Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

6606819dcba7bc93ed5997595790f68f.jpg

Msg sent to babu Wenger
 
Naomba namba za simu za Ox mkuu mpaka unajua hataki Chelsea wewe ni mtu wa karibu yake sana..
Nitarudi tena hapa baadae kwa issue ya Van Dijk
Mkuu huyo Oxlade.. Napo naweka akiba ya maneno

Moyo unawasiwasi ijapo Arsenal yuko siku nyingi.
 
Mkuu OX hujamtazama vizuri. Timu yetu inahitaji mtu kama huyu. Ana kasi na ni mpambanaji.
Mpambanaji wapi mkuu galasa lile,we subiri atue darajan utaelewA nachokisema. Mchezaji gani mimbio tu na mpira hadi nje y uwanja ..........hana tofauti na walcot, halaf nashangaaga wanaowasifiga hawa wachezaji.
 
0f5179c944278dc2e045fff1637a0b93.jpg

Mwenyewe anadai anataka kwenda liver ikishindikana anabaki arsenal
Anataka ahakikishiwe atacheza namba 9 kwani anaamini Chelsea fc wanataka kumchukua acheze nafasi ya winga. Hivyo kutokana na hitaji la central role kwa Chelsea anaona nafasi ni finyu kuipata, then decided against offer

Sent using Jamii Forums mobile app
Source: bbc sports news/football
 
Anataka ahakikishiwe atacheza namba 9 kwani anaamini Chelsea fc wanataka kumchukua acheze nafasi ya winga. Hivyo kutokana na hitaji la central role kwa Chelsea anaona nafasi ni finyu kuipata, then decided against offer

Sent using Jamii Forums mobile app
Source: bbc sports news/football
Kwa oxlade ni mshambuliaji au ni winga
Hiyo namba 9 ya nini sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom