Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

469CD28000000578-5108471-image-a-1_1511372713147.jpg


Duh hili goli ni wachezaji wawili tu wa Chelsea ndo hawakugusa mpira hapa (Zappacosta na Hazard)
 
Wakuu hebu naombeni mnipe mawazo yenu Kati ya 3+4+3 na 3+5+2 ktk hii mifumo mwili ambayo Conte anapenda kuitumia ni upi uko vzr sn?
 
Mechi YETU na Liverpool ni tight GAME SANA, Liverpool watajaribu kupark midfielders ili kuanzisha mashambuzi kutoka katikati ya UWANJA. Eden Hazard amewataka teammate s wenzake wasiopush sana mbele, tutapingwa counter attachs za HATARI MNO.
TUCHEZA compact and box to box midfielde ili kucontest mipira yote ya katikati ya UWANJA
 
Mechi YETU na Liverpool ni tight GAME SANA, Liverpool watajaribu kupark midfielders ili kuanzisha mashambuzi kutoka katikati ya UWANJA. Eden Hazard amewataka teammate s wenzake wasiopush sana mbele, tutapingwa counter attachs za HATARI MNO.
TUCHEZA compact and box to box midfielde ili kucontest mipira yote ya katikati ya UWANJA
Itakua game rahisi sn maana Liverpool wanategemea mipira mirefu ambayo hupingwa na mabeki Sana Sana au mids zao na kuwafikia kina Salah, Mane au Firminho ambao hukimbia sn. Sasa ili Chelsea kublock hii mipira inabidi wakabie juu. Yani Faby, Kante na Bakayoko wanatakiwa wakabie juu kabisa ktk dimba la Kati. Na ili kukabiliabiliana vzr na Liverpool mifimo yote miwili inafaa.

3+5+2 na 3+4+3
 
Mshambuliaji wa Ubelgiji Eden Hazard, 26, amesema kuwa atasalia hadi mwisho wa msimu kutathmini hatma yake katika klabu ya Chelsea (Canal+ via Independent)
 
Mshambuliaji wa Ubelgiji Eden Hazard, 26, amesema kuwa atasalia hadi mwisho wa msimu kutathmini hatma yake katika klabu ya Chelsea (Canal+ via Independent)
He is happy at bridge but admires real madrid,... Kuna mchezo unasukwa apa ,real atoe mtonyo wa maana,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom