eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Tutamfunga tu hata kwa bao mojaMechi na man city itakuwa ngumu sana wazee
Tutatoa Bikira yake tu
Tutamfunga tu hata kwa bao mojaMechi na man city itakuwa ngumu sana wazee
Sina shida na luizi wala wiliani cahill ndio simwaminiMnakosea sana mnapo mshusha thamani Luiz, Willian na Cahill .....hizi namba tumetoka nazo mbali sana ...hawa wapya walokuja ni wazuri lakini heshima ya hawa watatu ni lazima wapewe bana.
Hebu tupe chachandu Mkuu kwa ulicho kiona.Andreas Christensen bonge moja la Centre half aiseee nadhani David Luiz anapaswa kujifunza kwa huyu kijana.
Kabisa mkuuMkuu Khalifani AM. Mpira ni nidhamu ukiwa na nidhamu na ukafaulu kujiposition hakika utakuwa mtamu adi watu watakupongeza kila unapocheza.
Heshima tutawapa ila wakivulunda hatuwezi kaa kimyaMnakosea sana mnapo mshusha thamani Luiz, Willian na Cahill .....hizi namba tumetoka nazo mbali sana ...hawa wapya walokuja ni wazuri lakini heshima ya hawa watatu ni lazima wapewe bana.
Itakuwa poa sana utabiri wako ukifanikiwaNi kweli ila naamini tulichowafanya msimu uliopita msimu huu itakua mara mbili yake.
Itakuwa poa sanaTutamfunga tu hata kwa bao moja
Tutatoa Bikira yake tu
una maana gani?Andreas Christensen ni mjinga?hata kama ni mapenzi kwa mchezaji msimfananishe luiz na vitu vya kijinga
hakuna anaemshusha thamani mchezaji tunazungumza uhalisia tunazungumzia madhaifu ya wachezaji wetu na hapo nimemuongelea David Luiz na madhaifu yake ambayo huwa yanatugharimu ila watu wanachukulia poa kwasababu wnanampenda.Mnakosea sana mnapo mshusha thamani Luiz, Willian na Cahill .....hizi namba tumetoka nazo mbali sana ...hawa wapya walokuja ni wazuri lakini heshima ya hawa watatu ni lazima wapewe bana.
siyo kirahisi kama unavyodhani wameimarika sana msimu huu kwanzia nyuma kati hadi mbele.Itakuwa game ngumu sana kwetu lakini kucheza nyumbani inaweza kuwa advantage kwetu.Ni kweli ila naamini tulichowafanya msimu uliopita msimu huu itakua mara mbili yake.
kwanza dogo hakamii wachezaji wa timu pinzani yeye anacheza mpira halafu anarudi katika nafasi yake.Pili,hakai sana na mipira yeye ni mtu wa kuachia moja mara kwa mara anapokuwa na mpira kitu kinachosababisha iwe nadra kwake kufanya makosa.Ananikumbusha enzi za Ricardo CarvalhoHebu tupe chachandu Mkuu kwa ulicho kiona.
Huo mpira wa kizamani kusema Luiz ni Luiz tu wakati anatugharimu hivi nyie huwa mkiangalia mpira mnaangalia magoli tu au?hebu fanya kumfatilia uchezaji wake David Luiz utakuja kunambiaLuiz ni luizi tu dogo ana safari ndefu kumfikia huyu anatakiwa achukue nafasi ya cahill basi
Sio leo tu, wilian hayupo vzur msimu huu toka umeanzaCha muhimu tumeshinda leo hakuwa na mchezo mzuri
Ni kwel mkuu, m nakiona hch kitu sana.Chelasea wanacheza mpira wa akili....ukija na miguvu yako unatulizwa.
Kama Morata atakuwa garasa basi na Conte aliyemuona naye atakuwa garasa. Nafikiri judgement yako ina hitilafu.Huyu moratta nampa mechi 21 tu, baada ya hapo anageuka kuwa garasa
Yaan ilo ni tatizo la haters waach kila siku watakuwa wanaongeza siku mpaka watachoka kabisaKama Morata atakuwa garasa basi na Conte aliyemuona naye atakuwa garasa. Nafikiri judgement yako ina hitilafu.
Mwanzoni mlimpa ligi ianze hatafunga hata goli. Sasa imeanza mechi sita goli sita bado mnampa mwchi 21. Zikiisha hizo mtampa ngapi