Hapo ndo penyewe "pedro & matic" ndani, nilikuwa nafatilia page ya chelsea "chelsea news now"-naona matic anakamatia dimba la chini huku pedro akiungana nahazard & costa.Yaan hapo kuna bonge la utata kati ya Pedro na Willian.
Je, unaonaje kama Matic na Pedro wakaanza na Fab akaanza nyuma ya Hazard na Costa?
bhana @Ntunzu