Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiv naomba niulize, huyo Alvaro ni politician au ni footballer??? Mi hata sielew, maana naona ana mineno mingi, mara I've two goals frm my head. Cjui nn na nn!!! Hamuon mwenzake lukaku vitendo vinavyozungumza?! Ndiyo maana zizou lilimtema. Ss hiv ni ngumu sana kumtofautisha morata na faiza ally ex wa sugu

Morata aliongea about aina ya magoli kwa sababu aliulizwa na waandishi, na walimuuliza baada ya hazard kutania kuwa ni muda wa morata kuanza kufunga magoli kwa miguu

Lukaku nae anaongea sasa sijui ka ni ushamba wako au unafuatilia press za timu moja, kwa mfano juzi lukaku kaongea kuhusu the way alivyoshangilia goli lake dhidi ya everton
Huyo zidane unayemsema kwenye interview jumanne amesema anatamani morata asingeondoka, hana attacking options now, kasema hana cha kufanya but anawish Morata was there. washabiki wa Madrid kwenye mitandao wanalalamika kuuzwa kwa Morata, usisahau kuwa kakulia kwenye academy yao

Nimekujibu tuh but actually comment yako imekaa kisenge senge, ka wewe ni choko kaa mbali humu hatulagi vipusa
 
wengi wenu humu ni mashabiki bendera tu yaani mnafata upepo Chelsea ilivyompiga Qarabag kila mtu anaisifia timu na kocha.Chelsea ilivyosuluhu na Arsenal wengine wakaanza Conte Out wengine wanaanza kuponda wachezaji.Mara hii mshasahau kwamba Cahill huyu huyu kaiongoza timu miezi kadhaa iliyopita kutwaa ubingwa leo kawa hafai? Ukifika Stamford Bridge pale kabla ya mechi kuanza katika nyimbo ya Chelsea ile kuna kipande mashabiki wanasema"Cheer us on through the sun and rain cause CHELSEA CHELSEA is our name" wakimaanisha tushangilie wakati wa jua na mvua.
Kwa hiyo mchezaji aki under perform au kocha akikosea tactics katika mechi husika uruhisiwi ku-m- critisize ?
 
59fc571d19ba64e0f8ec5612266d53eb.jpg


21bfc262d2fa7f8fac33f3a257d61aeb.jpg
 
Kwa hiyo mchezaji aki under perform au kocha akikosea tactics katika mechi husika uruhisiwi ku-m- critisize ?
zipo njia za kucriticize hilo halipingwi lakini wengi humu wana criticize kuliko uhalisia wa situation yenyewe.
 
Unajua ushabiki wa mpira ni starehe, ni furaha na siyo matusi, nashauri kuwa kama huwezi kujibu MTU bora usiongee KBS.
Mimi binafsi nilianza kuwa mshabiki wa CHELSEA TANGU mwaka 1997; hizo hatukuwa na GROUP kama hili, tulikuwa tunakutana kuangalia mpira tu.
 
Unajua ushabiki wa mpira ni starehe, ni furaha na siyo matusi, nashauri kuwa kama huwezi kujibu MTU bora usiongee KBS.
Mimi binafsi nilianza kuwa mshabiki wa CHELSEA TANGU mwaka 1997; hizo hatukuwa na GROUP kama hili, tulikuwa tunakutana kuangalia mpira tu.
hili siyo group hii ni thread
 
*Conte's press conference today :*

Conte on injuries: "All players are available for tomorrow apart from Danny Drinkwater. He's continuing to work on his recovery."

Conte on Costa transfer: "We want to thank him for what he did with this club. We wish him all the best for the future."

Conte on squad: "We must work to try to fight for every competition. We are Chelsea and we must do this."

Conte on Batshuayi: "He didn't play a lot last season, but after one year I think he's worked very hard to be ready for this league."

Conte on Stoke: "It will be a really tough game. They won against Arsenal and drew against Man U. It means they are a really good team"

Conte on Hazard: "I'm pleased for him. In the last game he played very well, with good intensity. Now his injury is overcome."

Conte on week ahead: "The most important thing for us is to go game by game. Tomorrow will be really tough and we must prepare well."

Conte: "This will be a great challenge to face all the competitions with our squad. It's very important for us to face it in the right way."

Conte: "We're working well, I’m pleased for the commitment of my players. Sometimes a red card can happen. I was a player, I understand."

Conte on Costa distraction: "My team always thought to work, to be focused on the pitch. This is very important. We have to continue."

Conte: "To play 4 competitions isn't easy. For this reason, you have to give opportunities to players, the ones that don’t usually play."

Conte on youngsters: "We have been working with Musonda & Kenedy since January. I was pleased to see this kind of performance from them."

Conte on Zouma: "I make every decision with the club, together. In this case the best way for him is to play regularly (after injury).
He is playing really well and for me it’s a pleasure to see this. I hope to see him tomorrow and say hello."

Conte on Bakayoko: "He is fit. It was a minor accident but he’s fit and available for the Stoke game.

[HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
 
Kumfunga Stoke kutategemea sana central defence na wings zetu.

Juzi kwenye game ya Arsenal, Alonso alionesha weakness sana kwenye defending. Attacking yuko vizuri sana na pass zake ninazikubali. I just wish kama Zappacosta angeweza kucheza wing ya kushoto. Then Moses angebaki kulia (kwa sababu ya speed yake in defence) na Zappa angeenda kushoto. Butu yeyote atakayepangwa kesho kwenye wings, sijaona Stoke wakitumia wings zao kushambulia..they do long balls straight to the striker.

Ndiyo maana nikasema atakayebaki pale nyuma ataamua sana kutokufungwa kwetu na kwa kuwa hawatumii wings sana, basi wingers wetu wataamua ushindi wetu.

All in all Ngolo Kante na Cahill..nawaombea waamke na nguvu ya ziada...haitakuwa kazi ya kitoto!!!

Uzuri pia kwao, Kurt Zouma hatokuwepo....its an advantage kwetu!
 
Ningependa sana line up ya leo iwe hivi lakini conte ana maajabu yake
Courtois

Aspiliqueta, christiensen, rudiger

Zappacosta, kante, bakayoko,alonso

Willian, morata,hazard

Lakini mengine tumuachie conte
Japo match itakuwa ngumu tutashinda leo japo ni ugenini
Stoke city sio watu wa mzaha hata kidogo hasa wakiwa nyumbani
Tuwe makini tunahitaji beki isiyo na papara
 
Unajua ushabiki wa mpira ni starehe, ni furaha na siyo matusi, nashauri kuwa kama huwezi kujibu MTU bora usiongee KBS.
Mimi binafsi nilianza kuwa mshabiki wa CHELSEA TANGU mwaka 1997; hizo hatukuwa na GROUP kama hili, tulikuwa tunakutana kuangalia mpira tu.
TULISHASEMA IKI NI KIKUNDI CHA WEZI KUNA WANAZI WAKABISHA
 
Ningependa sana line up ya leo iwe hivi lakini conte ana maajabu yake
Courtois

Aspiliqueta, christiensen, rudiger

Zappacosta, kante, bakayoko,alonso

Willian, morata,hazard

Lakini mengine tumuachie conte
Japo match itakuwa ngumu tutashinda leo japo ni ugenini
Stoke city sio watu wa mzaha hata kidogo hasa wakiwa nyumbani
Tuwe makini tunahitaji beki isiyo na papara
Iko poa sana hii lineup yako hasa pale midfied cante na bakayoko wanaelewana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom