Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila kwa sasa binafsi ninachanganyikiwa juu ya hawa wachezaji, Willian, Pedro, Hazard, Morata na Faby.

Hawa jamaa wanatulipa fadhila zetu sisi mashabiki wa Chelsea mana wanayafanya majukumu yao vzr sn.

Na hii mifumo ya Conte safari hii Hakuna team yoyote itakayo tufunga tena iwe awe away au home ni City tu ndio aliebahatisha
Kweli kabisa mkuu, ila tuombe wachezaji wasiwe majeruhi.

Nimeamini kuwa Conte Master plan
 
Ila kwa sasa binafsi ninachanganyikiwa juu ya hawa wachezaji, Willian, Pedro, Hazard, Morata na Faby.

Hawa jamaa wanatulipa fadhila zetu sisi mashabiki wa Chelsea mana wanayafanya majukumu yao vzr sn.

Na hii mifumo ya Conte safari hii Hakuna team yoyote itakayo tufunga tena iwe awe away au home ni City tu ndio aliebahatisha
Mkuu, ukiwa na Full kikosi bila majeruhi kipi kitakuwa kikosi chako cha kwanza?
 
Mkuu, ukiwa na Full kikosi bila majeruhi kipi kitakuwa kikosi chako cha kwanza?
Mmmmh inategemea na mfumo tutakao kua tunacheza.

Km ni 3+4+3 kipa ni Courtois.

Mabeki watatu ni Azpilicueta +Luiz +Cahill.

Wingbacks na mids ni Moses + Faby + Kante + Alonso.

Attackers na striker. Ni Willian +Morata +Hazard.

Sub hapo ni Pedro, Christensen, Rudiger, Zappacosta, Cabanero, Bakayoko na Drinkwater.

Tukiwa ktk 3+5+2

Basi golini ni Courtois.

Mabeki watatu ni Azpilicueta+Luiz+Cahill.

Mids.

Moses + Faby + Kante +Bakayoko na Alonso.

Strikers ni Hazard na Morata.

Sub hapo inajulikana.
 
Mmmmh inategemea na mfumo tutakao kua tunacheza.

Km ni 3+4+3 kipa ni Courtois.

Mabeki watatu ni Azpilicueta +Luiz +Cahill.

Wingbacks na mids ni Moses + Faby + Kante + Alonso.

Attackers na striker. Ni Willian +Morata +Hazard.

Sub hapo ni Pedro, Christensen, Rudiger, Zappacosta, Cabanero, Bakayoko na Drinkwater.

Tukiwa ktk 3+5+2

Basi golini ni Courtois.

Mabeki watatu ni Azpilicueta+Luiz+Cahill.

Mids.

Moses + Faby + Kante +Bakayoko na Alonso.

Strikers ni Hazard na Morata.

Sub hapo inajulikana.
Hujamtendea haki Christensen kabsaaaaa, chagua moja Kati ya Luiz au cahil ampishe huyu dogo
 
Hujamtendea haki Christensen kabsaaaaa, chagua moja Kati ya Luiz au cahil ampishe huyu dogo
Luiz japokua hapa Kati kumetokea shida kidogo lkn Luis awapo uwanjani hua km ni Kiongozi. Hasa ukizingatia ile nafasi anayocheza ujenzi wa mashambulizi na ulinzi wa mwisho hua hapo kwake. So dogo Andy ktk kuwaongoza wenzake tu hapo ndio anazidiwa na Luiz.

Hawa wote kina Cahill na Azp huongozwa na Luiz.
 
Chelsea wanatarajiwa kumnunua beki wa Juventus Alex Sandro ,26, mwezi Januari baada ya kushindwa kumsajili mshambuliaji huyo wa Brazil mwaka uliopita.(Daily Express)
 
Mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte anasema kuwa hajaelezwa iwapo atalazimika kuwasajili wachezaji wowote katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari iwapo mabingwa hao watetezi wanatarajiwa kuwafikia viongozi wa ligi Manchester City. (Guardian)
 
Real Madrid wanalenga kumsajili beki wa Chelsea na Brazil David Luiz 30 ambaye hatakikani katika uwanja wa Stamford Bridge msimu huu. (Daily Mail)
 
Mmmmh inategemea na mfumo tutakao kua tunacheza.

Km ni 3+4+3 kipa ni Courtois.

Mabeki watatu ni Azpilicueta +Luiz +Cahill.

Wingbacks na mids ni Moses + Faby + Kante + Alonso.

Attackers na striker. Ni Willian +Morata +Hazard.

Sub hapo ni Pedro, Christensen, Rudiger, Zappacosta, Cabanero, Bakayoko na Drinkwater.

Tukiwa ktk 3+5+2

Basi golini ni Courtois.

Mabeki watatu ni Azpilicueta+Luiz+Cahill.

Mids.

Moses + Faby + Kante +Bakayoko na Alonso.

Strikers ni Hazard na Morata.

Sub hapo inajulikana.

Kante ana namba ya kudumu hapo ila kama unafuatilia Ruben Loftus-Cheek anachokifanya pale Palace kuna uwezekano akarudishwa January hii ,the hilo dimba ya kati linaweza kuvurugwa muda wowote.

Tatizo langu ni hiyo combination ya Cahill na Luiz ,yaani siku Luiz akiperform vibaya Cahill utamuona hafai kabisa , in short huu mfumo wa kuwa na beki 3 nyuma unahitaji mabeki wenye utulivu wa akili sana kitu ambacho both Luiz na Cahill huwa wanakipoteza mara kwa mara uwanjani , nafikiri kama tunaendelea na Conte hawa mabeki wawili wajiandae kisaikolojia tu ,hawa madogo Christensen & Rudiger & Zappacosta na Kennedy wakomae tu, namba zao bado ziko hapo kikosini.

sijui ni mimi tu ila hapo mbele nina prefer Pedro mbele ya Willian ,Morata anahitaji competition ya namba zaidi ya
Bats .

il kwa sasa tuendelee na "don't fix what's not broken"
 
Kante ana namba ya kudumu hapo ila kama unafuatilia Ruben Loftus-Cheek anachokifanya pale Palace kuna uwezekano akarudishwa January hii ,the hilo dimba ya kati linaweza kuvurugwa muda wowote.

Tatizo langu ni hiyo combination ya Cahill na Luiz ,yaani siku Luiz akiperform vibaya Cahill utamuona hafai kabisa , in short huu mfumo wa kuwa na beki 3 nyuma unahitaji mabeki wenye utulivu wa akili sana kitu ambacho both Luiz na Cahill huwa wanakipoteza mara kwa mara uwanjani , nafikiri kama tunaendelea na Conte hawa mabeki wawili wajiandae kisaikolojia tu ,hawa madogo Christensen & Rudiger & Zappacosta na Kennedy wakomae tu, namba zao bado ziko hapo kikosini.

sijui ni mimi tu ila hapo mbele nina prefer Pedro mbele ya Willian ,Morata anahitaji competition ya namba zaidi ya
Bats .

il kwa sasa tuendelee na "don't fix what's not broken"
Vizuri sana mkuu
 
Kante ana namba ya kudumu hapo ila kama unafuatilia Ruben Loftus-Cheek anachokifanya pale Palace kuna uwezekano akarudishwa January hii ,the hilo dimba ya kati linaweza kuvurugwa muda wowote.

Tatizo langu ni hiyo combination ya Cahill na Luiz ,yaani siku Luiz akiperform vibaya Cahill utamuona hafai kabisa , in short huu mfumo wa kuwa na beki 3 nyuma unahitaji mabeki wenye utulivu wa akili sana kitu ambacho both Luiz na Cahill huwa wanakipoteza mara kwa mara uwanjani , nafikiri kama tunaendelea na Conte hawa mabeki wawili wajiandae kisaikolojia tu ,hawa madogo Christensen & Rudiger & Zappacosta na Kennedy wakomae tu, namba zao bado ziko hapo kikosini.

sijui ni mimi tu ila hapo mbele nina prefer Pedro mbele ya Willian ,Morata anahitaji competition ya namba zaidi ya
Bats .

il kwa sasa tuendelee na "don't fix what's not broken"
Hapo mwishoni nashawishika kukubaliana nawe sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom