eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
UnajifarijiTimu 11 za Epl zina wachezaji waliokulia Man United, Chelsea imeongezeka kwenye list.
UnajifarijiTimu 11 za Epl zina wachezaji waliokulia Man United, Chelsea imeongezeka kwenye list.
Torres hakuwai kuwa garasa sema magoli yalimkataa lakininkatika rolle ya timu alicheza vizuriExactly , nilikuwa na prove point hapo juu kuwa kutoa pesa nyingi kununua mchezaji hakumaanishi hawezi kuwa flop/ garasa .. Kila timu kubwa hapo epl imeshawahi kununua wachezaji kwa pesa nyingi na wakishia kuwa magarasa tu, kwa hiyo chelsea kutaka kutoa pesa nyingi kumnunua OX au Barkley hakuna maana wasingeweza kuwa magarasa. Hivi ukimkosa kumsajili OX au huyo Barkley unajutia kweli !!! Wangeongeza ukubwa wa benchi la substitutions ila sio quality ya kikosi tulichonacho sasa
Ox chamberlin hata mimi sikumpendaSisi watu wa Chelsea ndio tunajua hayo, hao wengine ni mashabiki wa juzijuzi tu, nina historia ya kutoa pesa nyingi kwa Magarasa, bora kikombe cha OX kimetupita
Sijui una define vp "garasa" ila ukinunua striker wa 20+ goals kwa msimu unategemea kupata 20+ goals kwa msimu, sasa akishuka akawa- 10goals kwa msimu kwangu naona kawa "garasa"Torres hakuwai kuwa garasa sema magoli yalimkataa lakininkatika rolle ya timu alicheza vizuri
Na kikubwa alilipa deni lake kwa lile bao dhidi ya barcelona semi final ya uefa lilikuwa £50m goal
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ugarasa wenyewe huoTorres hakuwai kuwa garasa sema magoli yalimkataa lakininkatika rolle ya timu alicheza vizuri
Na kikubwa alilipa deni lake kwa lile bao dhidi ya barcelona semi final ya uefa lilikuwa £50m goal
Sent using Jamii Forums mobile app
Utauona nikikutana na wewe na kukubabuaCHELSEA PESA IMETOKA NYINGI AF SIJAONA USAJILI WAMAANA
TUSIPOCHUKUA KOMBI BOLA CONTE ASEPE2
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulivyofanya game ya mwisho naona ukanikazia adi on targetUtauona nikikutana na wewe na kukubabua
Chelsea imetengeneza zaidi ya 100£+ millions kwa kuuza wachezaji , kwa hiyo net expenditure yake ni around 70£ +millions wakati timu kama Man U wametengeneza 7£ tu kwa mauzo, kwa hiyo kimsingi Man U wametumia mara mbili zaidi ya chelsea kwenye dirisha hili la usajili : (hapo hatujahesabu mauzo ya oscar around 60£ millions kwenda china mwishoni mwa mwaka jana) [HASHTAG]#FACT[/HASHTAG]CHELSEA PESA IMETOKA NYINGI AF SIJAONA USAJILI WAMAANA
TUSIPOCHUKUA KOMBI BOLA CONTE ASEPE2
Sent using Jamii Forums mobile app
Sizitaki mbichi hizi![]()
![]()
![]()
boss ulitaka chelsea wawalete ronaldo na mesi ndo useme wamesajili? chelsea wanakikosi kizuri sn kilichohitajika ni kuongeza baadhi ya wachezaji wachache tu ili waweze kukabiliana na mashindano mengi zaidi ya msimu uliopita. first eleven ya chelsea ni nzur sn na ndo mana wachezaji wengi waliotaka kusajiliwa walikataa kuja wakijua watasugua bench..naamini hakuna timu england ya kuisumbua chelseaCHELSEA PESA IMETOKA NYINGI AF SIJAONA USAJILI WAMAANA
TUSIPOCHUKUA KOMBI BOLA CONTE ASEPE2
Sent using Jamii Forums mobile app
Team unamtegemea lukaku pekee halafu yakusifu
Nilikuwa simfatilii huyu zappacosta japo mara moja moja kwa bahati mbaya nilishawah kuona mechi zake 2 tu niwe mkweliiii....Nimeliona hili mkuu ila kuna match bakayoko atakuwa wa muhimu na kuna mechi drinkwater atahitajika ila wote watatu yaani kante.bakayoko na drinkwater wanaweza kucheza pamoja
Uzuri wa drink na bakayoko ni wafungaji wazuri pia tena hasa drinkwater akiwa nje ya kumi na nane muogope sana anafumua sio mchezo
Mi naamini kuna zile match ngumu tutakuwa tunawahitaji kante, bakayoko,na drinkwater kwa pamoja
Moses pia naona akipoteza namba kwa zappacosta huyu mwanaume dimbani sio wa kawaida anapanda na kushuka bonge moja la beki
Mkuu sisi hatuchukui 'kombi' sisi tuna chukua "Makombe". Sasa kama kombi nenda huko kwenu kwa Likuku atawapa kombiCHELSEA PESA IMETOKA NYINGI AF SIJAONA USAJILI WAMAANA
TUSIPOCHUKUA KOMBI BOLA CONTE ASEPE2
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndounavyojidanganya bossboss ulitaka chelsea wawalete ronaldo na mesi ndo useme wamesajili? chelsea wanakikosi kizuri sn kilichohitajika ni kuongeza baadhi ya wachezaji wachache tu ili waweze kukabiliana na mashindano mengi zaidi ya msimu uliopita. first eleven ya chelsea ni nzur sn na ndo mana wachezaji wengi waliotaka kusajiliwa walikataa kuja wakijua watasugua bench..naamini hakuna timu england ya kuisumbua chelsea