fablo can
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,222
- 1,267
Ahsante mkuu. Karibu tusherekeeWaungwana wa humu hongereni sana kwa mafanikio makubwa msimu huu. Sasa muelekeze nguvu Kwenye kampeni za UEFA baadaye mwaka huu. Hongereni kwa ubingwa.
Ahsante mkuu. Karibu tusherekeeWaungwana wa humu hongereni sana kwa mafanikio makubwa msimu huu. Sasa muelekeze nguvu Kwenye kampeni za UEFA baadaye mwaka huu. Hongereni kwa ubingwa.
Kaka tutachukua hilo, wachezaji wetu kwa sasa watarelax na watapumzika na pressure ya league, kwa hizo mechi mnili zilizobakia kitacheza kikosi cha pili, lakini kwa upande wa Arsenal wako kwenye mchakato wa kugombea nafasi ya nne so watajituma kwenye hizo mechi mnili zilizobaki na siku ya fainal watakuwa hoiTukichukua hata FA itanoga sana
Japo kaishiwa mbinu ila naamini bado msimu ujao watakuwa vizuri zaidi ya msimu huu. Kikubwa ambacho nadhani Mourinho anakosea ni hawezi kutengeneza mahusiano mazuri na wachezaji
Mkuu tuko na wewe kambi moja. Spurs is the best club for nothing. Yaani UEFA wamesepa mapema, europa ndo hajaonja hata usindi, FA katolewa na madume ,capital one ndo usiseme, akawa na matumaini ya kushinda ubingwa ila cha ajabu ile hope ya kupunguza gap hadi point moja amejikuta gap imekuwa kubwa hadi point kumi ndani ya wiki moja na visiku. Mi naidharau sana spurs kiliko hata asernal manake wao kila msimu kikosi kinatisha lakini hawashindi chochote. Poor spurs. Ila tuungane kwa pamoja tuangalie jinsi ya kutetea taji pale darajani.Pole sana kaka, msimu uliopita ilikuwa ni hivyo kwa Leicester City, msimu huu The Blues, mwakani itakuwa ni shida zaidi kwani Chelsea tunataka back to back
Iyo ni uwakika mzee ..hamna wa kutuzuia [emoji3] [emoji3]Mwakani tunabeba UEFA
moyes na van gaal walituachia wachezaji mizigo sana, mourinho ana kazi ya kusafisha safisha kile kikosi, ila kafanya nae nianze kuhisi ni wale wale kitendo cha kumuongezea mkataba lingard na kumfanya kuwa mwanae mpendwa,Japo kaishiwa mbinu ila naamini bado msimu ujao watakuwa vizuri zaidi ya msimu huu. Kikubwa ambacho nadhani Mourinho anakosea ni hawezi kutengeneza mahusiano mazuri na wachezaji
Ki-ukweli kabisa Mkuu mimi Mourinho najua ni kocha mzuri. Naamini kwa hela atakazopewa na kutumia kusajili wachezaji anaowataka, msimu ujao mtakuwa vizuri sana. Ila akishaanza maneno yake ya dharau na uzalilishaji kwa wachezaji ndio huwa ana haribu na kutaka kuchezesha wachezaji nafasi ambazo sio zao (kama mechi ya juzi kwa Arsenal, Mikhtarian na Mata walikuwa kama mabeki wa pembeni kuna muda)moyes na van gaal walituachia wachezaji mizigo sana, mourinho ana kazi ya kusafisha safisha kile kikosi, ila kafanya nae nianze kuhisi ni wale wale kitendo cha kumuongezea mkataba lingard na kumfanya kuwa mwanae mpendwa,
moyes na van gaal walituachia wachezaji mizigo sana, mourinho ana kazi ya kusafisha safisha kile kikosi, ila kafanya nae nianze kuhisi ni wale wale kitendo cha kumuongezea mkataba lingard na kumfanya kuwa mwanae mpendwa,