Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

I can't wait for friday[emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838]
 
Malafyale bado atakuja humu awambie bingwa ni spuz maana Chelsea atapigwa mechi zote
[emoji38][emoji53][emoji58][emoji838][emoji838][emoji838][emoji841][emoji841][emoji841][emoji843][emoji146][emoji146]
 
Huyu jama namkubali saana yuko tayari kupigania timu hata kama hayuko fit
785a4323ad09bf512aa6e86b789ad458.jpg
 
Bakayoko kutua Chelsea ?

Chelsea wanaongoza mbio za kumnasa kiungo wa Monaco, Tiemoue Bakayoko, kwa mujibu wa taarifa kutoka Daily Mail.

Kiungo huyo wa kimataifa wa Ufaransa amekuwa na msimu mzuri sana 2016/2017 akiwa na Monaco na ametajwa kuwa patna sahihi wa N’Golo Kante katia idara ya kiungo na hiyo itasababisha maisha ya Cesc Fabregas na Nemanja Matic kuwa mashakani.

Manchester United, Manchester City, Bayern Munich na Juventus wote wametajwa kumuwinda Bakayoko.
32df92ea750e615d0b9259bd1d9dd412.jpg
 
Majirani kimyaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haaa, we Chelsea Mwenzetu hujiamini nini?, yaani tumechukua Kombe ndo wajitokeza? Hahahahahahhaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom