Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Ndio mpira umeshafika huko kama unataka kushindana lazima uendane na mabadiliko na unavyozidi kuchelewa bei inazidi kuongezeka,umesahau kuwa Chelsea walimuuza Luiz £50m,Oscar £60m na Costa alitaka kununuliwa kwa £70m January Tangu Mourinho alivyorudi Chelsea iliingiza hela nyingi sana kuuza wachezaji.Wachezaji wanaotakiwa na Chelsea Rudiger,Bakayoko hawafiki hata £40m lakini mpaka leo hajasajiliwa hata mmoja,nakukumbusha Conte aliondoka Juve baada ya kuona wachezaji anaowataka hawasajiliwi
Chelsea wamefanya kosa kubwa sana kumtimua Costa sidhani kama mtapata striker anayemfikia
Yaani, hakuna kitu kilichonifurahisha na kunipa amani ndani ya Chelsea kama kutimuliwa kwa Costa
