Saa tisa na nusu saa za kitanzaniaSaa ngp game?
Nadhani sub atakazofanya leo Conte ni kuingia kwa Hazard, Bakayoko na ZappacostaIngependeza Kante angecheza na Bakayoko kati
Nadhani sub atakazofanya leo Conte ni kuingia kwa Hazard, Bakayoko na Zappacosta
Kweli mkuu tushaua mtuTunashinda mapemaaaa
YAMETIMIAAMi prediction
Chelsea 2
Arsenal 0
Bellerin na Kolasinac wamefanya kazi kubwa sana, instead of Pedro, Conte angemtoa Willian ambaye leo hakuwa vizuri na Hazard angeingia mapema ,huyu Bakayoko kuna namba ya mtu anaitafuta pale... all in all 2 points lost but FAIR result