Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

6ec0039f5a74657368168fbd82bb4128.jpg

Kikosi cha conte leo angalao amenikamata
Amejitahidi kuchagua wachezaji ila ningependa kuona rudiger akicheza hapo kwa cahill
 
Roma wanafanya makosa kufunguka hivyo watashituka wameongezewa 2 nyingine na mpira unaisha
 
Aahahah
Edwin Dzeko hapo hapo mbele ya wake na watoto wenu anawabamiza!
Kwa kweli mwaka huu team hamna ndugu zangu
Ehehehe
 
6ec0039f5a74657368168fbd82bb4128.jpg

Kikosi cha conte leo angalao amenikamata
Amejitahidi kuchagua wachezaji ila ningependa kuona rudiger akicheza hapo kwa cahill
Hivi ushaangalia rating za kitaalamu za Cahili vs Ludigar? Au ndo kawaida yetu mashabiki wa Chelsea kufuata mkumbo bila technical analysis?
 
Tatizo kubwa ya Chelsea ya mwaka huu ni chemistry. Conte ameshindwa kabisa kuchanganya madawa maabaa. Willian, fabricas, hazard na morata au pedro wanatakiwa wacheze pamoja wanajuana kimbinu uwanjani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom