Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

e6d8b1e274934c9c5f5da03877a0f572.jpg
 
Utakuwa na kichaa wewe, hakuna team duniani isiyotaka Huduma ya diego Costa... Ac Milan na wachina wao waliweka hela mezani Diego akachomoa. Costa mwenyewe ameshaweka bayana team pekee anayoitaka ni Atletico Madrid na si team nyingine yoyote .


Hivi kwa uelewa wako kuna team inaweza kumkataa Mchezaji Mwenye hizo statistics kwenye picha niliyoambatanisha ????

Ana misimu mitatu Chelsea , amekusaidia kubeba Ndoo mbili za EPL huku yeye ndio akiwa top scorer wako kipindi chote hicho Leo unasema ni mchezaji mbovu.


Kapimwe akili Ndugu yangu.... Huyo Morata kubali kataa hataweza kufikia hata robo ya Diego Costa.

Sent From My Nokia Ya Tochi



Costa is a good striker..kama Drogba kwa kweli. He is goal oriented and he can play upfront peke yake.

Tatizo DISCIPLINE.

Kina Messi na ubora wao wako humble wanawasikiliza makocha wao. Siku zote ukiwa na kipaji na huna nidhamu hakuna atakayekutaka. Muangalie Super Mario Balotelli...same story!

Kwa kweli nisingependa Costa aondoke but his discipline is costing the team and hujui tu ni lini he will affect the whole team! You can't have that in your squad. Tena mimi ningependelea kama angekuwepo Costa na Morata pamoja. Wacheze mbele kisha Willian/Pedro wamweke Victor Moses benchi.
 
Another advantage ya Morata ni uwezo wa kucheza in the wings. He can dribble. At their top game Wakicheza Hazard - Morata - Pedro/Willian, muda wowote, yeyote anaweza kuswitch na kuwa false 9 (false striker). Wakizoeana vizuri wataweza kufanya maajabu waliyokuwa wakifanya the MSN. Anybody can score hivyo mabeki watapata shida sana who to concentrate on.

I see a bright future with Morata.

If we can get watu wa kuwapumzisha kina V. Moses na Alonso, good players au walau one top class wing back wa hasa upande wa Victor Moses maana during pre season ameonesha kiasi anaweza ku-cover nafasi ya Alonso.

Pale kati tusubiri kuona effect ya Bakayoko na nyuma tuone impact ya Rudiger...

I know kutetea kombe tunaweza...but kwa UEFA we might need another season a few other signings and more practice within the team and we will be there.
 
Mkuu me nadhani ni bodi ndo inayosimamia kila kitu ..KWAHIYO antonio nahisi hahusiki kuuzwa kwa matic kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app

Ila kama ni bodi inafanya vitu bila kumshirikisha kocha, aisee bodi yetu itakua incompetent.
conte anatakiwa ndo awe na last say yasije yakatokea yale yaliyomtoa juve au kama ya klop na dortmund.
huyu michael emenalo sio competent kab
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom