Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2017-09-16+12.07.00.png
 
Mchambuzi aliyesema haina haja ya bakayoko kisa chalobah ni mseng......

Bora loftus cheek na sio chalobah no matter he is still young ni wa kawaida sana pia anajiona star wakati bado sana!!!
 
Chelsea wamepata muhaya wanasema mbelgiji. Mbelgiji gani anaitwa Batshuayi. Yule mimi simkubali. Mimi Drogba tu
 
Chelsea wamepata muhaya wanasema mbelgiji. Mbelgiji gani anaitwa Batshuayi. Yule mimi simkubali. Mimi Drogba tu
 
Ndio nakwambia hiyo ni shida, hivi unafahamu maana kabisa ya captain wa timu?, iweje captain wa timu akae benchi, ucaptain wake unafaida gani?, kwenye soka ukaptain ni kitu kikubwa sana sio kitu cha mchezomchezo

Hongereni Man U, lakini kwa Chelsea, Cahill hawezi kuwekwa benchi
Kama tunataka kushinda match ya leo ni lazima conte amweke nje cahill la sivyo tusitafute ubaya baadae
 
Kama tunataka kushinda match ya leo ni lazima conte amweke nje cahill la sivyo tusitafute ubaya baadae

Kama hana tatizo hawezi kuwa benchi, lazima tukubaliane na hali yetu, yaani kazi tunayo maana neki iliyopo sasa (Luiz, Azip na Rud) imeshatengeneza bond nzuri sana, yeye atakuwa kama mgeni na pia beki itakuwa na kazi ya ziada ya kurekebisha makosa yake
Ki ukweli Cahill kwa sasa hastahili kuwepo kwenye hicho kikosi, sema ndio huo Uingereza na Ucaptain unaombeba
 
Kama hana tatizo hawezi kuwa benchi, lazima tukubaliane na hali yetu, yaani kazi tunayo maana neki iliyopo sasa (Luiz, Azip na Rud) imeshatengeneza bond nzuri sana, yeye atakuwa kama mgeni na pia beki itakuwa na kazi ya ziada ya kurekebisha makosa yake
Ki ukweli Cahill kwa sasa hastahili kuwepo kwenye hicho kikosi, sema ndio huo Uingereza na Ucaptain unaombeba
Trust me, cahil anawekwa bench leo!!!!! Kama humjui conte ndo leo utamjua!!! Jiulize kwanini JT Aliwekwa bench hata match za kawaida!!
 
Trust me, cahil anawekwa bench leo!!!!! Kama humjui conte ndo leo utamjua!!! Jiulize kwanini JT Aliwekwa bench hata match za kawaida!!

Terry alishafikia mwisho na sio Conte ndiye aliyeanza kumweka benchi, hata Dimateo poa alikuwa anamweka nje

Leo Cahill kuwekwa nje inawezekana na sababu haitakuwa kiwango, bali itakuwa mechi fitness kwa sababu ya kutoka majeruhi na pia ile red card, nje ya hapo Cahill hakai nje
 
Nina rafiki Anaitwa Mentor humu hope Yuko vizuri Aisee nikutakie heri ndugu ni vizuri tukitafutana baada ya game, si Unajua hi Mwisho wake ni bye?
 
CHELSEA FC Vs ARSENAL FC

Chelsea FC line up; Courtois, Azpilicueta, David Luiz, Cahill, Moses, Kante, Fabregas, Alonso, Willian, Morata, Pedro

6e64d2685595a6e7e32fa38a4f1074db.jpg


Substitutes; Caballero, Christensen, Rudiger, Zappacosta, Bakayoko, Hazard, Batshuayi
 
c947729e0a5556d48e27fcec2cbbd524.jpg

Wakati mwingine conte simwelewi kabisa hapo kwa cahili hapo anatesti kama vile alivyokuwa akicheza na qarabag

Sijui ngoja nione amewaza nini kurudi na kikosi hiki
 
c947729e0a5556d48e27fcec2cbbd524.jpg

Wakati mwingine conte simwelewi kabisa hapo kwa cahili hapo anatesti kama vile alivyokuwa akicheza na qarabag

Sijui ngoja nione amewaza nini kurudi na kikosi hiki
Halafu kikosi hichi ndo kilichopotea mechi ya ngao dizani Arsenal washatuzoea tayari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom