Ni kama zile mbichi za Depay, mbichi za vile acha zitupite tu ... Sio kutoa pesa nyingi halafu mchezaji anakuja kuruka ruka msimu mmoja huku mnajilamu tulimnunua wa nini
Tumesajili wachezaji sita mpk sasa. .nadhani wanatosha kabisa.
Tofauti na msimu ulopita tulisajili watatu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tuna upungufu lakin ukicheki wengi hawawezi kupata namba kutokana na ushindani uliopo.Yeah but msimu huu wamepungua wengi kuliko mwaka jana, hesabu kuanzia dirisha dogo hadi sasa tumeuza wachezaji zaidi ya 7 or 8 out of 23 waliokuwepo kwenye squad ya EPL last season
kunywa maji yuko poa mkuuu,japo kwa matic bado bt kumbuka anakutana na pacha wake kanteUnauza Matic unamnyatia Kunywamaji, akili za Conte anazijua Kante kwa kweli.
Hawajui kupambana kaogopa kukaaa benchiWachezaji kuwakataa pamoja na kucheza UCL kunaashiria nini? Yaani mchezaji anaona bora abaki Everton kuliko kuja darajani, kweli??? Yaani mchezaji anaona bora aende Loserpool kuliko kuja kwenu, kweli??? Hii sio ishara nzuri hata kidogo blauzi fans.
Exactly , nilikuwa na prove point hapo juu kuwa kutoa pesa nyingi kununua mchezaji hakumaanishi hawezi kuwa flop/ garasa .. Kila timu kubwa hapo epl imeshawahi kununua wachezaji kwa pesa nyingi na wakishia kuwa magarasa tu, kwa hiyo chelsea kutaka kutoa pesa nyingi kumnunua OX au Barkley hakuna maana wasingeweza kuwa magarasa. Hivi ukimkosa kumsajili OX au huyo Barkley unajutia kweli !!! Wangeongeza ukubwa wa benchi la substitutions ila sio quality ya kikosi tulichonacho sasaMbona kama unamzungumzia Torres vile?
Sheria inasema sio lazima wacheza ila tu wawepoSi mnajua kua tunatatizo la wachezaji wa ndani FA wataanza kutuchukia soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli tumelamba dume kwa hawa wanaume wawili zapoacosta na drinkwater
Ni wanaume wa kazi kweli kweli
Yaani ni hatari sana kuna watu watalala benchi wasipojiongeza wenyewe
Dirisha la usajili hispania linafungwa leo usiku tusubiri tuone
Nyie mmemsajili nani?
Wachezaji kuwakataa pamoja na kucheza UCL kunaashiria nini? Yaani mchezaji anaona bora abaki Everton kuliko kuja darajani, kweli??? Yaani mchezaji anaona bora aende Loserpool kuliko kuja kwenu, kweli??? Hii sio ishara nzuri hata kidogo blauzi fans.
Mwoga kupambanaAligoma kusaini
Zilikuwa zinapotea bure tuKama ni garasa mngetoa £40m ?
Ni kama zile mbichi za Depay, mbichi za vile acha zitupite tu ... Sio kutoa pesa nyingi halafu mchezaji anakuja kuruka ruka msimu mmoja huku mnajilamu tulimnunua wa nini
Mwoga kupambana
Mwonyeshe kocha kuwa unaweza mazoezini na uwanjani kwenye match atakupa nafasi tu
We unafikiri cahill ana namba tena mbele ya rudiger?
Tatizo langu mm pale namba 9 tu, yaani tuna Morata na Batshuayi , unaweza kuona hapo hakuko sawa kidogo.. Unless costa au conte mmoja wapo amaeze pride yake ili Costa arudi kikosini namba 9 ndio itakayokuwa point of weakness yetu msimu huu, ila mabeki tumeimarika zaidi, viungo wote tumeimarika zaidi ya msimu uliopita.Tumesajili wachezaji sita mpk sasa. .nadhani wanatosha kabisa.
Tofauti na msimu ulopita tulisajili watatu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeliona hili mkuu ila kuna match bakayoko atakuwa wa muhimu na kuna mechi drinkwater atahitajika ila wote watatu yaani kante.bakayoko na drinkwater wanaweza kucheza pamojaSijui mnakiona ninachokiona mimi. ila mtakiona katika michezo ijayo. Kama Drinkwater akipona na akawa fiti 100% basi Chelsea eneo la katikati litakuwa kama eneo la ufalme..... Muunganiko wa wanadamu hawa sina shaka na aina ya uchezaji wao, shaka yangu ni namna Bakayoko atakavyotakiwa kutumia nguvu kubwa kuvunja muunganiko huu.... Wamecheza pamoja Msimu mzima, wametesa viungo wa upinzani pamoja, wameshinda pamoja, wamechukua ubingwa pamoja na sasa wamerudiana na kuamua kucheza pamoja...
Bakayoko ni bora sana kuliko Dany Drinkwater ila muunganiko wa Kante na Drinkwater ni muunganiko matata sana kuliko wa Kante na Bakayoko.... Kama Conte ataruhusu muungano basi kazi kubwa ya sifa itakuwepo, ila kama hata ruhusa muungano basi kazi ndogo ya matusi itakuwepo.....![]()
Na nafikiri tumeitendea haki pauni milioni 35