Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duuuh mkuu kweli hutupendi aiseee....ila sisi twaona tufanye kazi zetu wnyewe, hapa twamuwaza Boro kwanza. Siku tunacheza na WBA vijana watakuwa na hali ngumu kwa Man UTD.

hamna ugumu hapo wala nini,hao viwete hawawezi msimamisha spars, game rahisi sanaa kw spars .......... cha msingi ni kumchapa tu kila anaekatisha kwenye imaya yetu.
 
CF4 sijui kwanini... Ila jamaa anajua sana kuweka mpira sehemu ambayo ni rahisi na mshambuliaji anaweza Fanya maajabu.. Miguu yake ina macho.

Jana kaingia kamuwekea W22 Bonge La Assist... Mbrazil kajifungia kwa rahaaaa kabisa.

Nikiangaliaga pasi za Fabregas namkumbuka sana Super Frank Lampard Jr "Lamps"
Aaahhh mkuu CF4 habari nyengine huwa nikimwangalia na enjoy yaan
 
Karibu sana Chelsea FC.

630618316.jpg
 
hamna ugumu hapo wala nini,hao viwete hawawezi msimamisha spars, game rahisi sanaa kw spars .......... cha msingi ni kumchapa tu kila anaekatisha kwenye imaya yetu.
Hili ndo jambo la msingi ukimtegemea mwingine inaweza ikala kwako.
 
hamna ugumu hapo wala nini,hao viwete hawawezi msimamisha spars, game rahisi sanaa kw spars .......... cha msingi ni kumchapa tu kila anaekatisha kwenye imaya yetu.
Ugumu umepatikakana sasa.
 
Mechi Tatu tu ila inabidi tuweke rekodi ya point nyingi yaani 97 kwa msimu
Mechi 4 point 16


Potelea pote natamani hizo mechi mbili za mwisho Terry, Chalobah, Zouma, Ake, Ruben Loftus Cheek, Ola Aina na Begovic waanze!

Yaani kikosi kiwe (mechi ya 37 na 38):

Begovic; Ake (Ola Aina), Terry, Zouma; Kenedy, Kante, Fabregas, Chalobah; R L Cheek, Batshuayi, Willian.
 
Mi huwa siwashangai spurs ndivyo walivyo hata msimu uliopita baada ya kuweka presha kubwa kwa Leicester ,waliishia tu kwenye namba tatu. Hapa tukishinda mechi ya midl basi ya westbrom ni ya kutangazwa champions kwani tutacheza siku mbili kabla ya wao kucheza na man.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom