mahrez wa nini???? atakuja cheza namba ya nani pale mbele????
kwanza mahrez mvivu sio mpambanaji so acha aende hata asenali ndo akapotelee huko.
Ww humjui vzr Mahrez
Ngoja aje ndo utamjua vizuri conte
Wenye jicho LA tatu wamenisoma
mahrez wa nini???? atakuja cheza namba ya nani pale mbele????
kwanza mahrez mvivu sio mpambanaji so acha aende hata asenali ndo akapotelee huko.
Ww humjui vzr Mahrez
Ngoja aje ndo utamjua vizuri conte
Wenye jicho LA tatu wamenisoma
Dirisha limefungwa ila kama timu zilipeleka karatasi za majina ya usajili zitaendelea kusajiliJaman Mahrez vp maana kifurushi kitakata muda c mrefu bado 2hrs eeeh
aje wapi mkuu???
dirisha ndo linafungwa bado nusu saa tu.
mbele tuna congestion ya watu tena wazuri.
kama unampenda sana mahrez muite kwenu mnywe nae chai.











Dah.. Mkuu sijapenda yaani Mshambuliaji ni Morata tu, mbona tulikuwa tumewawekea mipango wengi whyDirisha limefungwa
Na chelsea walimpoteza rose bakley ambae aliamua kubaki everton
Ila wamefanikiwa kuwasajili
David zappacosta
Dany drinkwater
Coutihno kasepa kwenda wapi?Mkuu unasikitisha sana. Wewe saizi yako arsenal amabeye hana mpango na kombe kama wewe. Leicester city siyo saiz yako ameingia juzi ligi kuu kanyanyua kwapa juu lakini wewe toka 1990 hata lile manaloita la mbuzi bado. Couthinho kashtuka mapema kasepa paaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipimo vilikataa ni majeruhi yuleBarkley nikama demu unamfikisha Gest, kalainika unaanza kutoa nguo anakuuliza unataka kufanya nn![]()
Ni kweli ila hata hivyo hakukuwa na mshambuliaji wa maana wacha tuone kwa michi atamsaidia vipi morataDah.. Mkuu sijapenda yaani Mshambuliaji ni Morata tu, mbona tulikuwa tumewawekea mipango wengi why
Hata kama majeruhi tungemchukua na kumuacha kwa mkopo hapo hapoVipimo vilikataa ni majeruhi yule
Wewe wasema oxlade ni garasa tu Mungu katuepusha nalo bora hata bakley mara 100 kuliko oxladeCoutihno kasepa kwenda wapi?
Mm nimechukua Champion League ktk modern football!
Chelsea wachezaji wameishtukia kama ni team ya familia sio taasisi
OX kaikataa
Barkley jana kaikataa
Llorient jana kaikataa
Team itakuwa ya 10 mwaka huu
Morata hawezi kukua CL football