Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

In my view tunahitaji mtu mwingine kwa nafasi ya Mitchy Batshuayi....na mtu huyo awe mmoja kati ya Tammy Abraham au Betrand Traore! Hawa madogo watasaidia kwenye FA, EFL, na ligi mara moja moja.

LA SIVYO..tuachane na habari ya kutafuta Striker..kama Costa ataondoka kweli basi tumchukue Sanchez..tucheze kama Spain na hao madogo warudishwe kikosini. Msimu ujao tutakuwa na mechi nyingi za kutosha.

Pale kati kwa Matic kwa kuwa tushampata Makelele hatuhitaji saana kuwa na Matic...tunahitaji mtu wa calibre ya Fabregas.

Defence...Cahill!!!! Sio mbaya ila...

Tamy washasema anasainishwa mkataba mnono kumuepusha na tamaa za kwenda timu nyingine lakini wamesema watampima kwenye PL kwa mkopo..... Traore Naona arudi tu apewe Namba dogo yupo kasi Sana..... Kuhusu andre chrstiasen nayeye angerudi ameshaiva,,, kuna Lewis beker nayeye mzuri sana, wachezaji watakao cheza play off champion ship ni Izzy brown hudesfield, Lucas piazon na Kalas fullham wote wapo vizuri
 
upo sahihi mkuu Lukaku hamna kitu mule" ila hata huyo Morata pia tunaingia cha kike, ni laini sana!" pia naona kama hajui kuhold mipira .........sidhani km ni chaguo sahihi.
Upo sawa ila morata anaweza kubadilika kuliko lukaku nimemwona akiwa juventus nafikiri ni bora kuliko huyo lukaku
Mtu mwingine naomba atue Darajani ni Adrea belote
 
Kosa watalofanya chelsea ni kusajili wafungaji kwa majina tena kwa hela nyingi.
Waangalie wachezaji wote walionunuliwa kwa hela nyingi walipofika pale wamekufa kibudu
Nakubaliana na wewe ila sokoni hakuna striker wa bei rahisi kwa sasa wote ni kuanzia pauni milioni 40 na kuendelea
 
Bashuay ni striker mzuri ila ni kujiamini ndio kumekosekana kwake striker siku zote ni magoal hufungi huna haja ya kuitwa striker
 
Tamy washasema anasainishwa mkataba mnono kumuepusha na tamaa za kwenda timu nyingine lakini wamesema watampima kwenye PL kwa mkopo..... Traore Naona arudi tu apewe Namba dogo yupo kasi Sana..... Kuhusu andre chrstiasen nayeye angerudi ameshaiva,,, kuna Lewis beker nayeye mzuri sana, wachezaji watakao cheza play off champion ship ni Izzy brown hudesfield, Lucas piazon na Kalas fullham wote wapo vizuri
Mkuu katika hao uliosema kwa mimi naona ambao wameiva na wanatakiwa kurudi kundini ili waanze kuzoea ni Andre Chritiasen, na Traore kama back up striker, waungane na wenzao Chalobah na Ake. Ila pia beki mwingine wa maana naona nahitajika bado. Tammy apelekwe kwanza timu iliyopanda daraja kwa mkopo ili azoee ligi kwanza.


Pia nafasi ambazo ni za kuimarisha ni ma-wing backs hakuna mbadala yaan, niangalia kwa haraka haraka mechi ambazo ama Alonso au Moses hakuwepo tumefungwa.
 
Nimeona vidio zake dogo anaujua mpira bana si mchezo
Anaujua mpira haswaaa. Alikuwa Real Betis kwa mkopo ila kwa sasa amerudi Chelsea. Huyu anatakiwa atafutiwe timu haraka sana ili acheze muda mwingi kwa sasa hawezi kuingia first eleven nafasi yake kuna watu wengi sana. Tusipoangalia huyu atakuja kuishia kama akina Gael Kakuta.
 
Duh kweli wakuu mmemchoka Costa...ila Costa mbona ana improve kidogo kidogo!

Costa akiacha mahasira yake ni bonge la striker...the more wanafanya mazoezi, the more cohesion yake na patners wake inakuwa nzuri.

In my view tunahitaji mtu mwingine kwa nafasi ya Mitchy Batshuayi....na mtu huyo awe mmoja kati ya Tammy Abraham au Betrand Traore! Hawa madogo watasaidia kwenye FA, EFL, na ligi mara moja moja.

LA SIVYO..tuachane na habari ya kutafuta Striker..kama Costa ataondoka kweli basi tumchukue Sanchez..tucheze kama Spain na hao madogo warudishwe kikosini. Msimu ujao tutakuwa na mechi nyingi za kutosha.

Pale kati kwa Matic kwa kuwa tushampata Makelele hatuhitaji saana kuwa na Matic...tunahitaji mtu wa calibre ya Fabregas.

Defence...Cahill!!!! Sio mbaya ila...
Mkuu unajua si lazima kuwa na striker ila ni vizuri kama ukiwa nae kama target man pale mbele, endapo tu mtaamua labda kubadili mfumo kidogo. Kwa upande wa Costa kweli ni bonge la striker ila inabidi aachanena habari za mafujo na aangalie mpira wake na kufunga tu.

Mimi naona Sanchez kama kuja aje (japo nasikitika maana kati ya Willian au Pedro mmoja atasepa) lakini pia tuwe na striker mmoja. Na pia Traore aje kama back up. Tuna ligi nyingi msimu ujao ni vizuri kuwa na kikosi kipana.
 
Chelsea winger Pedro has won the April Goal of the Month award for his rasping drive to open the scoring against Everton in the Premier League encounter.

The sumptuous opening strike against Everton beat off competition from Dele Alli (Spurs v Watford), Roberto Firmino (Stoke City v Liverpool), Xherdan Shaqiri (Stoke City v Hull City) and Leroy Sane (Southampton v Man City).

40357E1D00000578-0-image-a-67_1494527077900.jpg
 
Chelsea winger Pedro has won the April Goal of the Month award for his rasping drive to open the scoring against Everton in the Premier League encounter.

The sumptuous opening strike against Everton beat off competition from Dele Alli (Spurs v Watford), Roberto Firmino (Stoke City v Liverpool), Xherdan Shaqiri (Stoke City v Hull City) and Leroy Sane (Southampton v Man City).

View attachment 507969
Goli la Emre Can, Looserfools Vs Watford mi ndio naona lipo vizuri ..........
 
Leo ni kutangaza ubingwa ugenini. Si mbaya sana ila ingekuwa poa kama amshaamsha hii ingekuwa darajani..!
 
C_kbzcSXUAIl6C9.jpg


The birthday boy na makipa wenzake.

Chelsea ina makipa watatu (3) ambao wapo kwenye top five ya makipa warefu zaidi wanaocheza sasa hivi (sio ambao wamestaafu).
- Thibaut Courtois
- Asmir Begovic
- Jamal Blackman

Wote wana urefu wa 6" 6'
 
Antonio Conte’s side have scored the opening goal more times than any other Premier League team this season (28). We have won 24, drawn three and lost one when we have done so.

Chelsea are the division’s highest scorers with 75 goals.

Cesc Fabregas is the first player to register 10 or more assists in six different Premier League seasons.

Diego Costa is the third Chelsea player to score 20 Premier League goals in a season on two occasions. The others were Jimmy Floyd Hasselbaink and Didier Drogba.

The Blues have had a player sent off on our past two visits to the Hawthorns; John Terry last season and Cesc Fabregas in 2014/15.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom