chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,241
- 3,939
timu nyingi zinawauza wachezaji wao bei ya juu tofauti na uhalisia mfano eti lukaku anauzwa usd dola 100mHata sielewi Chelsea wanafanya nini katika Usajili. Wanavizia kitu gani?
timu nyingi zinawauza wachezaji wao bei ya juu tofauti na uhalisia mfano eti lukaku anauzwa usd dola 100mHata sielewi Chelsea wanafanya nini katika Usajili. Wanavizia kitu gani?
Abaki huko huko evertonitimu nyingi zinawauza wachezaji wao bei ya juu tofauti na uhalisia mfano eti lukaku anauzwa usd dola 100m
nani tena sasa wakureplace costa maana kila mchezaji tuyemgusa ama hauzwi au ni overpricedAbaki huko huko evertoni
lakini kumbuka ni strike no.2 kwa magoli mengi eplLukaku akija kwetu ndio wale wale kina Torres
Watoe pauni milioni 80kwa Adrea belote lakini sio lukakunani tena sasa wakureplace costa maana kila mchezaji tuyemgusa ama hauzwi au ni overpriced
mambo sio mazuri usajili unasumbuaJirani zangu kwema naona mambo Sio mabaya
huyo beloti ana thamani hiyo au ndiyo yaleyale ya pogbaWatoe pauni milioni 80kwa Adrea belote lakini sio lukaku
Belote anakufungia goli sehemu ambayo hutarajii ni kama alivyokuwa drogbahuyo beloti ana thamani hiyo au ndiyo yaleyale ya pogba
Huyo noma sanaBelote anakufungia goli sehemu ambayo hutarajii ni kama alivyokuwa drogba
Mfuatilie torino
Amezifunga team zote kubwa
ni tetesi tu mkuuBora lukaku kaenda man me nlikua sikubali atue darajani kiukweli
Mtu kashafanyiwa hadi vipimo huko USA nyie mnasema tetesi.ni tetesi tu mkuu
Huyu thamani yake ni 50-60 sema tuu sasa hivi ndo imekua mchezo kuuziana wachezaji bei kubwahuyo beloti ana thamani hiyo au ndiyo yaleyale ya pogba
Belote anakufungia goli sehemu ambayo hutarajii ni kama alivyokuwa drogba
Mfuatilie torino
Amezifunga team zote kubwa