Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Faby ni mzuri sn lkn km ataanza basi tunatakiwa kacheza kwa kujilinda maana Faby hana nguvu sn na itafanya kuelemewa. Lkn km wataanza Matic na Kante hili jukumu la ukabaji na kupandisha timu litafanywa na wote hawa wawili.

Long passes zinaweza kupigwa na back line yetu wote wale 3. Nimeona Azplicueter anapiga passes km za Faby na Luiz na yeye na Alonso pia. Na Cahill naye anachungulia siku hizi. So Faby aanzie benchi kwanza
Mkuu saizi nakuelewa, raia wengi wa chelsea wanachoshindwa kutofautisha kati ya fab vs matic, ni kuwa matic ni mzuri zaidi ya fab coz anakupa depth, anakaba yaani box to box midfield, huku fab anakupa option moja tu ya "pass za mwisho", sasa kwa viungo kama "dembele+wanyama+delle alli+eriksen"-fab atazidiwa sana, na hapo ndo umuhimu wa matic unaonekana, na conte analijua hilo ndo maana alimpumzisha matic match against stoke city, akijua leo ana kazi ngumu na spurz.
 
Faby leo atacheza na ataanzia benchi.... Lkn leo tunacheza attacking football sn na si defensive game. Leo team work kwa wachezaji wote itakua juu yaani to the maximum.... Usitegemee eti Spurs watutawale. Kwasababu tunataka kuvunja record mbili leo. Ya Spurs kutokufungwa WHL na ile ya Gunners kushinda michezo 14 mfululizo.

Leo ndio leo yani hawa watoto Spurs tunawanywa.
Sasa ya arsenal itakua hujaivunja bali umeifikia
 
45abd5287193da27b6ab2ca3e31464e8.jpg
 
Mkuu kwa mtazamo wangu Matic aanze kucheza kwasababu akianza huyu Matic basi tunacheza mpira wa kushambulia wakati wote na zile pass ndefu za kuchungulia aachiwe David Luiz ndio azipige.

Akianza Faby basi tutakua tunacheza mchezo wa kujilinda huku tukivizia counter attack kitu ambacho kitakua ni kibaya maana kitawafanya Spurs kucheza ktk eneo letu sn.


Mpira tunaotakiwa kucheza leo tunapaswa kufungua yaani tumiliki mpira na kushambulia sn. Maana hatuna presha ata km tutapoteza huu mchezo kutokana na msimamo wa ligi jinsi ulivyo. Ingawa naona Conte ni muumini sn wa kujilinda. Lkn leo hii atatupa sn burudani lazima hawa Spurs tuwafunge.


Aanze Matic na Kante then Faby aingie baadae tukishaona udhaifu wa Spurs lkn afanyiwe sub Pedro ndio aingie Faby na baadae afanyiwe sub Hazard aingie Willian. Ikiwa hivyo mkuu hawa Spurs tutawasumbua muda wote.
Antonio conte-kichwa kinamuuma kuhusu pedro/willian, hapo ndo conte anaingia lawama, coz wote wapo on great form, ukizingatia willian ndo alikuwa "man of the match against stoke city". Na pedro nae form yake ina-scare he is extraordinary.
 
Mkuu saizi nakuelewa, raia wengi wa chelsea wanachoshindwa kutofautisha kati ya fab vs matic, ni kuwa matic ni mzuri zaidi ya fab coz anakupa depth, anakaba yaani box to box midfield, huku fab anakupa option moja tu ya "pass za mwisho", sasa kwa viungo kama "dembele+wanyama+delle alli+eriksen"-fab atazidiwa sana, na hapo ndo umuhimu wa matic unaonekana, na conte analijua hilo ndo maana alimpumzisha matic match against stoke city, akijua leo ana kazi ngumu na spurz.
Uko sahihi kabisa mkuu.....

Faby kazidiwa nguvu tu na Matic lkn Faby ni fundi sn kuliko Matic maana ana passes na vitu vile Matic hawezi kufanya lkn ktk jukumu la ukabaji tu ndio hapo Faby anafail na kujikuta Conte ana mpic Matic.


Lkn leo Conte anaenda White Hart Lane si kujilinda. Anakwenda kushambulia na kushinda na tayari Conte mwenye ameanza kusema wazi ktk mchezo wa leo anahitaji ushindi tu. Na yeye na wachezaji wake wanahitaji ushindi. Sasa ni hapo sasa atapata vipi ushindi km si kwa kushambulia muda wote.

Leo Jamani tusiongee mengi. Hii January fixtures ndio itaamua kua sisi ndio mabingwa au lah. Na tunaanza leo na ili tuwe mabingwa we have to beat Spurs today.
 
Antonio conte-kichwa kinamuuma kuhusu pedro/willian, hapo ndo conte anaingia lawama, coz wote wapo on great form, ukizingatia willian ndo alikuwa "man of the match against stoke city". Na pedro nae form yake ina-scare he is extraordinary.
Hili ndo battle linalo muumiza sana conte wilian au pedro
 
Antonio conte-kichwa kinamuuma kuhusu pedro/willian, hapo ndo conte anaingia lawama, coz wote wapo on great form, ukizingatia willian ndo alikuwa "man of the match against stoke city". Na pedro nae form yake ina-scare he is extraordinary.
Mkuu Conte mpk unaweza kumuonea huruma ktk hizi selection za wachezaji.

Na mara kadhaa anasema kua anathamini wachezaji wote na uwezo wao na michango yao pia. So uchaguzi wowote utakua ni bora.
 
Hivi mchezaji akipata kadi 4 round ya kwanza, round ya pili kama hii ya january kadi zinafutika?????
Mkuu soma hapa utaelewa vizuri sana.



Premier League rules for yellow cards accumulation
According to the Premier League rules:

An accumulation of 5 yellow cards results in a one match suspension.

An accumulation of 10 yellow cards results in a two match suspension.

An accumulation of 15 yellow cards results in a three match suspension.

If a player reaches a total of 20 yellow cards for the season he/she is required to attend a special hearing at the FA to discuss their on-field behaviour.

However, there is a concept of cut-off dates for yellow cards.

The five yellow card count is “reset” on 31st December. It means a player receiving their fifth yellow card of the season on January 1 or later will not receive a ban.

The ten yellow card count is “reset” on second Sunday in April. It means a player receiving their eleventh yellow card of the season after the second Sunday of April will not receive any ban.
 
Mkuu kwa mtazamo wangu Matic aanze kucheza kwasababu akianza huyu Matic basi tunacheza mpira wa kushambulia wakati wote na zile pass ndefu za kuchungulia aachiwe David Luiz ndio azipige.

Akianza Faby basi tutakua tunacheza mchezo wa kujilinda huku tukivizia counter attack kitu ambacho kitakua ni kibaya maana kitawafanya Spurs kucheza ktk eneo letu sn.


Mpira tunaotakiwa kucheza leo tunapaswa kufungua yaani tumiliki mpira na kushambulia sn. Maana hatuna presha ata km tutapoteza huu mchezo kutokana na msimamo wa ligi jinsi ulivyo. Ingawa naona Conte ni muumini sn wa kujilinda. Lkn leo hii atatupa sn burudani lazima hawa Spurs tuwafunge.


Aanze Matic na Kante then Faby aingie baadae tukishaona udhaifu wa Spurs lkn afanyiwe sub Pedro ndio aingie Faby na baadae afanyiwe sub Hazard aingie Willian. Ikiwa hivyo mkuu hawa Spurs tutawasumbua muda wote.
Mkuuu uko vizuri sana.
 
Uko sahihi kabisa mkuu.....

Faby kazidiwa nguvu tu na Matic lkn Faby ni fundi sn kuliko Matic maana ana passes na vitu vile Matic hawezi kufanya lkn ktk jukumu la ukabaji tu ndio hapo Faby anafail na kujikuta Conte ana mpic Matic.


Lkn leo Conte anaenda White Hart Lane si kujilinda. Anakwenda kushambulia na kushinda na tayari Conte mwenye ameanza kusema wazi ktk mchezo wa leo anahitaji ushindi tu. Na yeye na wachezaji wake wanahitaji ushindi. Sasa ni hapo sasa atapata vipi ushindi km si kwa kushambulia muda wote.

Leo Jamani tusiongee mengi. Hii January fixtures ndio itaamua kua sisi ndio mabingwa au lah. Na tunaanza leo na ili tuwe mabingwa we have to beat Spurs today.
Mechi ya spurz vs chelsea haijawahi kuwa rahisi, ila hii ya saizi "enmity+revenge+record breaking+title race"- ndo inafanya iongezeke ugumu na hapo matic na ngolo kange ndo watapotibuana na wale wanyama akina dembele+wanyama+alli+eriksen.
 
Antonio conte-kichwa kinamuuma kuhusu pedro/willian, hapo ndo conte anaingia lawama, coz wote wapo on great form, ukizingatia willian ndo alikuwa "man of the match against stoke city". Na pedro nae form yake ina-scare he is extraordinary.
Willian namkubali sana, na ni mzuri kwa mabeki ambao wana nguvu na kukimbia kama Walker na Rose. Pedro nae mzuri sana ila akikutana na mabeki wenye nguvu anashindwa kufanya kazi yake. Pia uzuri mwingine wa Pedro ni kwenye counter attack anafunguka haraka sana kuliko Willian.

Sasa nani aanze mi mwenyewe kichwa kinauma, ila Willian naona taanza leo na Pedro kuingia baadae.
 
Wakuu napata shida sn ktk hii battle ya Dembele, Wanyama na Matic na Kante.

Nani anaweza kuwaelezea hawa vzr????


Mimi naona Pair ya Matic na Kante ndio bora kabisa kuliko hii ya Wanyama na Dembele maana Matic na Kante ni wepesi na wanacheza mipira aina yote. Na hawafanyi fauls za kijinga km hawa wengine.


Mnaweza kujazia nyama hapo kidogo kwa hii battle??
Mkuu izi nondo zako zishushe kwa kutembelea Sports analysis 'box to box '
 
Willian namkubali sana, na ni mzuri kwa mabeki ambao wana nguvu na kukimbia kama Walker na Rose. Pedro nae mzuri sana ila akikutana na mabeki wenye nguvu anashindwa kufanya kazi yake. Pia uzuri mwingine wa Pedro ni kwenye counter attack anafunguka haraka sana kuliko Willian.

Sasa nani aanze mi mwenyewe kichwa kinauma, ila Willian naona taanza leo na Pedro kuingia baadae.
Tatizo la pedro akitokea sub, anakua hana effect, ila akianza aaah jamaa utamfurahia, wanamuitaga "pedro-miguu cherehani".
 
Willian namkubali sana, na ni mzuri kwa mabeki ambao wana nguvu na kukimbia kama Walker na Rose. Pedro nae mzuri sana ila akikutana na mabeki wenye nguvu anashindwa kufanya kazi yake. Pia uzuri mwingine wa Pedro ni kwenye counter attack anafunguka haraka sana kuliko Willian.

Sasa nani aanze mi mwenyewe kichwa kinauma, ila Willian naona taanza leo na Pedro kuingia baadae.

Tatizo la pedro akitokea sub, anakua hana effect, ila akianza aaah jamaa utamfurahia, wanamuitaga "pedro-miguu cherehani".
Aanze tu Pedro maana akitokea benchi hana tija huyu Pedro. Willian akitokea benchi ni mzuri sn....
 
Mechi ya spurz vs chelsea haijawahi kuwa rahisi, ila hii ya saizi "enmity+revenge+record breaking+title race"- ndo inafanya iongezeke ugumu na hapo matic na ngolo kange ndo watapotibuana na wale wanyama akina dembele+wanyama+alli+eriksen.
Yani mkuu ni nouma......


Hii game ya leo ina tuvitu tumeifanya kua ngumu sn
 
Aanze tu Pedro maana akitokea benchi hana tija huyu Pedro. Willian akitokea benchi ni mzuri sn....
Yaan hapo kuna bonge la utata kati ya Pedro na Willian.

Je, unaonaje kama Matic na Pedro wakaanza na Fab akaanza nyuma ya Hazard na Costa?
 
Aanze tu Pedro maana akitokea benchi hana tija huyu Pedro. Willian akitokea benchi ni mzuri sn....
Yeah, na naona odds za kuanza pedro ni nyingi, hata conte kaliongelea kuwa kuna wachezaji wawili ambao hawakucheza kwenye game ya stoke city(matic & pedro) leo watacheza. Ila sema nae anabadilishaga kikosi mda tu baada ya kuanza game, kama unakumbuka ile game costa ana 5th yellow card, wote tukajua its a chance to batshuay, matokeo yake akawachezesha "pedro+hazard+willian".
 
Yaan hapo kuna bonge la utata kati ya Pedro na Willian.

Je, unaonaje kama Matic na Pedro wakaanza na Fab akaanza nyuma ya Hazard na Costa?
Mimi kwa mtazamo wangu napenda aanze Pedro kwasababu huyu ni mwepesi sn ktk counter attack kuliko Willian lkn asicheze dk 90 zote au kocha km akiona Kuna udhaifu kwa Spurs ambao Faby anaweza kuutimia basi amtupie Faby.

Lkn Willian na Faby waanzie benchi na kikosi kiwe vile vile km siku zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom