Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Spurs hata afanyaje hawez kwanza anakufa kwa man u then kwa leicetar
spars hawezi kufa kw hao vilaza manure, labda kw leicester .......... mechi nilizokua natabiria zitakua ngumu kw spars ilikua ni ya Arsenal, westham na leceister sio hao vilaza.
 
Taarifa ya Tianjin.

Tianjin Quanjian imejibu taarifa zinazo wahusisha na usajili wa mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa.

Sky Sports jana walitoa taarifa kwamba klabu hiyo ya Ligi kuu ya China wanajiamini kwamba watamsajili Costa majira ya kiangazi lakini wamedai kwamba mazungumzo bado hayajaanza.

Taarifa ya klabu inasomeka hivi...

"Kwa vyombo vya habari na mashabiki wa soka, kuhusiana na tetesi zinazoendelea kuhusu mchezaji wa Chelsea, Diego Costa kujiunga na Tianjin Quanjian, Klabu ingependa kuweka wazi kwamba hakuna mazungumzo ambayo yamefanyika kuhusu uhamisho huo."
6b4d27782503d5d3e63e93dea19ffedd.jpg
 
Chelsea vs Middlesbrough - Match stats (provided by Opta)

Chelsea have won each of their last six Premier League games against Middlesbrough without conceding a single goal.

Middlesbrough have gone seven Premier League games at Stamford Bridge without scoring, last netting there in September 2001 in a 2-2 draw.

Cesc Fabregas needs one more assist to reach 10 for the season. Should he do this, he'd be the first player to record 10 Premier League assists in six different seasons (Ryan Giggs and Wayne Rooney have both managed this in five seasons).

The Blues' next win at Stamford Bridge will be their 300th in the Premier League, becoming just the third team to reach that milestone for Premier League home wins (Man United 347 and Arsenal 305 going into this weekend).

This will be the fourth Premier League game that Chelsea have played on a Monday this season; having won the previous three. This comes after they failed to win any of their three Monday matches in the league in 2015-16 (D2 L1).

Coming in to this round of games, this fixture sees the highest scoring Premier League team in 2016-17 (Chelsea – 72 goals) and the lowest scoring side (Middlesbrough – 26 goals, same as Sunderland).

Middlesbrough have mustered a league-low 93 shots on target this season in the Premier League. Chelsea have managed more than this in their home games alone (97).

Chelsea have already equalled the points tally of Leicester City in 2015-16 (81) and if they win their remaining four Premier League games they will reach 93 points. Only one team in the history of the Premier League has won more than this – Chelsea in 2004-05 (95 points).

Middlesbrough have 28 points with three games remaining. The fewest points won by a team to avoid relegation from the Premier League is 34; set by West Bromwich Albion in 2004-05.
 
3FFB1DB300000578-4477538-image-a-17_1494026760860.jpg


Natamani sana Fabregas aanze hiyo mechi, maana Boro wata analinda lango lao hatari. Pale kwa Ake najua Luiz anarudi nafasi yake
 
"Nitavunja shingo kubaki na Cesc"

Mchezaji na kocha msaidizi wa zamani wa klabu ya Chelsea Ray Wilkins amewaomba Chelsea wafanye kila wawezalo kubaki na Cesc Fabregas, akisema kwamba Muhispania huyo atakuwa muhimu sana kwenye kampeni ya UEFA kwa Chelsea msimu ujao.

"Utakuwa unacheza UEFA msimu ujao na unahitaji ule ubunifu na uzoefu wa mtu kama Cesc" Alisema Wilkins.

"Naweza kuelewa chaguo la Antonio Conte anapoamua kuwapanga Nemanja Matic na N'Golo Kante mbele ya mabeki watano. Lakini unapokuwa na Cesc,muda wote anautaka mpira na kutengeza nafasi."

"Sio kuhusu pesa - anataka kucheza soka tu. Atapata hiyo nafasi msimu ujao. Ni matumaini yangu awe na huo uvumilivu. Na Chelsea na kusonga mbele kwenye hatua za juu za UEFA msimu ujao lazima watahitaji ubunifu na ufundi wa Cesc ambapo katika kikosi cha Chelsea naamini yupo yeye mwenyewe tu mwenye uwezo huo. Huwezi kumuacha aondoke."
66437849dfc827dbce74e67549c9ab7a.jpg
 
"Nitavunja shingo kubaki na Cesc"

Mchezaji na kocha msaidizi wa zamani wa klabu ya Chelsea Ray Wilkins amewaomba Chelsea wafanye kila wawezalo kubaki na Cesc Fabregas, akisema kwamba Muhispania huyo atakuwa muhimu sana kwenye kampeni ya UEFA kwa Chelsea msimu ujao.

"Utakuwa unacheza UEFA msimu ujao na unahitaji ule ubunifu na uzoefu wa mtu kama Cesc" Alisema Wilkins.

"Naweza kuelewa chaguo la Antonio Conte anapoamua kuwapanga Nemanja Matic na N'Golo Kante mbele ya mabeki watano. Lakini unapokuwa na Cesc,muda wote anautaka mpira na kutengeza nafasi."

"Sio kuhusu pesa - anataka kucheza soka tu. Atapata hiyo nafasi msimu ujao. Ni matumaini yangu awe na huo uvumilivu. Na Chelsea na kusonga mbele kwenye hatua za juu za UEFA msimu ujao lazima watahitaji ubunifu na ufundi wa Cesc ambapo katika kikosi cha Chelsea naamini yupo yeye mwenyewe tu mwenye uwezo huo. Huwezi kumuacha aondoke."
66437849dfc827dbce74e67549c9ab7a.jpg
Yuko sahihi,.. Mimi binafsi namuelewa Sana Cesc..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom