Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

50e2567046711d9eb7707ce00c418445.jpg
 
Napata ukakasi kidogo akiongelewa vibaya mchezaji ninayempenda (just as a player). Ila David Luiz ana mapungufu na mazuri yake. Kwa kuanza tu niseme - nitampanga David Luiz wakati wowote mbele ya Christensen.

Then tuje kwenye uchambuzi;
1. Experience: He has played these games. Anaijua ligi, anajua experience ya kucheza against strikers wengi. For that he is far ahead of Christensen

David Luiz ame-mature sana over the years. Nadhani umri pia umempa hilo ama kukaa na wachezaji wakongwe (walau kiumri) kumemfanya akue kifikra. Msimu uliopita ni uthibitisho mzuri wa hilo. Ametulia sana kama beki tofauti na ngwe yake ya kwanza alipokuwa nasi.

Zaidi sana ni uwezo wake wa kuona mbele (attack). Kidogo kidogo na ingawa huwezi kulinganisha ubora wake na Fabregas lakini nadhani he is doing a good job at it. Anajitahidi sana kuangalia mbele na sio tu kwa Ngolo au mabeki wa pembeni. Sifa hii Christensen hana na nakubali hana kwa kuwa hana bado uzoefu. Christensen kwa sasa anahangaika kumuaminisha kocha kuwa ni beki mzuri. Amezuia sana juzi na kutoa pass accuracy ya 96% lakini pasi zake asilimia kubwa ni kwa Kante na kwa mabeki wa pembeni na kipa. Sawa hiyo ni basic ya beki, ila ili kumuweka bench Luiz ni lazima uoneshe uwezo zaidi ya huo.

Kwangu mimi na sio kumponda Cahill. Ningempanga Christensen mbele ya Cahill. Lakini pia sio mechi zote. KWa sasa Christensen anahitaji sana kucheza ili kujiongezea kujiamini afanye zaidi ya kuwa beki tu. Ila ningemtoa kafara Cahill kabla ya kumfikiria Luiz.

Again kama nilivyoanza, nampenda Luiz kwa sababu nyingine nyingi nje ya uwanjani hivyo ninaweza kuwa biased. Kwangu mimi akitoka Azpilicueta ningempa Luiz ukapteni mbele ya Hazard!
 
siyo kirahisi kama unavyodhani wameimarika sana msimu huu kwanzia nyuma kati hadi mbele.Itakuwa game ngumu sana kwetu lakini kucheza nyumbani inaweza kuwa advantage kwetu.
Ni kweli mkuu ila naamini kila match huwa ina game plan katika hili Conte nimtokea kumuamini sana, ana maana kubwa sana kutowaanzisha Hazard na Zappacosta. Kwa hiyo inawezekana tukaeashinda vizuri tu. Ukiachana na hizo sababu nyingine za kuwa home tuna nafasi kubwa sana kumpiga Man City
 
Napata ukakasi kidogo akiongelewa vibaya mchezaji ninayempenda (just as a player). Ila David Luiz ana mapungufu na mazuri yake. Kwa kuanza tu niseme - nitampanga David Luiz wakati wowote mbele ya Christensen.

Then tuje kwenye uchambuzi;
1. Experience: He has played these games. Anaijua ligi, anajua experience ya kucheza against strikers wengi. For that he is far ahead of Christensen

David Luiz ame-mature sana over the years. Nadhani umri pia umempa hilo ama kukaa na wachezaji wakongwe (walau kiumri) kumemfanya akue kifikra. Msimu uliopita ni uthibitisho mzuri wa hilo. Ametulia sana kama beki tofauti na ngwe yake ya kwanza alipokuwa nasi.

Zaidi sana ni uwezo wake wa kuona mbele (attack). Kidogo kidogo na ingawa huwezi kulinganisha ubora wake na Fabregas lakini nadhani he is doing a good job at it. Anajitahidi sana kuangalia mbele na sio tu kwa Ngolo au mabeki wa pembeni. Sifa hii Christensen hana na nakubali hana kwa kuwa hana bado uzoefu. Christensen kwa sasa anahangaika kumuaminisha kocha kuwa ni beki mzuri. Amezuia sana juzi na kutoa pass accuracy ya 96% lakini pasi zake asilimia kubwa ni kwa Kante na kwa mabeki wa pembeni na kipa. Sawa hiyo ni basic ya beki, ila ili kumuweka bench Luiz ni lazima uoneshe uwezo zaidi ya huo.

Kwangu mimi na sio kumponda Cahill. Ningempanga Christensen mbele ya Cahill. Lakini pia sio mechi zote. KWa sasa Christensen anahitaji sana kucheza ili kujiongezea kujiamini afanye zaidi ya kuwa beki tu. Ila ningemtoa kafara Cahill kabla ya kumfikiria Luiz.

Again kama nilivyoanza, nampenda Luiz kwa sababu nyingine nyingi nje ya uwanjani hivyo ninaweza kuwa biased. Kwangu mimi akitoka Azpilicueta ningempa Luiz ukapteni mbele ya Hazard!
wewe tushakuelewa unampenda tu Luiz ni sawa huwa inatokea kumpenda mtu sana hata kama akikosea mindhali unampenda inabidi ukaushe tu
 
Ni kweli mkuu ila naamini kila match huwa ina game plan katika hili Conte nimtokea kumuamini sana, ana maana kubwa sana kutowaanzisha Hazard na Zappacosta. Kwa hiyo inawezekana tukaeashinda vizuri tu. Ukiachana na hizo sababu nyingine za kuwa home tuna nafasi kubwa sana kumpiga Man City
Hazard haanzi kwasababu ya match fitness na si sababu nyengine lakini bila shaka ataanza mechi ya Man City lakini kwa upande wa Zappacosta itakuwa vigumu kwake kuanza kikosi cha kwanza mbele ya Moses katika mechi nyingi za Ligi na Uefa especially zile muhimu na zile ambazo zinaonekana kuwa ngumu kidogo kwa Chelsea kwasababu Moses ana experience kubwa na Ligi ana nguvu zaidi pia anakaba vizuri japo si mzuri sana kwa kwenda mbele kama alivyo Zappacosta.
 
Hazard haanzi kwasababu ya match fitness na si sababu nyengine lakini bila shaka ataanza mechi ya Man City lakini kwa upande wa Zappacosta itakuwa vigumu kwake kuanza kikosi cha kwanza mbele ya Moses katika mechi nyingi za Ligi na Uefa especially zile muhimu na zile ambazo zinaonekana kuwa ngumu kidogo kwa Chelsea kwasababu Moses ana experience kubwa na Ligi ana nguvu zaidi pia anakaba vizuri japo si mzuri sana kwa kwenda mbele kama alivyo Zappacosta.
Nimekuelewa kiongozi. Lakini sikusema Hazard haanzi si kwa sababu ya fitness ila ni plan za Conte mwenyewe.

Lets wait. Mi nauhakika City anakaa si chini ya goli mbili
 
Hivi jamani msema nini khs David Luis, ni bonge la beki duniani, unakumbuka alipotua alipokuwa PSG pale pale darajani. Kwenye mechi ngumu, mourinho alikuwa anamuweka kucheza kama defensive mild fielder, anakata sana, he plays very combative and he strongly intervene most of the penetrating passes.
Waulize Liverpool mwaka ni pale pale ANAFIELD, waulize SPURS, mechi ya juzi
 
Hivi jamani msema nini khs David Luis, ni bonge la beki duniani, unakumbuka alipotua alipokuwa PSG pale pale darajani. Kwenye mechi ngumu, mourinho alikuwa anamuweka kucheza kama defensive mild fielder, anakata sana, he plays very combative and he strongly intervene most of the penetrating passes.
Waulize Liverpool mwaka ni pale pale ANAFIELD, waulize SPURS, mechi ya juzi
jifunze kutype vizuri ueleweke.
 
Nilifikiri mimeingia kwenye group la mashabiki waastarabu na wenye kuheshimiana, kumbe some of them use very abusive language to the other members.
IPO message ya MTU mmoja anamtukana member mwenzake humu, kama ndiyo tabia hii itaendelea ya kukashifu watu humu, nitajiondoa humu


Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nilifikiri mimeingia kwenye group la mashabiki waastarabu na wenye kuheshimiana, kumbe some of them use very abusive language to the other members.
IPO message ya MTU mmoja anamtukana member mwenzake humu, kama ndiyo tabia hii itaendelea ya kukashifu watu humu, nitajiondoa humu


Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu ki ukweli kuna maharamia wazamiaji wanataka kupoteza lengo la thread. Ila wavumilie tu kama utashindwa basi safari njema. Si ngoja tupambane nao tukiondoka wote wataanza kujisifu wametushinda.
 
Ila mi nazan conte anaujua uzaifu wa wilian ndio mana anamwanzishaga mapema ili ikionekqna anaharbu bas yaingizwe majembe yarekebshe hali..
Yan binafsi namwamin sana Hazard, Zapavcosta wale wakiingia kama sub bas mchezo lazma ubadilike
Willian anaanza kutokana tu Hazard kuwa majeruhi msimu uliopita willian alikuwa anatokea bench mbele ya pedro
 
Napata ukakasi kidogo akiongelewa vibaya mchezaji ninayempenda (just as a player). Ila David Luiz ana mapungufu na mazuri yake. Kwa kuanza tu niseme - nitampanga David Luiz wakati wowote mbele ya Christensen.

Then tuje kwenye uchambuzi;
1. Experience: He has played these games. Anaijua ligi, anajua experience ya kucheza against strikers wengi. For that he is far ahead of Christensen

David Luiz ame-mature sana over the years. Nadhani umri pia umempa hilo ama kukaa na wachezaji wakongwe (walau kiumri) kumemfanya akue kifikra. Msimu uliopita ni uthibitisho mzuri wa hilo. Ametulia sana kama beki tofauti na ngwe yake ya kwanza alipokuwa nasi.

Zaidi sana ni uwezo wake wa kuona mbele (attack). Kidogo kidogo na ingawa huwezi kulinganisha ubora wake na Fabregas lakini nadhani he is doing a good job at it. Anajitahidi sana kuangalia mbele na sio tu kwa Ngolo au mabeki wa pembeni. Sifa hii Christensen hana na nakubali hana kwa kuwa hana bado uzoefu. Christensen kwa sasa anahangaika kumuaminisha kocha kuwa ni beki mzuri. Amezuia sana juzi na kutoa pass accuracy ya 96% lakini pasi zake asilimia kubwa ni kwa Kante na kwa mabeki wa pembeni na kipa. Sawa hiyo ni basic ya beki, ila ili kumuweka bench Luiz ni lazima uoneshe uwezo zaidi ya huo.

Kwangu mimi na sio kumponda Cahill. Ningempanga Christensen mbele ya Cahill. Lakini pia sio mechi zote. KWa sasa Christensen anahitaji sana kucheza ili kujiongezea kujiamini afanye zaidi ya kuwa beki tu. Ila ningemtoa kafara Cahill kabla ya kumfikiria Luiz.

Again kama nilivyoanza, nampenda Luiz kwa sababu nyingine nyingi nje ya uwanjani hivyo ninaweza kuwa biased. Kwangu mimi akitoka Azpilicueta ningempa Luiz ukapteni mbele ya Hazard!
Mkuu umenena vema. Unajua Luis anacheza na akili ya mastrikers wa Epl. Anawajua vema. Pia Luis anacheza mpira wa akili sana. Nampenda sana Luis.....!!!!
 
Nilifikiri mimeingia kwenye group la mashabiki waastarabu na wenye kuheshimiana, kumbe some of them use very abusive language to the other members.
IPO message ya MTU mmoja anamtukana member mwenzake humu, kama ndiyo tabia hii itaendelea ya kukashifu watu humu, nitajiondoa humu


Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Binadamu siku zote hawalingani kifikra. Ukiona ivo kausha tu
 
FWATILIA DONDOO ZA UBASHIRI KWA MICHEZO YA NYUMBANI YANI LIGI KUU TANZANIA BARA, KENYA, UGANDA, RWANDA, BURUNDI , TUNISIA, MISRI, CAMEROON, IVORY COAST, MOROCCO, NA NYINGINE NYINGI ZA AFRIKA KUPITIA WWW.BONGOTIPS.COM KILA SIKU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom