Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

"So goals are raining?? I expected that, Cahill is in. Play Zappacosta, get Cahill out, let Azplicueta get back to his position." Copied
 
Conte siku hizi amekuwa akibahatisha kupanga kikosi matokeo yake ndo kama haya tunafungwa kizembe sana
 
Poleni majirani, hope dakika 45 zijazo mtasawazisha na kuongeza.
 
Tangu lini Willian akamreplace Carhill? Au ndio kampeni ya kurudisha mabao?
 
Tulisemaga huko nyuma Carhill hawezi hii kasi tukashambuliwa na maswali mengi tangu lini Carhill kachuja?
Wamnyang'anye kabisa na ukapten kwa sababu hautendei haki. Kapten anatakiwa kuwa mfano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom