mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Hawa makocha kuna wakati uwa wanapenda kufukuzwa.Weka Bakayoko benchi mechi zote zilizobaki pambafuuu![]()
![]()
![]()
Au uwa wanabet.
Hawa makocha kuna wakati uwa wanapenda kufukuzwa.Weka Bakayoko benchi mechi zote zilizobaki pambafuuu![]()
![]()
![]()
Hii game tumeharibu baada ya kuanza na Bakayoko na Drinkwater
Sawa mzee wa kuongeza 3-0.
una tatizo la kumbukumbu au? 2014/2015 season chini ya Mourinho Chelsea anakupiga 2-1 anfield mnatangulia nyinyi Emre Can anakuja kuchomoa Cahill kipindi cha pili Costa anakugonga msumari wa mwisho halafu unakuja kuongopea watu Chelsea ya Costa haikukufunga anfield unadhani kila mtu ana ubongo wa mende kama weweChelsea ya ukweli ya Costa haikushinda Anfield ndiyo iwe hii mdebwedo ya Morata?
Draw hiyo mmeshinda
una tatizo la kumbukumbu au? 2014/2015 season chini ya Mourinho Chelsea anakupiga 2-1 anfield mnatangulia nyinyi Emre Can anakuja kuchomoa Cahill kipindi cha pili Costa anakugonga msumari wa mwisho halafu unakuja kuongopea watu Chelsea ya Costa haikukufunga anfield unadhani kila mtu ana ubongo wa mende kama wewe
Acha utani. Pedro, Willian na fab. Wangeingia mapema liver angekufa.From my point of view,it was a fair result to both teams kwa jinsi zilivyocheza mchezo wa leo.
From my point of view,it was a fair result to both teams kwa jinsi zilivyocheza mchezo wa leo.
a picture saves a thousand words
Acha utani. Pedro, Willian na fab. Wangeingia mapema liver angekufa.
Conte alishajua bakayoko na Danny hawako vizuri. Kwanini alichelewa kufanya sub.
Mpaka bakayoko anakuja kutoa pasi watu wanafunga.
Kwa kipi hasa mlichocheza?? Pathetic.From my point of view..that is the best Liverpool could do!
Kwa Chelsea, shameful results!!!!
mkuu hujanielewa nilichomaanisha,ninachosema ni kwa jinsi timu zilivyocheza sio kwa jinsi tulivyotegemea timu zitakavyokuwa mm mwenyewe nilitegemea Fabregas ataanza lakini haikuwa hivyo ndio maana nikasema kwa jinsi timu zilivyocheza leo.Acha utani. Pedro, Willian na fab. Wangeingia mapema liver angekufa.
Conte alishajua bakayoko na Danny hawako vizuri. Kwanini alichelewa kufanya sub.
Mpaka bakayoko anakuja kutoa pasi watu wanafunga.