Jay8
Member
- May 26, 2017
- 40
- 49
Kwa mashabiki wa Chelsea,
Ijumaa tunatarajia kukutana pamoja pale TOMONI Victoria karibu na kona ya kwenda Mwananyamala kuanzia saa 12 jioni lengo ikiwa ni kufahamiana na kupanga pamoja kuhusu sherehe yetu tunataka iweje wakati huu ambao kuna juhudi mbalimbali zikiendelea kufanikisha hilo,kila shabiki wa Chelsea atakayefika atapata juice moja bure(Yaani ushalipiwa
) kigezo cha kutambulika ni kuja na simu yako na kutuonesha group la Chelsea ulilopo,Kwa kuzingatia kuwa kuna wengine wana ugomvi ama hawatumii Juice
♂ basi tumeruhusu mtu kujibebea kinywaji hasa vinywaji vikali, kutakuwa na nyama choma la kiSouth(Hii unajinunulia haijalipiwa
) Bila shaka maelezo yamenyooka na yanaeleweka.
Mfahamishe kila mwana Chelsea kwenye groups mbalimbali.
*Imetolewa*
*Kitengo cha habari*
*Chelsea Tanzania*
Ijumaa tunatarajia kukutana pamoja pale TOMONI Victoria karibu na kona ya kwenda Mwananyamala kuanzia saa 12 jioni lengo ikiwa ni kufahamiana na kupanga pamoja kuhusu sherehe yetu tunataka iweje wakati huu ambao kuna juhudi mbalimbali zikiendelea kufanikisha hilo,kila shabiki wa Chelsea atakayefika atapata juice moja bure(Yaani ushalipiwa
) kigezo cha kutambulika ni kuja na simu yako na kutuonesha group la Chelsea ulilopo,Kwa kuzingatia kuwa kuna wengine wana ugomvi ama hawatumii Juice
♂ basi tumeruhusu mtu kujibebea kinywaji hasa vinywaji vikali, kutakuwa na nyama choma la kiSouth(Hii unajinunulia haijalipiwa
) Bila shaka maelezo yamenyooka na yanaeleweka. Mfahamishe kila mwana Chelsea kwenye groups mbalimbali.
*Imetolewa*
*Kitengo cha habari*
*Chelsea Tanzania*
