Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

say MORATA DAY .....we deserve to win ...Chelsea champion hahaha. ....wale wa upande wa pili walishikwa shati na uyu uyu Stocke. ....leo sijui imekuwajee

Goli lake la pili (la tatu kwa Chelsea) lilikuwa la nguvu sana, yaani goli lenye kuonyesha mchezaji kakamilika kila idara, Mbio, dribbling skills, na skills za kufunga, kwa kweli kanifurahisha sana, ndio striker anapashwa kuwa hivyo
 
5adeabf4e7f2b20429bb0532531b5640.jpg
c09acda56dcf235d7b8ffb043bd2ca9b.jpg
5f31149a5c9c8e856f24fe01dbe423e8.jpg
98bf4c40f6436d61387791b35edb2ff6.jpg
979e34b4a6bb10d516abeb49acaa49fe.jpg
ca92ee86587dc81441b10f671b6cafa3.jpg
a57f01bdd8779add68b2a560913581d8.jpg
 
9d6c8748446ed611e5d62fc3b2cd72a0.jpg

Kama sio mfungaji ni vigumu kufunga goli la kwanza la morata na la tatu ameyafunga kwenye engo ngumu sana
Hat-trick ya kwanza kwa chelsea toka 2014
Na hatrick ya kwanza ya morata
Game 6
Goal 6
Assist 2
Well done morata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom