Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Heheheee... Katika mashabiki wa mpira wanaojua kununa nuna, bac ni mashabiki wa darajani, yaani wao wanahic daraja wakati wowote linabomoka. Ss leo wameshinda wanaanza kutaja man utd tutamfanya hivi cjui vile, wakati c jana matokeo kama haya tulifurahi kishingo upande


Sent using Jamii Forums mobile app
Kushinda nne mechi mbili kumewapa kiburi sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asernal Wenger kanyongonyea kama Kashikwa Ugoni vileee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
cca31338ed2dc29197b570bbb8969029.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heheheee... Katika mashabiki wa mpira wanaojua kununa nuna, bac ni mashabiki wa darajani, yaani wao wanahic daraja wakati wowote linabomoka. Ss leo wameshinda wanaanza kutaja man utd tutamfanya hivi cjui vile, wakati c jana matokeo kama haya tulifurahi kishingo upande


Sent using Jamii Forums mobile app
. Siyo kwamba ndo uwezo wenu ulipoishia. Tuone kama kunatimu mtafunga goli 4 tena. Ila mnaumia mnapoona vijana wa Conte wanavyokuja spiidi. Timu ya chelsea ndiyo timu pekee inawanyima usingizi makocha wa uingereza na mashabiki wa timu pinzani duniani. Kama Uamini bisha na evidences hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
. Siyo kwamba ndo uwezo wenu ulipoishia. Tuone kama kunatimu mtafunga goli 4 tena. Ila mnaumia mnapoona vijana wa Conte wanavyokuja spiidi. Timu ya chelsea ndiyo timu pekee inawanyima usingizi makocha wa uingereza na mashabiki wa timu pinzani duniani. Kama Uamini bisha na evidences hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana sana huwa wana muogopa Antonio Conte kutokana na mbinu zake jinsi zilivyo.
Jamaa ana plan Kali sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom