Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hakuna mshabiki wa soka wa humu JF ninayemuonea huruma kama huyu jamaa Malafyale , kaka pumzika haya mambo ya soka, timu yako soon itakupa ugonjwa wa moyo, ulivyocheza na Arsenal ukajitapa kuwa sasa mmekamilika na mpo tayari kwa mashindano, lakini ile Jumamosi ya kuchapwa Tano ni balaa kubwa

Anyway naona mna league yenu na Arsenal pambaneni tu
Mkuu mim kila siku namwambia ila ni mgumu kusikia. Amebaki na utabiri uchwara tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3aac76d85e584dbafbaa920aed187268.jpg

Pedro akishangilia goli alilofunga mapema tu

19ce841297a0bdd25e42f1114f9a67f4.jpg

Zappacosta akipiga mpira wa mbali kutokea pembeni na kufunga goli za pili
 
wakuu nikumbusheni tu..ni mchezaji yupi wa chelsea alikuwa anajulikana kama the bison?
 
cahil n mjinga yan aon ata aib mech nzima yeye ndo mwenye kad

Sent from my Iphone7 Using Jamiiforum mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom