Mi nilianza kumlaumu hata kabla match haijaanza nafikiri ni wakati wa Moses kukaa benchi sasa amwachie namba zapacostaLuiz red kadi yake atakosa mechi ngapi , ? Nimechukia sana na kocha kwa kitendo chake cha kuto mwanzisha Harzad , bakayoko na zapacosta. Ilitakiwa mmojawapo aanze
Word ,mbrazili yule ... Hawa mpira huwa wanazaliwa nao sio kama akina ChambaliniKenedy ; pure talent, tatizo utoto mwingi ila ni hazina kubwa sana kwa timu. Akitulia, akaaminika na kuacha utoto atakua kama marcelo
Word ,mbrazili yule ... Hawa mpira huwa wanazaliwa nao sio kama akina Chambalini

Hiv naomba niulize, huyo Alvaro ni politician au ni footballer??? Mi hata sielew, maana naona ana mineno mingi, mara I've two goals frm my head. Cjui nn na nn!!! Hamuon mwenzake lukaku vitendo vinavyozungumza?! Ndiyo maana zizou lilimtema. Ss hiv ni ngumu sana kumtofautisha morata na faiza ally ex wa sugu
We nawe unawashwa washwaHiv naomba niulize, huyo Alvaro ni politician au ni footballer??? Mi hata sielew, maana naona ana mineno mingi, mara I've two goals frm my head. Cjui nn na nn!!! Hamuon mwenzake lukaku vitendo vinavyozungumza?! Ndiyo maana zizou lilimtema. Ss hiv ni ngumu sana kumtofautisha morata na faiza ally ex wa sugu

Michael Essienwakuu nikumbusheni tu..ni mchezaji yupi wa chelsea alikuwa anajulikana kama the bison?
hoja yako ulitaka kusema nini sasa?wengi wenu humu ni mashabiki bendera tu yaani mnafata upepo Chelsea ilivyompiga Qarabag kila mtu anaisifia timu na kocha.Chelsea ilivyosuluhu na Arsenal wengine wakaanza Conte Out wengine wanaanza kuponda wachezaji.Mara hii mshasahau kwamba Cahill huyu huyu kaiongoza timu miezi kadhaa iliyopita kutwaa ubingwa leo kawa hafai? Ukifika Stamford Bridge pale kabla ya mechi kuanza katika nyimbo ya Chelsea ile kuna kipande mashabiki wanasema"Cheer us on through the sun and rain cause CHELSEA CHELSEA is our name" wakimaanisha tushangilie wakati wa jua na mvua.
Njoooo wakutekenye wanaume nyamafuuuWe nawe unawashwa washwa![]()
![]()
kwani kila kisemwacho lazima iwepo hoja ndani yake?hoja yako ulitaka kusema nini sasa?