Mimi nilikuwa mmoja wao aisee! Ila nimeamini kwenye kikosi chochote its all about balance. Balance ikiwa nzuri hata mmoja akiwa mbovu anakuwa mzuri tu.Yani kuna watu walikuwa bize kumponda Cahil mpaka utamuonea huruma. Sikatai he is not our best defender lakini Rudiger wa leo hawezi kumpiga benchi Cahill. Labda msimu ujao.
Ingawa pia, ile midfield ya Bakayoko na Kante inasaidia sana ku-proof mashambulizi la sivyo hata Alonso angeaibishwa sana.
Bado unaonekana kuendelea kuamini kua Cahill ni mbovu...Mimi nilikuwa mmoja wao aisee! Ila nimeamini kwenye kikosi chochote its all about balance. Balance ikiwa nzuri hata mmoja akiwa mbovu anakuwa mzuri tu.
Ngoja tusibiri mkuu tuoneBado unaonekana kuendelea kuamini kua Cahill ni mbovu...
Leo anapumzishwa kwa ajili ya Jumamosi hapo ndio utaona umuhimu wake
hana mbadala aspilicuetaView attachment 635705
Cahili
Christensen
Bakayoko na
Morata
Wamepumzishwa ili kuwakabili Liverpool. Hapa naona Conte kawaza vizuri ila Aziplicueta jamani Mbona kila mechi yupo? Yeye hachoki?
View attachment 635705
Cahili
Christensen
Bakayoko na
Morata
Wamepumzishwa ili kuwakabili Liverpool. Hapa naona Conte kawaza vizuri ila Aziplicueta jamani Mbona kila mechi yupo? Yeye hachoki?
Muhimu sana tushinde, mawazo mara moja yahamie kwa Liverpoolushindi leo ni muhimu mno ili tufuzu jamani
Nyie leteni masikhara.Bora Morata apumzishwe kwanza. Kikosi kipo poa sana
Nyie leteni masikhara.
Nimeweka hela yangu. 2.5 over goals.
Yapatikane.
Drinkwater ataingia badaeAisee kw gem hii angemueka drinkwater na kante aisee fab apmzke kdg kw ajil ya liverfool hao wengne waliopmzka n sahih kbsa ili kuongeza nguvu