Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #39,521
Mkuu masijala na mashabiki wote wa Chelsea nyie mnalionaje hili la kumsajili Bakayoko ambaye ana umri sawa na Chalobah na wanacheza mchezo na nafasi ambazo ni sawa kabisa.Yaani tunge pata hawa
1.sandro
2.andrea belott/lukaku
3.michael antonio
4.mahrez
5.beki ya kati ya maana
6.matic out bakayoko in
Natangaza ubingwa day one
Kwanini tusimtengeneze Chalobah wakati tunamtayarisha Matic kuondoka. Au kwanini tusimtengeneze Ake wakati tunatayarisha kumundoa Cahil njiani.
Maana wachezaji kama Bakayoko wamepewa nafasi ndio maana wako vizuri. Mwisho wa siku utakuta tunaanza kutaka msajili mchezaji tuliemuuza wenyewe. Mfano Lukaku huyu. Nina wasiwasi kama Chalobah atabaki au ataongeza mkataba wakati unapoisha baada ya msimu mmoja. Na hawa madogo Ake (endapo ataondoka), Christensen (kama nae hatapata nafasi na kuondoka), Solanke au yule Thogan Hazard unataja sikia twawataka baadae.....