chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,242
- 3,940
tuwe na subira muda ukifika tutafurahi tuHii timu mbona haisajili zaidi ya tetesi tu.. Tunachoka bhana
tuwe na subira muda ukifika tutafurahi tuHii timu mbona haisajili zaidi ya tetesi tu.. Tunachoka bhana
Matatizo ya Emenalo hayajaanza leo tangu enzi za Di Matteo huyu jamaa ndio alimletea Mourinho wachezaji ambao hawajui kabisa kina Dilobobodji,Baba Rahman,Kenedy .Licha ya mafanikio yake Conte aliondoka Juventus baada ya kuona uongozi hautaki kusajili wachezaji anaowataka.Roman anampenda sana ndio maana tangu aajiriwe ni makocha tu ndio wanaondoka ila yeye yupo but ni kikwazo kikubwa kwa makocha kwenye kufanya kazi zaomnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, tunaweza kuwa tunamlaumu emenalo lakini bila kujua hao wachezaji walikataliwa na vilabu vyao kuuzwa na kibaya zaidi chelsea ilikuwa haishiriki uefa hivyo kuwashawishi wachezaji wa calibre uliowataja kuja chelsea bila uefa ilikuwa ni ngumu.
Nakumbuka wakati tunamchukua hazard nadhani ni msimu wa 2012/2013 kuna timu nyingi zilikuwa zinamuwania aliulizwa ni nini kilichokuvutia kwenda chelsea alisema amependa kwenda timu iliyobingwa mtetezi wa uefa, kumbe kubeba ubingwa wa uefa uliisaidia chelsea kumpata hazard. Kutokana na hilo unaona kwamba wachezaji walio wengi wa ulaya wenye uwezo mkubwa wanapenda sana timu inayoshiriki uefa kuliko isioshiriki kama ukitaka kuwasajili.
Huu ni upuuzi wa kiwango cha lami .........BREAKING NEWS
Sky sources: Chelsea join Liverpool and Manchester City in race to sign Alex Oxlade-Chamberlain from Arsenal.
Labda walimaanisha Alex SanchezBREAKING NEWS
Sky sources: Chelsea join Liverpool and Manchester City in race to sign Alex Oxlade-Chamberlain from Arsenal.

Ni kweli kabisa ulichosema, huyu jamaa ni jipu kabisa kabisa. Na sijui Abromovich anampendea nini huyu.Matatizo ya Emenalo hayajaanza leo tangu enzi za Di Matteo huyu jamaa ndio alimletea Mourinho wachezaji ambao hawajui kabisa kina Dilobobodji,Baba Rahman,Kenedy .Licha ya mafanikio yake Conte aliondoka Juventus baada ya kuona uongozi hautaki kusajili wachezaji anaowataka.Roman anampenda sana ndio maana tangu aajiriwe ni makocha tu ndio wanaondoka ila yeye yupo but ni kikwazo kikubwa kwa makocha kwenye kufanya kazi zao
Watu wanangoja Usajili jamani.Sina wasiwasi na Chelsea na Conte pia!
nami nilijua hivyoLabda walimaanisha Alex Sanchez![]()
![]()
![]()
![]()
Labda walimaanisha Alex Sanchez![]()
![]()
![]()
![]()
nami nilijua hivyoLabda walimaanisha Alex Sanchez![]()
![]()
![]()
![]()