Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

04a29a96e1ab78c62b8d12996a8f20f0.jpg
 
Heheheee... Katika mashabiki wa mpira wanaojua kununa nuna, bac ni mashabiki wa darajani, yaani wao wanahic daraja wakati wowote linabomoka. Ss leo wameshinda wanaanza kutaja man utd tutamfanya hivi cjui vile, wakati c jana matokeo kama haya tulifurahi kishingo upande


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa yako,

ujue timu kama Chelsea imeanzishwa kwa ajili ya kupambana na timu yeyote iliyo mbele yake.
Na hakuna timu yeyote inayotunyima usingizi nbele yetu zaidi ya mapambano.

Daraja letu bado lipo imara zaidi chini ya Antonio Conte...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heheheee... Katika mashabiki wa mpira wanaojua kununa nuna, bac ni mashabiki wa darajani, yaani wao wanahic daraja wakati wowote linabomoka. Ss leo wameshinda wanaanza kutaja man utd tutamfanya hivi cjui vile, wakati c jana matokeo kama haya tulifurahi kishingo upande


Sent using Jamii Forums mobile app
We lazima tukuzibue ujiandae tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom