Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

0f5179c944278dc2e045fff1637a0b93.jpg

Mwenyewe anadai anataka kwenda liver ikishindikana anabaki arsenal
Asante mungu ........
 
OX kawaonyesha kama nyie ni team ya msimu tu!
Mwaka huu nafasi ya nne sijui kama mtapata
Kiungo Drinkwater ehehehe
 
OX kawaonyesha kama nyie ni team ya msimu tu!
Mwaka huu nafasi ya nne sijui kama mtapata
Kiungo Drinkwater ehehehe
Hivi unatumia akili kweli drinkwater ameshatwaa taji la epl akiwa na leicester city lakini oxlade halijui wala hajawahi kulitwaa akiwa na arsenal
Leo anaondoka arsenal ambayo haitwai kombe ameenda kwa vilaza liverpool ambao toka 1990 hawajawahi kutwaa epl mnasindikiza tu

Amini usiamini tunatetetea taji letu
Na liver msimu huu tutawanyoa nje ndani nakuambia
 
Hivi unatumia akili kweli drinkwater ameshatwaa taji la epl akiwa na leicester city lakini oxlade halijui wala hajawahi kulitwaa akiwa na arsenal
Leo anaondoka arsenal ambayo haitwai kombe ameenda kwa vilaza liverpool ambao toka 1990 hawajawahi kutwaa epl mnasindikiza tu

Amini usiamini tunatetetea taji letu
Na liver msimu huu tutawanyoa nje ndani nakuambia
Morata HAWEZI wapa EPL wala champion league football mwakani!
Drinkwater kuipa ubingwa LC sisi watoto wa mjini tunaita zari la mentali
Mbona msimu uliopita na yy yupo walipigana wasishuke daraja?
 
Morata HAWEZI wapa EPL wala champion league football mwakani!
Drinkwater kuipa ubingwa LC sisi watoto wa mjini tunaita zari la mentali
Mbona msimu uliopita na yy yupo walipigana wasishuke daraja?
mbona kwa liver haijawahi kuwa zali au mnafikiri mazali yanakuja mkiwa mmelala tu
Team mbovu zali inapata wapi
 
OX kawaonyesha kama nyie ni team ya msimu tu!
Mwaka huu nafasi ya nne sijui kama mtapata
Kiungo Drinkwater ehehehe

Malafyale am curious to know out of ushabiki hivi Chamberlain anaweza kuwa 1st 11 kwenye midfield yenu?

Atamreplace nani kwa mtazamo wako assuming lallana karudi kwnye kikosi
 
OX kawaonyesha kama nyie ni team ya msimu tu!
Mwaka huu nafasi ya nne sijui kama mtapata
Kiungo Drinkwater ehehehe
Wewe ndo mavi ya kuku hivi kati livefool na chelsea team ipi inaweza kuipa nafasi ya kuchukua EPL,kama huna uhakika waulize wanaokuzidi umri.liverpool 27yrs=0 epl title,Chelsea 5yrs=2 EPL title.
 
Guys deal ya Ox i really wish ingetokea but there is no regrets na hatutakiwi kujilaumu for a choice he made
Ox ni mzuri but as a wingback, kafanya vizuri wenger alivyo switch to 3 4 3 / 3 5 2 formation mwisho wa msimu but as a normal winger au midfield chamberlain is not that creative, hajawahi kuni impress kabla hajaanza kucheza wingback
Yeye kataka kucheza midfield, sisi tulimtaka as a wingback, demand zetu hazijameeet, we did our best and there is no regret
Kwa kiungo mshambuliaji na creativity Ox anazidiwa sana na Barkley, kama lengo nikuongeza English Quota kwny team bora tumchukue Barkley ana potential sana
 
Guys deal ya Ox i really wish ingetokea but there is no regrets na hatutakiwi kujilaumu for a choice he made
Ox ni mzuri but as a wingback, kafanya vizuri wenger alivyo switch our formation mwisho wa msimu but as a normal winger au midfield chamberlain is not that creative, hajawahi kuni impress kabla hajaanza kucheza wingback
Yeye kataka kucheza midfield, sisi tulimtaka as a wingback, demand zetu hazijameeet, we did our best and there is no regret
Kwa kiungo mshambuliaji na creativity Ox anazidiwa sana na Barkley, kama lengo nikuongeza English Quota kwny team bora tumchukue Barkley ana potential sana

"Our formation"
 
Generally nikiuangalia usajili wa msimu huu hatujafikia malengo, tumesajili but tuliuza pia so tumefanya kureplace hatujaongeza depth wala quality except on Bakayoko case
Tuliuza kina ivanovic, oscar in january, tukamuuza obi, matic, tumemtoa costa kwny kikosi, chalobah na Ake plus asmir wote on permanent basis, tumejitahidi kureplace hatujaadd kitu
Kw siku ya leo nikiangalia deals zilizo realistic nadhani tukimsajili Mahrez, llorente drinkwater, Barkley pamoja na wingback yoyote mmoja au wawili atleast tutakua tumeadd quality na back up ya kutosha kwny kikosi,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom