NdotoKuna vitu vikubwa pale chelsea naomba vipite kando sana yan visitokee
1: kuachana na Conte kumchukua Ancelloti kocha ambae kaenda madrid na bayern anaeza kuchukua wachezaj wakubwa na bado kafukuzwa aje pale swala hili dah spend litokee kabisa
2: kumnunua bale £85 mchezaj ambae ni majeruh umri 28 atatutesa tu yule bora abakie huko huko madrid alipopachagua
3: kuuza mchezaj mwngne man u
4: kumuuza hazard madrid na kumsajili mchezaj kama bale kama wakimchukua hazard watupe isco sawa
conte hatakiwi kubadilisha hiki kikosi na upangaji wake labda majeraha na kuchoka tu
kinafanya vizuri sana
Ndio. Unaweza kuona Luiz na Rudiger wameshindwa kumpiga benchi Cahill..... Cahill yuko vzr.Hata Cahill mkuu? [HASHTAG]#uchochezi[/HASHTAG]
Ndio. Unaweza kuona Luiz na Rudiger wameshindwa kumpiga benchi Cahill..... Cahill yuko vzr.
Ila keshokutwa ktk Champions League Luiz atacheza na Andy atakaa benchi kwa ajili ya kuwasubiri Liverpool tarehe 25 Anfield.....
Kesho kutwa watacheza wote.......ucijali. mi mwenyewe natamani kuwaona wakipiga pamoja.Natamani siku moja Drinkwater na Kante wacheze pamoja...sijui itakuwaje..Baka akae benchi kidogo.
Kivipi ndoto mkuuNdoto
hahahaa we jamaa wewe kwa hiyo kitokunyoa ndevu ndio kumefanya awe vizuri![]()
Naona uchawi wa ndevu umekubali...
siku hizi anajitahidi toka match na man u na hii ya westbrom naona anazeeka vizuri kama paolo maldiniMsiyempenda bado yupo...LE CAPTAIN
![]()
[HASHTAG]#Cahill[/HASHTAG]
jamaa mi namkubali bure sijawahi kimchukia hata mara moja![]()
Duh huyu jamaa siyo mzuri sana kwenye defence ila kwenye mashambulizi anajitahidi kweli kweli..mpaka inakuwa ngumu kumuweka benchi aisee
![]()
Hili goli sikutarajia kama lingeingia...such a tight angle!
hahaa hata huyo siku hizi amejifunza baada ya luiz kuambiwa akakae jukwaani na kuongeza mazoeziHata Cahill mkuu? [HASHTAG]#uchochezi[/HASHTAG]