Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

4a4dc788d4959ce75c8ee28343941810.jpg


Hii ni mali aisee tukiipoteza tutakua tumezingua
 
MSIMU MPYA MAMBO MAPYA
Group letu la whatsup tumechomoa mamluki tunatafta washabiki blue wa ukweli
tuanze msimu mpya na mambo mapya
habari mpya na michezo kama kawa
mawazo yako ndo muhimu
tupia namba yako inbox niku add fasta
 
MSIMU MPYA MAMBO MAPYA
Group letu la whatsup tumechomoa mamluki tunatafta washabiki blue wa ukweli
tuanze msimu mpya na mambo mapya
habari mpya na michezo kama kawa
mawazo yako ndo muhimu
tupia reply apa niku add
Mkuu kuweka Namba hapa ni msalaa Sanaa labda inbox
 
BREAKING NEWS

Swansea have completed a season-long loan for Tammy Abraham.

The 19-year-old striker has also signed a new five-year deal with Chelsea.

Abraham has just returned from international duty with England at the European U21 Championship and will join Swansea on their pre-season tour of America.

IMG_20170704_171747.jpg
 
Hao madogo kama wajanja bora wakubali nunuliwa hata na timu ndogo wakacheze kuliko kila siku benchi na mkopo
 
Hao madogo kama wajanja bora wakubali nunuliwa hata na timu ndogo wakacheze kuliko kila siku benchi na mkopo
Mishahara pia. Kama anaenda Swansea na anapata nafasi akiwa kwa mkopo basi ni vyema akajishikisha Chelsea maana hao ndo wanadetermine mshahara wake tofauti na akinunuliwa na hizo timu ndogo.
 
mfumo hauna shida tatizo ni ligi yenyewe ya uingereza wachezaji wengi wanapata tabu kuizoea
Halafu sijui kwa nini wachezaji wengi huwa inawachukua muda kuzoea
Ila kama anajua halafu akizoea inakuaga poa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom