mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Tumia akili hadi morata wa watu anashangaa jamani haelewi kinachoendelea katulia tu anaangalia.

Tumia akili hadi morata wa watu anashangaa jamani haelewi kinachoendelea katulia tu anaangalia.

Unaona wengine wanavyofanya pale eheee na wewe nataka ufanye vile haraka sana haijalishi wewe ni mgeni

Kosa kubwa sana kumsahau huyu.How dare you leave Cesar Azpilicueta.
kumbe wanoko wa manyumbu nao wamo humu thread ya wajanja wa jiji la LondonTusubirie kesho kwenye mechi yenu na buyern nina hamu sana kumuona huyo morata maana mmeongea sana.



London is blueeeeChelsea sio morata tu.Tusubirie kesho kwenye mechi yenu na buyern nina hamu sana kumuona huyo morata maana mmeongea sana.
Hilo daraja lenu leo linabomoka.Chelsea sio morata tu.
Hadi kipa ana funga magoli.
Alaf kuna wilian,mich,remy,marcos luiz.yaani wote ni wafungaji wazuri,karibu darajani.
Sent using Jamii Forums mobile app
alipotaka kuhamia kwenu nawe uliongea sana sie tukawa kimya kumbe ni vyema tukapeana nafasi ya kuongeaTusubirie kesho kwenye mechi yenu na buyern nina hamu sana kumuona huyo morata maana mmeongea sana.
Hizi ni friend match kumbe zisikupe homaHilo daraja lenu leo linabomoka.
Bayern wabovu,juzi kala 4 na milan.akitoka drooHilo daraja lenu leo linabomoka.
Vipi garasa lukaku kwenye match kubwa hafungi si uliona na real madridTusubirie kesho kwenye mechi yenu na buyern nina hamu sana kumuona huyo morata maana mmeongea sana.
Kumbe man city siku hizi team ndogo eeehh..???Vipi garasa lukaku kwenye match kubwa hafungi si uliona na real madrid
Team za kuzifunga magoli ni zile za kawaida tu

Naona lile goli alilowafunga man city bado lipo vichwani mwenu.Vipi garasa lukaku kwenye match kubwa hafungi si uliona na real madrid
Team za kuzifunga magoli ni zile za kawaida tu

Ulikuwa hujuiKumbe man city siku hizi team ndogo eeehh..???![]()
![]()
Man city sio team kubwaNaona lile goli alilowafunga man city bado lipo vichwani mwenu.![]()
![]()
Man city Sio team kubwa kwann inashiriki UEFA na league kuu EPL futa kauli yako mkuuMan city sio team kubwa
Hata ukitaja team bora 10 duniani za mpira wa miguu man city haipo
.???
