Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Asanteni sana kwa kunitakia heri ya siku yangu ya kuzaliwa. Huku Honolulu mechi yetu nimeiangalia asubuhi sana saa 05:30am.


Hivyo mimi ndiyo kwaaanza ninaianza hepi besdei yangu..tarehe 28/01 what a way to start my big day...big in so many ways...May God keep guiding my feet!



On tot he next one..Tuesday...KTBFFH.
Happy Born day Mkuu,
The Guv'nor leo aliingia kupasha misuli kidogo na kumpa changamoto Mitchy , he is 110% fit kwa next game..but this kid Mitchy hayuko serious hata kidogo
 
The Guv'nor leo aliingia kupasha misuli kidogo na kumpa changamoto Mitchy , he is 110% fit kwa next game..but this kid Mitchy hayuko serious hata kidogo
Kalou...hongera kwa kuliona hilo. Nilizani ni mim tu ndo nimeliona hilo. Mentor nahisi leo siku yako itakuwa njema sana. Heri ya siku yako ya kuzaliwa. May almighty Lord God grants you a milion of life
 
Happy Born day Mkuu,
The Guv'nor leo aliingia kupasha misuli kidogo na kumpa changamoto Mitchy , he is 110% fit kwa next game..but this kid Mitchy hayuko serious hata kidogo
Mitchy bana anabutua tu. Heri angeendelea kutoa assist angekuwa anaingia sub za kina Hazard na Pedro. Ila kote kote ni mzito.

Heri wale madogo tuliowapeleka mkopo warudi wawe wasaidizi wa Costa.
 
Asanteni sana kwa kunitakia heri ya siku yangu ya kuzaliwa. Huku Honolulu mechi yetu nimeiangalia asubuhi sana saa 05:30am.


Hivyo mimi ndiyo kwaaanza ninaianza hepi besdei yangu..tarehe 28/01 what a way to start my big day...big in so many ways...May God keep guiding my feet!



On tot he next one..Tuesday...KTBFFH.
Happy birthday my Mcharo,live long babaaa na Mungu akupatie kila hitaji lako....... BTW hongereni sana RB kwa ushindi mtamu vijana mnatisha mko byeeeee!!! Mnashinda mpaka kero arrgggghhhhhhhh !!..... ......looooh!! Siku hizi nashindwa hata kuuzuia uwivu wangu wa kike juu yenu maana mhhhhhh ndo maana hata siji kuwapa hongera .....joking jamani ubize!!! ......
 
Asanteni sana kwa kunitakia heri ya siku yangu ya kuzaliwa. Huku Honolulu mechi yetu nimeiangalia asubuhi sana saa 05:30am.


Hivyo mimi ndiyo kwaaanza ninaianza hepi besdei yangu..tarehe 28/01 what a way to start my big day...big in so many ways...May God keep guiding my feet!



On tot he next one..Tuesday...KTBFFH.
happy birthday to you
 
Nathan Ake.....dogo mpambanaji. Nampenda sana aka ka jamaa
97577692f303f862b914c0275f8ea393.jpg
 
Kuna Dogo yule Kennedy Mbrazil aliingia Sub alicheza upande wa kushoto...ile ni hazina nadhani anajua nini amekifuata England, waliobaki nadhani wajitathimini nini wanataka katika maisha yao.
 
jurgen-klopp-antonio-conte_jho6mqsvjxk21jha24yo0o5eu.jpg


"In my career, I never [took a selfie]. Honestly, I never played as a footballer in Liverpool and as a manager, for me, it is the first time to go to play in Anfield."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom