Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

THE BEST THAT CAN HAPPEN TONIGHT…
Eight points clear at the top, with a new Premier League record for successive wins in one season and the full bragging rights of old London town.
 
Dah..... Kweli usipoenda kwenye harusi za wenzio nao hawatokuja kwenye mazishi yako.

Arsenal aliuliwa lakini hakufa moja kwa moja.... Ila Bournemouth nao wakafa robo. Vitality stadium ni kiwanja kingine kigumu sana katika EPL..... Bournemouth walikuwa vizuri sana sana kabla ya red card na hata baada ila makosa yao katika making ndio yaliyoifanya come back ya Arsenal kuwa na nguvu.

Uchovu wa kupumzika siku moja na kucheza tena hii umechangia uchovu kwa timu zote.... Ila Bado Arsenal wana mhitaji sana Cazola na Wilshire katikati au mbele ya Xhaka na coquelin kuliko iwobi.

Muulizeni Wenger vipi January atasajili ata mchezaji mmoja tu ?....

Fraser Fraser...... Nikawaza kama Yule Jack Wilpower angekuwa kauzwa kwa Bournemouth na sio mkopo ingekuwaje pale kati, uchanganye na ile Fraser....

Siku Giroud akiondoka arsenal basi ujue mwezi utakaofuata Babu Wenger naye ataondoka.... Huyu ndiye anayemweka Wenger pale Emirate stadium...... Muda wa Giroud ndio muda wa Wenger.... Magoli ya Giroud ndio mshahara wa Wenger.

Msimu wa lawama....

Bournemouth 3-3 Arsenal
 
Hivi mchezaji akipata kadi 4 round ya kwanza, round ya pili kama hii ya january kadi zinafutika?????
 
Kaka mtazamo wako leo vipi? Mechi ya mwisho hatukuwa na Pedro na pia Stock City walifanikiwa kufunga goli mbili kwa kusawazisha ingawa tuliwafunga goli nne,


Kaka mchezo utakua mgumu sn mkuu. Kwanza hawa Spurs msimu ule wa majuzi walituharibia mpango wetu ambao tulikua tunataka tumalize ligi bila kufungwa, na hawa Jamaa wakatufunga.... Nakumbuka ule mchezo ulichezwa tarehe moja January na ilikua game yetu ya kwanza ya mzunguko wa pili hawa Jamaa wakatufunga.


Sasa safari hii tunakutana nao tukiwa tunataka kuvunja record za watu kwa kucheza michezo 14 kwa kushinda mfululizo.

Wao Spurs hawataki hii record ivunjiwe kwao nimeona kwa namna moja au ingine wachezaji na kocha wao wamekua wakijitahidi na wakifanya kila linalowezekana kuhakikisha wanamsimamisha chelsea.



Mchezo utakua ni mgumu sn kwasababu karibu waingereza hasa mashabiki wa timu zinazoifata chelsea wanataka chelsea isimamishwe ili kuipunguza kasi ya kutengeneza mazingira ya kua bingwa mapema.

Nimeona maandalizi kwa timu zote huku kila timu ikiwa haina majeruhi ata mmoja. Pia nimeona namna walivyojaribu mbinu hasa Spurs ktk mchezo wao uliopita kwa kufata mfumo wa chelsea na tayari Conte ameshaliongelea hilo. Na ata dawa atakua kaiandaa vzr.


Chelsea wanapaswa kua makini sn na wasifanye makosa ya kijinga kabisa. Spurs wakipoteza mpira hua wanautafuta kwa nguvu sn, sasa ni wakati wa chelsea kumiliki mpira sn na kupiga pass za uhakika fupi fupi na ndefu.


Nataka nione battle ya Wanyama na Dembele kwa Spurs huku kwetu Matic na Kante. Na Moses na Rose na Walker na Alonso. Huko kwa Delle Alli na Ericksen na Kane hakuna shida sn kwasababu Luiz na Cahil na Azpelicuiter watahakikisha hawaleti mazara. Wakati huo huo Spurs watakua na kz kuwazuia Hazard na Pedro na Costa.


Bado Conte anachanganyikiwa ampange nani amuache nani kati ya Faby na Matic.
 
Kaka mchezo utakua mgumu sn mkuu. Kwanza hawa Spurs msimu ule wa majuzi walituharibia mpango wetu ambao tulikua tunataka tumalize ligi bila kufungwa, na hawa Jamaa wakatufunga.... Nakumbuka ule mchezo ulichezwa tarehe moja January na ilikua game yetu ya kwanza ya mzunguko wa pili hawa Jamaa wakatufunga.


Sasa safari hii tunakutana nao tukiwa tunataka kuvunja record za watu kwa kucheza michezo 14 kwa kushinda mfululizo.

Wao Spurs hawataki hii record ivunjiwe kwao nimeona kwa namna moja au ingine wachezaji na kocha wao wamekua wakijitahidi na wakifanya kila linalowezekana kuhakikisha wanamsimamisha chelsea.



Mchezo utakua ni mgumu sn kwasababu karibu waingereza hasa mashabiki wa timu zinazoifata chelsea wanataka chelsea isimamishwe ili kuipunguza kasi ya kutengeneza mazingira ya kua bingwa mapema.

Nimeona maandalizi kwa timu zote huku kila timu ikiwa haina majeruhi ata mmoja. Pia nimeona namna walivyojaribu mbinu hasa Spurs ktk mchezo wao uliopita kwa kufata mfumo wa chelsea na tayari Conte ameshaliongelea hilo. Na ata dawa atakua kaiandaa vzr.


Chelsea wanapaswa kua makini sn na wasifanye makosa ya kijinga kabisa. Spurs wakipoteza mpira hua wanautafuta kwa nguvu sn, sasa ni wakati wa chelsea kumiliki mpira sn na kupiga pass za uhakika fupi fupi na ndefu.


Nataka nione battle ya Wanyama na Dembele kwa Spurs huku kwetu Matic na Kante. Na Moses na Rose na Walker na Alonso. Huko kwa Delle Alli na Ericksen na Kane hakuna shida sn kwasababu Luiz na Cahil na Azpelicuiter watahakikisha hawaleti mazara. Wakati huo huo Spurs watakua na kz kuwazuia Hazard na Pedro na Costa.


Bado Conte anachanganyikiwa ampange nani amuache nani kati ya Faby na Matic.
Asante sana Kaka, hivi kwa Mtazamo wako Matic anastahili kuanza?, Mechi wacheze aina gani ya mchezo?, wa kujilinda au wafungue tu?
 
Kaka mchezo utakua mgumu sn mkuu. Kwanza hawa Spurs msimu ule wa majuzi walituharibia mpango wetu ambao tulikua tunataka tumalize ligi bila kufungwa, na hawa Jamaa wakatufunga.... Nakumbuka ule mchezo ulichezwa tarehe moja January na ilikua game yetu ya kwanza ya mzunguko wa pili hawa Jamaa wakatufunga.


Sasa safari hii tunakutana nao tukiwa tunataka kuvunja record za watu kwa kucheza michezo 14 kwa kushinda mfululizo.

Wao Spurs hawataki hii record ivunjiwe kwao nimeona kwa namna moja au ingine wachezaji na kocha wao wamekua wakijitahidi na wakifanya kila linalowezekana kuhakikisha wanamsimamisha chelsea.



Mchezo utakua ni mgumu sn kwasababu karibu waingereza hasa mashabiki wa timu zinazoifata chelsea wanataka chelsea isimamishwe ili kuipunguza kasi ya kutengeneza mazingira ya kua bingwa mapema.

Nimeona maandalizi kwa timu zote huku kila timu ikiwa haina majeruhi ata mmoja. Pia nimeona namna walivyojaribu mbinu hasa Spurs ktk mchezo wao uliopita kwa kufata mfumo wa chelsea na tayari Conte ameshaliongelea hilo. Na ata dawa atakua kaiandaa vzr.


Chelsea wanapaswa kua makini sn na wasifanye makosa ya kijinga kabisa. Spurs wakipoteza mpira hua wanautafuta kwa nguvu sn, sasa ni wakati wa chelsea kumiliki mpira sn na kupiga pass za uhakika fupi fupi na ndefu.


Nataka nione battle ya Wanyama na Dembele kwa Spurs huku kwetu Matic na Kante. Na Moses na Rose na Walker na Alonso. Huko kwa Delle Alli na Ericksen na Kane hakuna shida sn kwasababu Luiz na Cahil na Azpelicuiter watahakikisha hawaleti mazara. Wakati huo huo Spurs watakua na kz kuwazuia Hazard na Pedro na Costa.


Bado Conte anachanganyikiwa ampange nani amuache nani kati ya Faby na Matic.
Ni kweli mkuu Ila faby kwa upande wangu anafaa japo naofia kadi kwake sababu ya speed yake mdogo ila kwa umuhimu wake wa kupasi anafaa zaidi
 
Asante sana Kaka, hivi kwa Mtazamo wako Matic anastahili kuanza?, Mechi wacheze aina gani ya mchezo?, wa kujilinda au wafungue tu?
Mkuu kwa mtazamo wangu Matic aanze kucheza kwasababu akianza huyu Matic basi tunacheza mpira wa kushambulia wakati wote na zile pass ndefu za kuchungulia aachiwe David Luiz ndio azipige.

