Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

790dc3052e578c1e51698dd417abe8e0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
No zilikuwa very soft attack, kwa mwamuzi anayetumia akili vizuri Wala isingekuwa hivyo, Ila kwakuwa alishadhamiria toka mapema no way!

Pogba wa tz nchi imekushinda!

Cahil ilikuwa ni straight red card na sheria inasema hivyo. Kama refa asingetoa ingekuwa ni bahati yake tu lakini alistahili.

Fabregas kadi ya njano ya kwanza ilikuwa ni halali kabisa, huwezi kumsanifu refa vile ukabaki salama, ulikuwa ni upuuzi wa kiwango cha juu. Referee keshaamua ni faulo sasa nini kumdhihaki??
Yellow card ya pili sidhani kama kuna haja ya kuongelea maana ile tackle haikuwa tofauti sana na aliyoifanya Cahil.
So hakukuwa na soft card pale, zote zilikuwa deserved kabisa.
Marcus Rojo msimu uliopita alifanya tackle kama hiyo ila ilikuwa bahati yake tu hakupewa red, he was just lucky, but he deserved straight red card.
 
Cahil ilikuwa ni straight red card na sheria inasema hivyo. Kama refa asingetoa ingekuwa ni bahati yake tu lakini alistahili.

Fabregas kadi ya njano ya kwanza ilikuwa ni halali kabisa, huwezi kumsanifu refa vile ukabaki salama, ulikuwa ni upuuzi wa kiwango cha juu. Referee keshaamua ni faulo sasa nini kumdhihaki??
Yellow card ya pili sidhani kama kuna haja ya kuongelea maana ile tackle haikuwa tofauti sana na aliyoifanya Cahil.
So hakukuwa na soft card pale, zote zilikuwa deserved kabisa.
Marcus Rojo msimu uliopita alifanya tackle kama hiyo ila ilikuwa bahati yake tu hakupewa red, he was just lucky, but he deserved straight red card.
Then what!!

sent from my jamii forums app iphone 7+
 
Cahil ilikuwa ni straight red card na sheria inasema hivyo. Kama refa asingetoa ingekuwa ni bahati yake tu lakini alistahili.

Fabregas kadi ya njano ya kwanza ilikuwa ni halali kabisa, huwezi kumsanifu refa vile ukabaki salama, ulikuwa ni upuuzi wa kiwango cha juu. Referee keshaamua ni faulo sasa nini kumdhihaki??
Yellow card ya pili sidhani kama kuna haja ya kuongelea maana ile tackle haikuwa tofauti sana na aliyoifanya Cahil.
So hakukuwa na soft card pale, zote zilikuwa deserved kabisa.
Marcus Rojo msimu uliopita alifanya tackle kama hiyo ila ilikuwa bahati yake tu hakupewa red, he was just lucky, but he deserved straight red card.
Sasa kama ni hvyo huyo refa (Craig Pawson), akipewa match kubwa za wahun wa mpira c atatoa kadi nyekundu nusu ya wachezaj wotee.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cahil ilikuwa ni straight red card na sheria inasema hivyo. Kama refa asingetoa ingekuwa ni bahati yake tu lakini alistahili.

Fabregas kadi ya njano ya kwanza ilikuwa ni halali kabisa, huwezi kumsanifu refa vile ukabaki salama, ulikuwa ni upuuzi wa kiwango cha juu. Referee keshaamua ni faulo sasa nini kumdhihaki??
Yellow card ya pili sidhani kama kuna haja ya kuongelea maana ile tackle haikuwa tofauti sana na aliyoifanya Cahil.
So hakukuwa na soft card pale, zote zilikuwa deserved kabisa.
Marcus Rojo msimu uliopita alifanya tackle kama hiyo ila ilikuwa bahati yake tu hakupewa red, he was just lucky, but he deserved straight red card.
Mara ya mwisho Chelsea kucheza 9 uwanjani ilikuwa Vs Manchester UTD red card ya Fernando Torress na Braslavic Ivanovic, game ikiisha kwa Chelsea kufungwa 3 Vs 2, chicharito akifunga goli la 3 huku akiwa offside, REFAREE alikuwa MARK CLATTERNBURG sitaisahau hiyo mechi!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Sasa kama ni hvyo huyo refa (Craig Pawson), akipewa match kubwa za wahun wa mpira c atatoa kadi nyekundu nusu ya wachezaj wotee.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Msimu uliopita robo fainali FA v Chelsea Ander herera alipewa kadi ya njano nyepesi kwa kumkwaza Hazard kwa nyuma, ingawa ile haikustahili kumpa kadi ya njano lakini kutokana na series za makosa aliyoyafanya dakika zilizopita ndo ilisababisha vile na ilibadilisha kabisa muskatabali wa ile mechi, remember?. Sawa kabisa na Fabregas na kila mtu aliona kabisa Fabregas alikuwa anaitafuta njano ya pili sijui kwanini hakutaka kumbadilisha.
 
Mara ya mwisho Chelsea kucheza 9 uwanjani ilikuwa Vs Manchester UTD red card ya Fernando Torress na Braslavic Ivanovic, game ikiisha kwa Chelsea kufungwa 3 Vs 2, chicharito akifunga goli la 3 huku akiwa offside, REFAREE alikuwa MARK CLATTERNBURG sitaisahau hiyo mechi!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
Hii sintokaa niisahau aisee
de244bb88f000e2431486c70179c7055.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MATEO KOVASIC ni bonge moja la kiungo, hivi conte hamuoni huyu mtu hadi awatake akina drink water???????
scouting yetu na board ipo kizembe sana round hii.
huyu kovasic namuona ndo ange solve tatizo la defensive midifield.
Huyu dogo nami huwa namwelewa sana ........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom