masijala
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 280
- 425
Otamendi yuko vizuri anazidi kuimprove kila seasonligi ya uingereza ni ngumu ngoja tusubiri kama ataiweza isije ikawa wakina otamendi wa man city
Huyo dogo atafit kwenye mfumo i hope
Otamendi yuko vizuri anazidi kuimprove kila seasonligi ya uingereza ni ngumu ngoja tusubiri kama ataiweza isije ikawa wakina otamendi wa man city
Ujerumani walitumia 3-4-3ligi ya uingereza ni ngumu ngoja tusubiri kama ataiweza isije ikawa wakina otamendi wa man city
Mkuu kuweka Namba hapa ni msalaa Sanaa labda inboxMSIMU MPYA MAMBO MAPYA
Group letu la whatsup tumechomoa mamluki tunatafta washabiki blue wa ukweli
tuanze msimu mpya na mambo mapya
habari mpya na michezo kama kawa
mawazo yako ndo muhimu
tupia reply apa niku add
Asante nimesha rekebishaMkuu kuweka Namba hapa ni msalaa Sanaa labda inbox
Ulaya hawaendi ivo. Akikurupuka anaeza akawa ndo kachezea career yake ya mpira !!Hao madogo kama wajanja bora wakubali nunuliwa hata na timu ndogo wakacheze kuliko kila siku benchi na mkopo
ngoja tusubiri tuoneOtamendi yuko vizuri anazidi kuimprove kila season
Huyo dogo atafit kwenye mfumo i hope
mfumo hauna shida tatizo ni ligi yenyewe ya uingereza wachezaji wengi wanapata tabu kuizoeaUjerumani walitumia 3-4-3
Naamini ataingia moja kwa moja kama wengine walivyoingia
Mishahara pia. Kama anaenda Swansea na anapata nafasi akiwa kwa mkopo basi ni vyema akajishikisha Chelsea maana hao ndo wanadetermine mshahara wake tofauti na akinunuliwa na hizo timu ndogo.Hao madogo kama wajanja bora wakubali nunuliwa hata na timu ndogo wakacheze kuliko kila siku benchi na mkopo
Halafu sijui kwa nini wachezaji wengi huwa inawachukua muda kuzoeamfumo hauna shida tatizo ni ligi yenyewe ya uingereza wachezaji wengi wanapata tabu kuizoea
nadhani inachangiwa sana na timu ndogo kukamia timu kubwa hivyo kuleta pressure kwa wachezaji wapyaHalafu sijui kwa nini wachezaji wengi huwa inawachukua muda kuzoea
Ila kama anajua halafu akizoea inakuaga poa sana
na kwa taarifa zilizopo ni kwamba lukaku hajahiyari kwenda chelseaChelsea ipo nyuma kwenye sajili zake sijui afu ikiwa hakuna foward wa maana sasa tunabid
msimu huu usajili hauna mvuto kabisaDuuuhh..!!!mbona ni kila timu inalalamika kwa usajili..???
Hata sielewi Chelsea wanafanya nini katika Usajili. Wanavizia kitu gani?msimu huu usajili hauna mvuto kabisa