Akianza Faby basi tutakua tunacheza mchezo wa kujilinda huku tukivizia counter attack kitu ambacho kitakua ni kibaya maana kitawafanya Spurs kucheza ktk eneo letu sn.


Mpira tunaotakiwa kucheza leo tunapaswa kufungua yaani tumiliki mpira na kushambulia sn. Maana hatuna presha ata km tutapoteza huu mchezo kutokana na msimamo wa ligi jinsi ulivyo. Ingawa naona Conte ni muumini sn wa kujilinda. Lkn leo hii atatupa sn burudani lazima hawa Spurs tuwafunge.


Aanze Matic na Kante then Faby aingie baadae tukishaona udhaifu wa Spurs lkn afanyiwe sub Pedro ndio aingie Faby na baadae afanyiwe sub Hazard aingie Willian. Ikiwa hivyo mkuu hawa Spurs tutawasumbua muda wote.
 
Mkuu kwa mtazamo wangu Matic aanze kucheza kwasababu akianza huyu Matic basi tunacheza mpira wa kushambulia wakati wote na zile pass ndefu za kuchungulia aachiwe David Luiz ndio azipige.

Akianza Faby basi tutakua tunacheza mchezo wa kujilinda huku tukivizia counter attack kitu ambacho kitakua ni kibaya maana kitawafanya Spurs kucheza ktk eneo letu sn.


Mpira tunaotakiwa kucheza leo tunapaswa kufungua yaani tumiliki mpira na kushambulia sn. Maana hatuna presha ata km tutapoteza huu mchezo kutokana na msimamo wa ligi jinsi ulivyo. Ingawa naona Conte ni muumini sn wa kujilinda. Lkn leo hii atatupa sn burudani lazima hawa Spurs tuwafunge.


Aanze Matic na Kante then Faby aingie baadae tukishaona udhaifu wa Spurs lkn afanyiwe sub Pedro ndio aingie Faby na baadae afanyiwe sub Hazard aingie Willian. Ikiwa hivyo mkuu hawa Spurs tutawasumbua muda wote.
Umenikoshaaaaaaaa mkuuu
 
Ni kweli mkuu Ila faby kwa upande wangu anafaa japo naofia kadi kwake sababu ya speed yake mdogo ila kwa umuhimu wake wa kupasi anafaa zaidi
Faby ni mzuri sn lkn km ataanza basi tunatakiwa kacheza kwa kujilinda maana Faby hana nguvu sn na itafanya kuelemewa. Lkn km wataanza Matic na Kante hili jukumu la ukabaji na kupandisha timu litafanywa na wote hawa wawili.

Long passes zinaweza kupigwa na back line yetu wote wale 3. Nimeona Azplicueter anapiga passes km za Faby na Luiz na yeye na Alonso pia. Na Cahill naye anachungulia siku hizi. So Faby aanzie benchi kwanza
 
Faby ni mzuri sn lkn km ataanza basi tunatakiwa kacheza kwa kujilinda maana Faby hana nguvu sn na itafanya kuelemewa. Lkn km wataanza Matic na Kante hili jukumu la ukabaji na kupandisha timu litafanywa na wote hawa wawili.

Long passes zinaweza kupigwa na back line yetu wote wale 3. Nimeona Azplicueter anapiga passes km za Faby na Luiz na yeye na Alonso pia. Na Cahill naye anachungulia siku hizi. So Faby aanzie benchi kwanza
Kweli mkuuu tutajilinda sana faby akichezaa ila nilipenda pas zake japo kwa maelezo yako nakuunga mkono
 
Wakuu napata shida sn ktk hii battle ya Dembele, Wanyama na Matic na Kante.

Nani anaweza kuwaelezea hawa vzr????


Mimi naona Pair ya Matic na Kante ndio bora kabisa kuliko hii ya Wanyama na Dembele maana Matic na Kante ni wepesi na wanacheza mipira aina yote. Na hawafanyi fauls za kijinga km hawa wengine.


Mnaweza kujazia nyama hapo kidogo kwa hii battle??
 
Kweli mkuuu tutajilinda sana faby akichezaa ila nilipenda pas zake japo kwa maelezo yako nakuunga mkono
Faby leo atacheza na ataanzia benchi.... Lkn leo tunacheza attacking football sn na si defensive game. Leo team work kwa wachezaji wote itakua juu yaani to the maximum.... Usitegemee eti Spurs watutawale. Kwasababu tunataka kuvunja record mbili leo. Ya Spurs kutokufungwa WHL na ile ya Gunners kushinda michezo 14 mfululizo.

Leo ndio leo yani hawa watoto Spurs tunawanywa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom