Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
mkuu hujanielewa vizuri nilichomaanisha nadhani nimeeleza vizuri hapo juuFrom my point of view..that is the best Liverpool could do!
Kwa Chelsea, shameful results!!!!
mkuu hujanielewa vizuri nilichomaanisha nadhani nimeeleza vizuri hapo juuFrom my point of view..that is the best Liverpool could do!
Kwa Chelsea, shameful results!!!!
Kwa kipi hasa mlichocheza?? Pathetic.
Ndo ujue ulizidiwa.![]()
Pamoja na kucheza dakika tatu..he is the chelsea player of the game
![]()
Yani huyu kipa ni pazia sijui kwa nini hatukumjaribu zaidi...
Ndo ujue ulizidiwa.
Tafsiri kwa kigogo.Umeelewa nilichoandika ama nikutafsirie kwa Kiswahili!??
Sawa. Ila kadri mpira unavyoendelea ndo unavyoona wapi kuna makosa.mkuu hujanielewa nilichomaanisha,ninachosema ni kwa jinsi timu zilivyocheza sio kwa jinsi tulivyotegemea timu zitakavyokuwa mm mwenyewe nilitegemea Fabregas ataanza lakini haikuwa hivyo ndio maana nikasema kwa jinsi timu zilivyocheza leo.
sio kila mtu lazima umjibu mkuu wengine watakuumiza kichwa bure.Umeelewa nilichoandika ama nikutafsirie kwa Kiswahili!??
kwangu mm goli la salah lawama nyingi ni kwa bakayoko kuliko Cahill kwasababu Bakayoko ndo alikuwa katika position ya kuucheza mpira kabla ya Cahilllawama zangu kwa cahili zimerudi lile goli la salah ni uzito wake wa kuokoa ndio umesababisha achilia mbali bakayoko
morata na hazadi hawajanifurahisha kabisa leo
wilian nampa heshima zangu conte aanze kumpanga sasa
kante dany respect
ni hayo tu
hayakuwa majaribu alisema wakati anahojiwa kwamba Fabregas kacheza almost kila mechi msimu huu hivyo kaamua kumpumzisha kidogo kwasababu mechi ni nyingi zaidi kipindi hiki cha mwisho wa mwakaHaya majaribu anayofanya Conte ndio yataendelea kutukosesha matokeo kila siku
Tafsiri kwa kigogo.
What is hard for your post to not be understood by the way?
Just get on with your weekend sir. Moreover, I commented as you seek for an excuse as if what you got was not what you deserved but to Liverpool it was.Exactly my concern!
So, is it that your command of the English language is that atrociously abysmal or you just commented to seek superficial sentimentality?
If none, I will get on with my weekend sir...subhai!
lawama zangu kwa cahili zimerudi lile goli la salah ni uzito wake wa kuokoa ndio umesababisha achilia mbali bakayoko
morata na hazadi hawajanifurahisha kabisa leo
wilian nampa heshima zangu conte aanze kumpanga sasa
kante dany respect
ni hayo tu
hayakuwa majaribu alisema wakati anahojiwa kwamba Fabregas kacheza almost kila mechi msimu huu hivyo kaamua kumpumzisha kidogo kwasababu mechi ni nyingi zaidi kipindi hiki cha mwisho wa mwaka
sio kila mtu lazima umjibu mkuu wengine watakuumiza kichwa bure.
Did you watch the game buddy? Or you just got up and quickly commenting in jf without any point?Just get on with your weekend sir. Moreover, I commented as you seek for an excuse as if what you got was not what you deserved but to Liverpool it was.
Bitter truth is, that draw was the only 'win' you could get there. You should have praised your team.
What stopped you from winning man?Did you watch the game buddy? Or you just got up and quickly commenting in jf without any point?
Liverpool should praise to get draw not Chelsea. Go and see the stats
Just get on with your weekend sir. Moreover, I commented as you seek for an excuse as if what you got was not what you deserved but to Liverpool it was.
Bitter truth is, that draw was the only 'win' you could get there. You should have praised your team.
Just get on with your weekend sir. Moreover, I commented as you seek for an excuse as if what you got was not what you deserved but to Liverpool it was.
Bitter truth is, that draw was the only 'win' you could get there. You should have praised your team.