Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bado 12, Batshuayi ndio tegemeo pekee, changamoto ipo
 
ca6d960d164aeb0768f8c41dc0da8729.jpg
 
Sina wasiwasi na ku-qualify i!a naamini Conte kajifunza jambo.

Kila siku unabadili mabeki kweli? Unajaribisha nini kwa mfano?
 
Sina wasiwasi na ku-qualify i!a naamini Conte kajifunza jambo.

Kila siku unabadili mabeki kweli? Unajaribisha nini kwa mfano?
Conte ni kocha mmoja choko sana hajitambua anafanya nn hili jitu Bakayoko limepa nini akae chin ajichunguze timu itamahinda atasepa eti ngola kante tu ndio timu inakuwa mbovuuu
 
Chelsea yasasa tumekosa wachezaji wenye sprit katika timu , mchezaji kama bakayoka anapoteza mpira halafu hana hata mpango wa kukaba ....Namkumbuka KANTE
 
Chelsea yasasa tumekosa wachezaji wenye sprit katika timu , mchezaji kama bakayoka anapoteza mpira halafu hana hata mpango wa kukaba ....Namkumbuka KANTE
Duh umemuona na wewe!?? Dah yani anajog kabisa bila stress.

Ila kwa Bakayoko nailaumu mgt ya timu iliyomuuza Matic.
 
Duh umemuona na wewe!?? Dah yani anajog kabisa bila stress.

Ila kwa Bakayoko nailaumu mgt ya timu iliyomuuza Matic.

mkuu sijui mnakuwaje mkitoka kuchukua epl miaka ya hapa karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom