana muda wote Chelsea walikua 5+3+2 .

Walipokuja sasa kuruhusiwa baada ya kufungwa Liverpool walichanganyikiwa.

Lkn kucheza na viungo watatu wa nguvu hapo Kati ilikua best option

Mledi haswa ameongea vyema.

Kwa muono wa kocha alitegemea tutakapoweza kuwadhibiti kati, basi Bakayoko ata-deputise nafasi ya creative midfielder role aliyofail.

Mtazamo wangu mwingine ulikuwa, kwa kukubaliana na wewe kuhusu uchovu wa wachezaji, mechi kama hiyo ni afadhali Morata angekaa benchi tuanze na Pedro (ama Willian) kama false nine. Walau unakuwa na creative attacking midfielders wawili mbele na wana speed in case kuna counter attack. Morata hawezi kucheza counter attacking.
 
Ni kweli , unapokutana na timu yenye watu kama wa Liverpool ni lazima utengeneze tight marking , hautakua na chaguo lingine ni kuweka viungo wa kazi tupu , japo unapofanya hivyo hautakua na creative option ya mtu kama fabrigas hivo utakosa open space ambayo hutengenezwa na fabrigas timu inaposhambulia, kuufanya ulinzi uwe mzuri alikua sahihi, lakini bado timu inahitaji kushambulia hapo ndipo kosa linapokuja unapohitaji kuzuia na kushambulia kwa ufasaha, kuna muda mwalimu anakua out of option ila conte is the master
Pamoja na kua alikua anazuia bado alikua anashambulia kwa ufasaha kabisa.

Jurgen Klopp mwenyewe amekiri kua ilikua shida kumzuia Hazard mpk watu watatu ndio walikua wanaweza na Morata pia ilikua kz kubwa. Tena Klopp anasema it's unbelievable.

Na Chelsea pamoja na kukaba sn still walikua ni dangerous sn kuliko Liverpool
 
Kila mtu anamapungufu yake , Antonio conte anatunyima kitu kumuweka nje luiz kwa kua , turudi nyuma kidogo kwa nn alimtaka David luiz , lengo kubwa ni kua na mtu anaeongeza kitu kwenye nafasi ya kiungo pia , tunaona uwezo wake wa kuingia kwenye eneo la kiungo kwa ufasaha na jicho la kuanzisha mashambulizi kwa mipira mirefu , ukimtoa azp waliobaki mabeki wengine si wazuri sana katika hilo ndio maana tunapofanya break up kuna nkitu tunakosa katika kuongeza nguvu ya weledi eneo la kiungo na ndio maana akamuweka katikati ili iwe rahisi kwake kuingia katika safu ya kiungo, kwa macho ya kawaida ni ngumu kuliona hilo ila ni mtu muhimu sana kasa kwa mechi za watu wenye pressing ya juu. Timu inamuhitaji luiz kuliko tunavoona kwa macho ya kawaida.
 
Mledi haswa ameongea vyema.

Kwa muono wa kocha alitegemea tutakapoweza kuwadhibiti kati, basi Bakayoko ata-deputise nafasi ya creative midfielder role aliyofail.

Mtazamo wangu mwingine ulikuwa, kwa kukubaliana na wewe kuhusu uchovu wa wachezaji, mechi kama hiyo ni afadhali Morata angekaa benchi tuanze na Pedro (ama Willian) kama false nine. Walau unakuwa na creative attacking midfielders wawili mbele na wana speed in case kuna counter attack. Morata hawezi kucheza counter attacking.
Kumbuka tulipokua ktk Champions League Bakayoko, Drinkwater, Chill, Christensen na Morata hawa wote walipumzishwa kwa ajili ya kukabiliana na Liverpool. Japo wengine walicheza kidogo so yote hii ilikua ni maandalizi ya Liverpool na kocha ilikua lazima achukue hao wachezaji.

Na kuhusu Bakayoko, ni kweli hakufanya vzr ata Drinkwater alionekana kumzidi maana ni Mara kadhaa aliingia ndani ya box la adui kwa hatari mbaya.

Sema km mliangalia ule mpira ulikua hauna totally body physical involvement hasa kwa wachezaji wa Chelsea kuanzia mabeki na mids maana waliepuka kusababisha faul za kipuuzi hasa ukizingatia wachezaji wa Liverpool waongo hupenda kumdanganya refa. Na ndio maana mnaweza kuona ata Bakayoko km Alikua mzito vile maana alikua anaepuka kufanya makosa ambayo yangeighalimu timu. Na ukumbuke kua Bakayoko ana nguvu sn na michezo ya nyuma amepewa kadi na kufanya makosa mengi. So kz kubwa ilikua ni kuidhibiti miili yao ndio maana kunaoneka km kuna u slow Fulani.

Kitu kingine ni Chelsea ndio waliotengeneza nafasi nyingi sn za hatari kuliko Liverpool so kwangu Mimi ata km tulikua na utulivu Fulani na ulinzi sn tulikua wazuri kuzidi wenzetu
 
Kila mtu anamapungufu yake , Antonio conte anatunyima kitu kumuweka nje luiz kwa kua , turudi nyuma kidogo kwa nn alimtaka David luiz , lengo kubwa ni kua na mtu anaeongeza kitu kwenye nafasi ya kiungo pia , tunaona uwezo wake wa kuingia kwenye eneo la kiungo kwa ufasaha na jicho la kuanzisha mashambulizi kwa mipira mirefu , ukimtoa azp waliobaki mabeki wengine si wazuri sana katika hilo ndio maana tunapofanya break up kuna nkitu tunakosa katika kuongeza nguvu ya weledi eneo la kiungo na ndio maana akamuweka katikati ili iwe rahisi kwake kuingia katika safu ya kiungo, kwa macho ya kawaida ni ngumu kuliona hilo ila ni mtu muhimu sana kasa kwa mechi za watu wenye pressing ya juu. Timu inamuhitaji luiz kuliko tunavoona kwa macho ya kawaida.
Well uko sahihi lkn Mimi nilipenda niongelee swala la Luiz ktk mtazamo mwingine. Mara zote Conte amekua akisisitiza kua kumuweka nje Luiz ni swala la kiufundi ingawa najua hawezi kusema wazi kua Luiz alishuka kiwango. Lkn Conte amekua akiijenga team na kuifanya iwe na nguvu kila sehemu na kila mchezaji anakua yuko vzr.

Ktk nafasi ya Luiz tulikua hatuna mbadala madhubuti kabisa ktk hilo eneo na ndio maana Andy alivoonyesha uweza mzuri basi Conte ameshikilia hapo hapo.

Tony Rudiger anaweza kucheza nafasi ya Azplicueta, na ata ya Cahill. Sasa hapo Kati Nani alikua anaweza?? Mpk sasa ktk hizo nafasi tumeshapata ufumbuzi na Conte hana tena mawazo.

Tunapokuja ktk team yenye High pressing, ni City tu ndio walikua na High pressing ambayo ilionekana kutusumbua na mara kadhaa Sterling alifika miguuni mwa Courtois kumtibulia mipira na ukumbuke City ile ndo ilikua high performance yao msimu huu lkn still walionekana kupata taabu.

Majuzi Liverpool walijaribu kufanya pressing ya juu na wakawa wanawasumbua wale beki watatu wa nyuma lkn safari hii ilionekana ni tofauti kidogo mana kila walipofata mipira kwetu kwa nguvu walijikuta wanaambulia patupu hii Chelsea wameifanyia kz mana mashambulizi ya Chelsea huanzia ktk back three line. Sasa kuna kitu kweli tunakosa hasa zile pasi za Luiz ingawa Luiz mwenyew huzipiga pale anapokua na nafasi kitu ambacho Andy anaweza kufanya hivo anapokua na nafasi na ni lazima awe mzuri ktk pasi ukizingatia hiyo nafsi anayocheza inahitaji mtu wa kariba hiyo maana system ndio inataka hivo.

Lkn kwa game ya juzi Andy alikua na Jukumu moja tu kuhakikisha Danny Sturidge haleti madhara yoyote kumbuka Liverpool waliamua kumchezesha Danny makusudi km typical striker na sio false km kina Firminho ili mipira ikifika kwa Danny aweze kui hold huku kina Salah, Ox na Coutinho wanakuja kwa kasi maana kumbuka Liverpool walikua wanakaba wote na kupanda wote kasoro Sturidge tu lkn unaweza kuona ni namna gani Christensen alivyomfunika Danny mpk akapotea na hakua na madhara na mashiti aliyopiga golini kwetu wala sikumbuki idadi yake Lkn niseme tu Andy km hana majukumu mengine anaweza kutoa pasi tu muzuri ingawa David Luiso ni bomba zaidi.

Kwa sasa Chelsea tunaweza kuwatumia wachezaji wote maana wote wako vzr na wameishika vzr mifumo ya Conte yote miwili 3+4+3 na 3+5+2 sema ktk upande wa Wing back ya Alonso tunahitaji back up huko maana sipendezwi na anavyochezeshwa Azpilicueta huko.
 
Well uko sahihi lkn Mimi nilipenda niongelee swala la Luiz ktk mtazamo mwingine. Mara zote Conte amekua akisisitiza kua kumuweka nje Luiz ni swala la kiufundi ingawa najua hawezi kusema wazi kua Luiz alishuka kiwango. Lkn Conte amekua akiijenga team na kuifanya iwe na nguvu kila sehemu na kila mchezaji anakua yuko vzr.

Ktk nafasi ya Luiz tulikua hatuna mbadala madhubuti kabisa ktk hilo eneo na ndio maana Andy alivoonyesha uweza mzuri basi Conte ameshikilia hapo hapo.

Tony Rudiger anaweza kucheza nafasi ya Azplicueta, na ata ya Cahill. Sasa hapo Kati Nani alikua anaweza?? Mpk sasa ktk hizo nafasi tumeshapata ufumbuzi na Conte hana tena mawazo.

Tunapokuja ktk team yenye High pressing, ni City tu ndio walikua na High pressing ambayo ilionekana kutusumbua na mara kadhaa Sterling alifika miguuni mwa Courtois kumtibulia mipira na ukumbuke City ile ndo ilikua high performance yao msimu huu lkn still walionekana kupata taabu.

Majuzi Liverpool walijaribu kufanya pressing ya juu na wakawa wanawasumbua wale beki watatu wa nyuma lkn safari hii ilionekana ni tofauti kidogo mana kila walipofata mipira kwetu kwa nguvu walijikuta wanaambulia patupu hii Chelsea wameifanyia kz mana mashambulizi ya Chelsea huanzia ktk back three line. Sasa kuna kitu kweli tunakosa hasa zile pasi za Luiz ingawa Luiz mwenyew huzipiga pale anapokua na nafasi kitu ambacho Andy anaweza kufanya hivo anapokua na nafasi na ni lazima awe mzuri ktk pasi ukizingatia hiyo nafsi anayocheza inahitaji mtu wa kariba hiyo maana system ndio inataka hivo.

Lkn kwa game ya juzi Andy alikua na Jukumu moja tu kuhakikisha Danny Sturidge haleti madhara yoyote kumbuka Liverpool waliamua kumchezesha Danny makusudi km typical striker na sio false km kina Firminho ili mipira ikifika kwa Danny aweze kui hold huku kina Salah, Ox na Coutinho wanakuja kwa kasi maana kumbuka Liverpool walikua wanakaba wote na kupanda wote kasoro Sturidge tu lkn unaweza kuona ni namna gani Christensen alivyomfunika Danny mpk akapotea na hakua na madhara na mashiti aliyopiga golini kwetu wala sikumbuki idadi yake Lkn niseme tu Andy km hana majukumu mengine anaweza kutoa pasi tu muzuri ingawa David Luiso ni bomba zaidi.

Kwa sasa Chelsea tunaweza kuwatumia wachezaji wote maana wote wako vzr na wameishika vzr mifumo ya Conte yote miwili 3+4+3 na 3+5+2 sema ktk upande wa Wing back ya Alonso tunahitaji back up huko maana sipendezwi na anavyochezeshwa Azpilicueta huko.
Umenena vyema ndio maana mwalimu alimtaka Sandro au danny rose ili kuweka backup ya mandoza maana kuna time anachoka pia.
 
Umenena vyema ndio maana mwalimu alimtaka Sandro au danny rose ili kuweka backup ya mandoza maana kuna time anachoka pia.
Ila kwa sasa binafsi ninachanganyikiwa juu ya hawa wachezaji, Willian, Pedro, Hazard, Morata na Faby.

Hawa jamaa wanatulipa fadhila zetu sisi mashabiki wa Chelsea mana wanayafanya majukumu yao vzr sn.

Na hii mifumo ya Conte safari hii Hakuna team yoyote itakayo tufunga tena iwe awe away au home ni City tu ndio aliebahatisha
 
Well uko sahihi lkn Mimi nilipenda niongelee swala la Luiz ktk mtazamo mwingine. Mara zote Conte amekua akisisitiza kua kumuweka nje Luiz ni swala la kiufundi ingawa najua hawezi kusema wazi kua Luiz alishuka kiwango. Lkn Conte amekua akiijenga team na kuifanya iwe na nguvu kila sehemu na kila mchezaji anakua yuko vzr.

Ktk nafasi ya Luiz tulikua hatuna mbadala madhubuti kabisa ktk hilo eneo na ndio maana Andy alivoonyesha uweza mzuri basi Conte ameshikilia hapo hapo.

Tony Rudiger anaweza kucheza nafasi ya Azplicueta, na ata ya Cahill. Sasa hapo Kati Nani alikua anaweza?? Mpk sasa ktk hizo nafasi tumeshapata ufumbuzi na Conte hana tena mawazo.

Tunapokuja ktk team yenye High pressing, ni City tu ndio walikua na High pressing ambayo ilionekana kutusumbua na mara kadhaa Sterling alifika miguuni mwa Courtois kumtibulia mipira na ukumbuke City ile ndo ilikua high performance yao msimu huu lkn still walionekana kupata taabu.

Majuzi Liverpool walijaribu kufanya pressing ya juu na wakawa wanawasumbua wale beki watatu wa nyuma lkn safari hii ilionekana ni tofauti kidogo mana kila walipofata mipira kwetu kwa nguvu walijikuta wanaambulia patupu hii Chelsea wameifanyia kz mana mashambulizi ya Chelsea huanzia ktk back three line. Sasa kuna kitu kweli tunakosa hasa zile pasi za Luiz ingawa Luiz mwenyew huzipiga pale anapokua na nafasi kitu ambacho Andy anaweza kufanya hivo anapokua na nafasi na ni lazima awe mzuri ktk pasi ukizingatia hiyo nafsi anayocheza inahitaji mtu wa kariba hiyo maana system ndio inataka hivo.

Lkn kwa game ya juzi Andy alikua na Jukumu moja tu kuhakikisha Danny Sturidge haleti madhara yoyote kumbuka Liverpool waliamua kumchezesha Danny makusudi km typical striker na sio false km kina Firminho ili mipira ikifika kwa Danny aweze kui hold huku kina Salah, Ox na Coutinho wanakuja kwa kasi maana kumbuka Liverpool walikua wanakaba wote na kupanda wote kasoro Sturidge tu lkn unaweza kuona ni namna gani Christensen alivyomfunika Danny mpk akapotea na hakua na madhara na mashiti aliyopiga golini kwetu wala sikumbuki idadi yake Lkn niseme tu Andy km hana majukumu mengine anaweza kutoa pasi tu muzuri ingawa David Luiso ni bomba zaidi.

Kwa sasa Chelsea tunaweza kuwatumia wachezaji wote maana wote wako vzr na wameishika vzr mifumo ya Conte yote miwili 3+4+3 na 3+5+2 sema ktk upande wa Wing back ya Alonso tunahitaji back up huko maana sipendezwi na anavyochezeshwa Azpilicueta huko.
Uchambuzi nzuri sana Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom