Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

de058a27a9e0d076109ae9739911ce1a.jpg

Wale waliokuwa wanamsema morataa wako wapi
Bakayoko sina khabari
 
Mkuu Khalifani AM. Mpira ni nidhamu ukiwa na nidhamu na ukafaulu kujiposition hakika utakuwa mtamu adi watu watakupongeza kila unapocheza.
sasa David Luiz ni moja kati ya mabeki wetu ambao nidhamu ya uchezaji si nzuri.
Kwanza,anacheza kwa kukamia zaidi ama kutaka kumkomoa mpinzani hivyo hutumia nguvu nyingi katika uchezaji wake kitu ambacho humsababishia kadi mara kwa mara.
Pili,David Luiz anapenda sana kukaa na mpira badala ya kuwapasia akina Kante,Bakayoko au Fabregas ili waanzishe mashambulizi.
Wakati mara zote huyu dogo Christensen anapocheza anaonyesha kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu ukiangalia game ya spurs,qarabag,nottingham forest na hata ya jana dhidi ya stoke city utaona hachezi kwa kukamia na anapopokea mpira huwa hachukui muda anawapasia wachezaji wenzie kwa haraka siyo mtu wa kukaa sana na mpira.
 
sasa David Luiz ni moja kati ya mabeki wetu ambao nidhamu ya uchezaji si nzuri.
Kwanza,anacheza kwa kukamia zaidi ama kutaka kumkomoa mpinzani hivyo hutumia nguvu nyingi katika uchezaji wake kitu ambacho humsababishia kadi mara kwa mara.
Pili,David Luiz anapenda sana kukaa na mpira badala ya kuwapasia akina Kante,Bakayoko au Fabregas ili waanzishe mashambulizi.
Wakati mara zote huyu dogo Christensen anapocheza anaonyesha kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu ukiangalia game ya spurs,qarabag,nottingham forest na hata ya jana dhidi ya stoke city utaona hachezi kwa kukamia na anapopokea mpira huwa hachukui muda anawapasia wachezaji wenzie kwa haraka siyo mtu wa kukaa sana na mpira.
hata kama ni mapenzi kwa mchezaji msimfananishe luiz na vitu vya kijinga
 
Mnakosea sana mnapo mshusha thamani Luiz, Willian na Cahill .....hizi namba tumetoka nazo mbali sana ...hawa wapya walokuja ni wazuri lakini heshima ya hawa watatu ni lazima wapewe bana.
 
Huwa namwelewa sana Cahill ..sijui kwanin huwa humkubali.
Sio beki mtulivu anapokabiliana na mshambuliaji
Halafu badala ya kumfuata mshambuliaji yeye anazidi kurudi nyuma tu
Kama unamwangalia utaliona hili
Beki ni lazima umfuate mshambuliaji sio unarudi nyuma tu
Akilifanyia kazi hili ni beki mzuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom