Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_2717.jpg
 
next we meet As ROMA in the champions league, tukishinda hiyo mechi tutakuwa tushafuzu na hapo conte atakuwa na nafasi ya kufanya rotation hata kwa watumishi hewa, meaning wanaokula mishahara ya bure kama kennedy.
marcos alonso anatakiwa awe anapumzishwa na nafasi yake awe anaingia dogo kennedy,
sijui kwanini conte hawaamini hawa madogo[kennedy+musonda].
 
next we meet As ROMA in the champions league, tukishinda hiyo mechi tutakuwa tushafuzu na hapo conte atakuwa na nafasi ya kufanya rotation hata kwa watumishi hewa, meaning wanaokula mishahara ya bure kama kennedy.
marcos alonso anatakiwa awe anapumzishwa na nafasi yake awe anaingia dogo kennedy,
sijui kwanini conte hawaamini hawa madogo[kennedy+musonda].
Eti watumishi hewa...
 
Hahahah mkuu acha comedy..Eduardo anasaidia kwenye mazoezi...hahahahah



mkuu, nilikuwa nasoma kwenye twitter ya chelsea kipindi EDUARDO anaongeza mkataba,
chelsea fans walikuwa wanam troll eti wanamuita MR. CLEAN SHEET.
wengine eti GHOST WORKER/PLAYER.
zile comment zilikuwa zinachekesha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom