Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Je wajua?
Kuna jezi ya chelseafc iliyosainiwa na wachezji wote kushindaniwa na washabiki wa the blues
jezi iliosainiwa na caballero kushindaniwa na washabiki wa the blues
ingia kwenye website yetu official ya chelseafc.com
tuma namba yako kwa message ntakuunga na group letu la whatsup kwa taarifa kama hizi na zingine
 
Walidai baada ya uzinduzi wa jezi wangetangaza usajiri wa wachezaji wapya lakini mpaka sasa kimya inakatisha tamaa kweli yani hii bodi yetu.
 
Conte nasikia amezingua tena
Anataka kuondoka chelsea
Conte alikua anamtaka Lukaku kwa udi na uvumba kiasi kwamba aliupa uongozi wa chelsea go ahead ya kumsajili kwa dau lolote......Chelsea wameniboa wanavosuasua na usajili, Conte ana haki ya kuzingua
 
Conte alikua anamtaka Lukaku kwa udi na uvumba kiasi kwamba aliupa uongozi wa chelsea go ahead ya kumsajili kwa dau lolote......Chelsea wameniboa wanavosuasua na usajili, Conte ana haki ya kuzingua
Ila tuvute subira watasajili mpaka tutakinai wenyewe
Watuletee mastaa tu sio wakawaida
 
Msimu wa usajili bado sana tutasajili tu
Lakini nasikia lukaku lilikuwa chaguo la emenalo na sio conte
 
Chelsea mchezaji waliemsajili kwa hela ndefu ni torres tu pauni milioni 50
Safari hii watoe mkwanja bila hivyo wachezaji wa bei rahisi hakuna
 
Huyu thamani yake ni 50-60 sema tuu sasa hivi ndo imekua mchezo kuuziana wachezaji bei kubwa

Sasa unamuuza morata 90mil ili iweje??? Wakati ni 60-70 ndo bei yake, huo ni usen..... Nimechukizwa basi tuu
Ndio soka limefika huko inabidi u-adapt unasahau kuwa Chelsea walimuuza Luiz 50m,Oscar 60m na Wachina walieta ofa ya 70 kwa Diego Costa January
 
Walidai baada ya uzinduzi wa jezi wangetangaza usajiri wa wachezaji wapya lakini mpaka sasa kimya inakatisha tamaa kweli yani hii bodi yetu.
tatizo sio bodi tatizo nikumpata mchezaji anayefiti ktk timu ambaye timu yake iko free kumuuza wengi wa wachezaji ambao conte anawahitaji bei zao ziko juu kuliko kawaida
 
hahaha mkuu hizo ni tetesi tu lukaku hawezi kwenda kwa mourinho kisa ni kitendo cha mourinho kumuuza lukaku akiwa chelsea bila matakwa yake
Niliwaambia last month uongozi wa Chelsea uko slow sana kwenye issue za usajili wa wachezaji,Chelsea wangeweza kumsajili Lukaku tangu ligi imeisha,kumbuka Conte alishasema hamtaki Costa so management ilipaswa kuweka kipaumbele usajili wa Lukaku
 
conte mzee wa meseji kwenda kwa mwamba costa sisi kama man city tumewapa kipa
 
Niliwaambia last month uongozi wa Chelsea uko slow sana kwenye issue za usajili wa wachezaji,Chelsea wangeweza kumsajili Lukaku tangu ligi imeisha,kumbuka Conte alishasema hamtaki Costa so management ilipaswa kuweka kipaumbele usajili wa Lukaku

Kaka wachezaji kwa sasa hawakamatiki kabisa, wako ghari mno, Sasa kweli Lukaku wa kuuzwa 75£Mil kweli? So Chelsea watasajili tu tena wachezaji wazuri hasa ukizingatia kuwa ni wachezaji wachache tu ndio wanahitajika
 
Kaka wachezaji kwa sasa hawakamatiki kabisa, wako ghari mno, Sasa kweli Lukaku wa kuuzwa 75£Mil kweli? So Chelsea watasajili tu tena wachezaji wazuri hasa ukizingatia kuwa ni wachezaji wachache tu ndio wanahitajika
Ndio mpira umeshafika huko kama unataka kushindana lazima uendane na mabadiliko na unavyozidi kuchelewa bei inazidi kuongezeka,umesahau kuwa Chelsea walimuuza Luiz £50m,Oscar £60m na Costa alitaka kununuliwa kwa £70m January Tangu Mourinho alivyorudi Chelsea iliingiza hela nyingi sana kuuza wachezaji.Wachezaji wanaotakiwa na Chelsea Rudiger,Bakayoko hawafiki hata £40m lakini mpaka leo hajasajiliwa hata mmoja,nakukumbusha Conte aliondoka Juve baada ya kuona wachezaji anaowataka hawasajiliwi

Chelsea wamefanya kosa kubwa sana kumtimua Costa sidhani kama mtapata striker anayemfikia
 
Niliwaambia last month uongozi wa Chelsea uko slow sana kwenye issue za usajili wa wachezaji,Chelsea wangeweza kumsajili Lukaku tangu ligi imeisha,kumbuka Conte alishasema hamtaki Costa so management ilipaswa kuweka kipaumbele usajili wa Lukaku
kwangu kumpoteza lukaku akaenda man u itakuwa maumivu makali mchezaji tuliyemlea tunashindwa kumrudisha?
 
Kaka wachezaji kwa sasa hawakamatiki kabisa, wako ghari mno, Sasa kweli Lukaku wa kuuzwa 75£Mil kweli? So Chelsea watasajili tu tena wachezaji wazuri hasa ukizingatia kuwa ni wachezaji wachache tu ndio wanahitajika
Ndio mpira umeshafika huko kama unataka kushindana lazima uendane na mabadiliko na unavyozidi kuchelewa bei inazidi kuongezeka,umesahau kuwa Chelsea walimuuza Luiz £50m,Oscar £60m na Costa alitaka kununuliwa kwa £70m January Tangu Mourinho alivyorudi Chelsea iliingiza hela nyingi sana kuuza wachezaji.Wachezaji wanaotakiwa na Chelsea Rudiger,Bakayoko hawafiki hata £40m lakini mpaka leo hajasajiliwa hata mmoja,nakukumbusha Conte aliondoka Juve baada ya kuona wachezaji anaowataka hawasajiliwi

Chelsea wamefanya kosa kubwa sana kumtimua Costa sidhani kama mtapata striker anayemfikia
 
kwangu kumpoteza lukaku akaenda man u itakuwa maumivu makali mchezaji tuliyemlea tunashindwa kumrudisha?

conte ataumia zaidi kamletea jeuri costa kumtegea lukaku watu wamepasua mwamba kiulaini.

huko atakuwa halali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom