Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aahahah
Edwin Dzeko hapo hapo mbele ya wake na watoto wenu anawabamiza!
Kwa kweli mwaka huu team hamna ndugu zangu
Ehehehe

Dzeko ni mshambuliaji wa rank ya juu na ana uzoefu mkubwa sana. Conte alitakiqa kujia hivyo na kiweka mkakati wa kutosha
 
Dzeko ni mshambuliaji wa rank ya juu na ana uzoefu mkubwa sana. Conte alitakiqa kujia hivyo na kiweka mkakati wa kutosha
Kwahiyo unataka kusema Conte hakuwa analijua hilo? Au unataka kusema hakuweka mkakati wa kutosha kumzuia?
 
Wacha nika lale kwanza...!!

Tukio la Leo Antonio Conte kushindwa kuingia Uwanjani kuwapa mikono wachezaji na kutoa hamasa kwa mashabiki kumeniachia maswali mengi mno...
 
Dah! mazee kwa mwenendo wa timu tukikutana na litimu kama PSG tutakufa nyingi sana aise..

Yani tunaruhusu goli nyingi sana msimu huu daah! Kiungo pale kati ni matatizo Baka anapwaya sanaa..

Tunaruhusu timu pinzani kucheza mpira mwingi kuliko sisi. ..yan CONTE sijui ana mpango gani aise. Hapa ndo tunaona umuhimu wa player kama matic ..kocha itabidi afanye mapinduzi aisee na bodi unazingua mnoo Jan tusajili banaa...sio kwa mpira huu wa leo ..hauna mvuto kabisaa
 
Mechi 2 mmefungwa bao 5!
Ingekuwa Liverpool beki yake ndiyo nyanya hivi media zote tusingelala lkn kwa sababu ni Chelsea wapo poa tu!
Beki yenu afadhali ya Liverpool aisee
 
Sjaona sababu yeyote CONTE kumtoa Luiz na kumwingiza Pedro ..kamtoa hazard wakati alikuwa na moto wa kushato. ..CONTE anazingua sana msimu huu aisee
 
Sjaona sababu yeyote CONTE kumtoa Luiz na kumwingiza Pedro ..kamtoa hazard wakati alikuwa na moto wa kushato. ..CONTE anazingua sana msimu huu aisee
ile ya Luiz binafsi nilimuelewa anataka kushambulia na Luiz alishaonyesha kuchoka maana alifanya kazi kubwa sana kipindi cha kwanza lakini ile ya Hazard sikuelewa kwanini aliamua kumtoa haswa kwa kumuingiza Willian aiseee pale nilijua Chelsea hawapati tena goli labda iwe set piece maana Willian so far hayuko vizuri kabisa msimu huu.
 
CL ni team yyt ile ngumu!!
You cant beat Roma at your own turf?
Aibu sana
Wee UEFA jana ndo gemu yako ya kwnza kushinda; umedroo gem mbili na bado uhakika wa kufuzu huna. .na hata ukifuzu ufiki mbali. Unatuletea kelele tu hapa ..wee jiandae kwenda Europa tu huna namna.
 
Dah! mazee kwa mwenendo wa timu tukikutana na litimu kama PSG tutakufa nyingi sana aise..

Yani tunaruhusu goli nyingi sana msimu huu daah! Kiungo pale kati ni matatizo Baka anapwaya sanaa..

Tunaruhusu timu pinzani kucheza mpira mwingi kuliko sisi. ..yan CONTE sijui ana mpango gani aise. Hapa ndo tunaona umuhimu wa player kama matic ..kocha itabidi afanye mapinduzi aisee na bodi unazingua mnoo Jan tusajili banaa...sio kwa mpira huu wa leo ..hauna mvuto kabisaa
Mi niliona kama aliekua amepwaya ni fab wala sio bakayoko..........
Halafu kipa hatuna mule.
 
Nadhani tatizo kubwa kwa Chelsea sasa ni kukosa namba sita asilia tunawamiss sana Kante na Drinkwater.
Fabregas na Bakayoko wote siyo viungo wakabaji Luiz nae tunamlazimisha tu kucheza pale kwasababu hatuna mbadala lakini kiukweli tatizo kubwa lipo pale.
 
- Conte ana wachezaji wazuri sema hawana chemistry. Msimu uliopita wachezaji walicheza mechi nyingi pamoja wakawa wamezoeana. Sasa hii majaribio anayofanya nadhani ndo inamgharimu.

- Kuanza na Luiz kama defensive midfield ni sawa na kunchezesha Azpilicueta kama right wing. Unapunguza nguvu kwenye defence. angebaki na defence ambayo wamezoeana kucheza pamoja mathalani angempanga - Azpilicueta, Luiz, Cahill.

- Kwa jia hiyo Pedro, Hazard na Morata wangekuwa wameanza. Pedro nampenda maana hata defensively yuko vizuri. Kocha anajitahidi kudefend na matokeo yake hata hii defensive tunashindwa.

- Kweli tunammiss Ngolo Kante. Nahisi Akipona na Drinkwater pia, Bakayoko atasubiria mechi za Carabao. Leo midfield ilipwaya sana. Luiz amecheza mpaka akawa frustrated maana kweli sijaona mchango wa Bakayoko wala Fabregas pale kati. Nilimsaidia kushangaa kwanini yeye atolewe badala ya mmoja wao. Ni kweli sub ilikuwa lazima ifanyike na Pedro aingie, ila sio kwa kumtoa Luiz.

Anyway, sijamsikiliza kocha kasemaje baada ya mechi hii...
[HASHTAG]#CFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG]
 
Dah! mazee kwa mwenendo wa timu tukikutana na litimu kama PSG tutakufa nyingi sana aise..

Yani tunaruhusu goli nyingi sana msimu huu daah! Kiungo pale kati ni matatizo Baka anapwaya sanaa..

Tunaruhusu timu pinzani kucheza mpira mwingi kuliko sisi. ..yan CONTE sijui ana mpango gani aise. Hapa ndo tunaona umuhimu wa player kama matic ..kocha itabidi afanye mapinduzi aisee na bodi unazingua mnoo Jan tusajili banaa...sio kwa mpira huu wa leo ..hauna mvuto kabisaa

Hadi Gerrard katusaidia kusikitika leo...kilichotufanya kumuuza Matic kisa Bakayoko sijakijua bado!!!! Age notwithstanding bado Matic is way better than Bakayoko!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom